Ulishawahi kuwekewa pesa kwenye akaunti yako ya Benki bila kujua zimetoka wapi? Ulifanyaje?

Ulishawahi kuwekewa pesa kwenye akaunti yako ya Benki bila kujua zimetoka wapi? Ulifanyaje?

Basi bana. Kama wiki kadhaa hivi iliingia meseji fupi lakini tamu ajabu. Ilikuwa imethibitishwa. Shilingi milioni sita (6,000,000) keshi zilikuwa zimeingia kwenye akaunti yangu ya benki. Nikasema labda ni matapeli wanataka kunizingua. Nikaenda kwenye akaunti. Nikakuta kweli mzigo upo umetulia. Sikuridhika. Nikaenda kuangalia kwenye ATM fizikale laivu kabisa. Nikakuta ni kweli.

Ajabu ni kwamba aliyetuma hizo pesa simfahamu na sikuwa na mchongo wo wote wa milioni sita niliokuwa nikiusikilizia. Nimeuliza kila mtu ninayemhisi mpaka watu wa diaspora huko lakini hakuna aliyenitumia hizo pesa. Kuna mahali nilipiga mchongo wa kuwa nalipwa kama milioni 4.5 hivi kwa mwezi kwa miaka 15-20 ijayo lakini mchongo huo hautakuwa active mpaka 2027. Niliwaandikia pia wakasema hawajatuma cho chote. Ni nani kakosea akatuma hizi pesa?

Mpaka ninapoandika hapa pesa hizo zipo zimetulia kwenye akaunti. Na mtumaji bado hajulikani. Wengine wanasema eti jamaa wanaotakatisha fedha siku hizi wana mtindo huo. Wanaweka pesa kwenye akaunti yako hasa ambayo iko dormant kidogo halafu baadaye wanakuja wanazihamisha.

Lakini akaunti yangu haiko dormant kivile maana haiwezi kupita siku mbili au tatu sijaitumia.

Nikizitumia hizi pesa nitakuwa nimekosea maana mpaka sasa zipo tu naziangalia? Kuna dogo anahitaji kimtaji cha kama milioni tatu hivi nataka nimpe.

Ungekuwa wewe ungefanyeje kwenye situation hii?

View attachment 3525498
Hizo hela yaweza kuwa zimepostiwa kwa makosa na mfanyakazi wa bank.....
Usumbufu wooote huo uliopata sijui wa kuuliza hadi diaspora haukuwa na haja; ungeenda tu bank yako ukauliza kuwa, unaomba kujua nani kakuwekea hela, mbona chap wanakujulisha. Na kama