Ulishawahi kuwekewa pesa kwenye akaunti yako ya Benki bila kujua zimetoka wapi? Ulifanyaje?

Ulishawahi kuwekewa pesa kwenye akaunti yako ya Benki bila kujua zimetoka wapi? Ulifanyaje?

Kwani mtu akijisifia hivyo Kuna shida Gani?

Kwamba unataka watu waseme Wana njaa ni maskini wa kutupwa ni wagonjwa na WA dhaifu?
tofautisha sifa za uwongo na sifa za uhalisia halafu punguza ujuaji kwan kuna mahali nmesema mtu ajseme yeye ni maskini au nn zaid nmesema mtu ajielekeze kwny hoja iliyomleta hapa mambo ya majivuno wkt mwngne kwa vitu visivyo na uhalisia haina maana kama imekuuma tafuta mume uolewe vitapoa.
 
NIliwahi kufanya muamala wa milioni 1 kimakosa na niliyemtumia alifanya kama ulvyosema nili umia sana aisee
Kuna Mzee alitumiwa Laki 6 za matibabu zikatumwa kimakosa kwa Mzee mwingine.. yule Mzee alietumiwa akaenda kuzitoa chap alipopigiwa na kuambiwa hizo pesa zimetumwa kimakosa ni fedha za matibabu kwa usumbufu achukue hata 50,000 tu ya usumbufu atume 550,000 ili walipe gharama za matibabu hospital aliepigiwa simu akakata simu anapigiwa tena hapatikani na hakupatikana tena mpaka leo nadhani hata laini aliitupa..
 
tofautisha sifa za uwongo na sifa za uhalisia halafu punguza ujuaji kwan kuna mahali nmesema mtu ajseme yeye ni maskini au nn zaid nmesema mtu ajielekeze kwny hoja iliyomleta hapa mambo ya majivuno wkt mwngne kwa vitu visivyo na uhalisia haina maana kama imekuuma tafuta mume uolewe vitapoa.
Hapo mwishoni umemalizia kishambenga kama mtoto wa kike !


Mtu akijivuna hata kama ni uwongo wewe inakuhusu kitu Gani ?
 
Kuna Mzee alitumiwa Laki 6 za matibabu zikatumwa kimakosa kwa Mzee mwingine.. yule Mzee alietumiwa akaenda kuzitoa chap alipopigiwa na kuambiwa hizo pesa zimetumwa kimakosa ni fedha za matibabu kwa usumbufu achukue hata 50,000 tu ya usumbufu atume 550,000 ili walipe gharama za matibabu hospital aliepigiwa simu akakata simu anapigiwa tena hapatikani na hakupatikana tena mpaka leo nadhani hata laini aliitupa..
Balaa sana aisee
 
Nilipata mshahara mara mbili nikajua wamenipandisha daraja fasta. Mwezi uliofuata sikupata mshahara, ulienda kwa aliyekosa mwezi uliopita, huyo jamaa akawa amepata mishahara miwili. Huyo jamaa aliniudhi kwa kunilalamikia kwa nini nilichukua mshahara wake nikauchukua. kosa halikuwa langu, ni la walioingiza hiyo hela kwenye akaunti yangu nami nikajitwalia bila wasiwasi nikaubwenga wote
 
Kama wewe ni muislamu hiyo pesa ina masharti ya kufuata,kitu chochote au pesa kama umeokota unatakiwa uitangaze umtafute mwenyewe kama ulivyofanya kuulizia jamaa zako

Kama umefanya juhudi hiyo na hukumpata mwenyewe basi unasubir ndani ya mwaka mmoja,mwaka ukifika basi ni halali yako
Mkuu uko sahihi sana.. kwa sasa hivi hela ya namna hiyo asipokuwa makini anaweza kujikuta jela kwa kesi ya utakatishaji pesa. Hapo lazima aende benki achukue statement kuona aliyeweka. Na kama bado hatatambua aishirikishe benki. Inasikitisha sana kuona kuna watu wanamjaza ujinga kuwa azitumie hizo pesa bila kujiuliza.
 
Basi bana. Kama wiki kadhaa hivi iliingia meseji fupi lakini tamu ajabu. Ilikuwa imethibitishwa. Shilingi milioni sita (6,000,000) keshi zilikuwa zimeingia kwenye akaunti yangu ya benki. Nikasema labda ni matapeli wanataka kunizingua. Nikaenda kwenye akaunti. Nikakuta kweli mzigo upo umetulia. Sikuridhika. Nikaenda kuangalia kwenye ATM fizikale laivu kabisa. Nikakuta ni kweli.

Ajabu ni kwamba aliyetuma hizo pesa simfahamu na sikuwa na mchongo wo wote wa milioni sita niliokuwa nikiusikilizia. Nimeuliza kila mtu ninayemhisi mpaka watu wa diaspora huko lakini hakuna aliyenitumia hizo pesa. Kuna mahali nilipiga mchongo wa kuwa nalipwa kama milioni 4.5 hivi kwa mwezi kwa miaka 15-20 ijayo lakini mchongo huo hautakuwa active mpaka 2027. Niliwaandikia pia wakasema hawajatuma cho chote. Ni nani kakosea akatuma hizi pesa?

Mpaka ninapoandika hapa pesa hizo zipo zimetulia kwenye akaunti. Na mtumaji bado hajulikani. Wengine wanasema eti jamaa wanaotakatisha fedha siku hizi wana mtindo huo. Wanaweka pesa kwenye akaunti yako hasa ambayo iko dormant kidogo halafu baadaye wanakuja wanazihamisha.

Lakini akaunti yangu haiko dormant kivile maana haiwezi kupita siku mbili au tatu sijaitumia.

Nikizitumia hizi pesa nitakuwa nimekosea maana mpaka sasa zipo tu naziangalia? Kuna dogo anahitaji kimtaji cha kama milioni tatu hivi nataka nimpe.

Ungekuwa wewe ungefanyeje kwenye situation hii?

View attachment 3525498
Nia yako unataka niwe mkali au ni nini hasa?Maswali gani haya?
NB:Achilia mbali ulizozikuta kwako,mimi nilikuta laki tisa tu.Niliwafurahisha muda uleule.
 
Haha mkuu laki siwezi kukosa ila sasa nikupe ya nini?
Back to the point ni kwamba laki 7 ni pesa ndogo ya kusema ni mdhulum mtu alieniwekea kimakosa.
Hapa hoja sio dhulma mkuu mbona unaenda kinyume na mada usiishi katika Imani sio Kila mtu ana amini kwenye Imani Ciao
 
Basi bana. Kama wiki kadhaa hivi iliingia meseji fupi lakini tamu ajabu. Ilikuwa imethibitishwa. Shilingi milioni sita (6,000,000) keshi zilikuwa zimeingia kwenye akaunti yangu ya benki. Nikasema labda ni matapeli wanataka kunizingua. Nikaenda kwenye akaunti. Nikakuta kweli mzigo upo umetulia. Sikuridhika. Nikaenda kuangalia kwenye ATM fizikale laivu kabisa. Nikakuta ni kweli.

Ajabu ni kwamba aliyetuma hizo pesa simfahamu na sikuwa na mchongo wo wote wa milioni sita niliokuwa nikiusikilizia. Nimeuliza kila mtu ninayemhisi mpaka watu wa diaspora huko lakini hakuna aliyenitumia hizo pesa. Kuna mahali nilipiga mchongo wa kuwa nalipwa kama milioni 4.5 hivi kwa mwezi kwa miaka 15-20 ijayo lakini mchongo huo hautakuwa active mpaka 2027. Niliwaandikia pia wakasema hawajatuma cho chote. Ni nani kakosea akatuma hizi pesa?

Mpaka ninapoandika hapa pesa hizo zipo zimetulia kwenye akaunti. Na mtumaji bado hajulikani. Wengine wanasema eti jamaa wanaotakatisha fedha siku hizi wana mtindo huo. Wanaweka pesa kwenye akaunti yako hasa ambayo iko dormant kidogo halafu baadaye wanakuja wanazihamisha.

Lakini akaunti yangu haiko dormant kivile maana haiwezi kupita siku mbili au tatu sijaitumia.

Nikizitumia hizi pesa nitakuwa nimekosea maana mpaka sasa zipo tu naziangalia? Kuna dogo anahitaji kimtaji cha kama milioni tatu hivi nataka nimpe.

Ungekuwa wewe ungefanyeje kwenye situation hii?

View attachment 3525498
Nenda omba bank statement
 
Back
Top Bottom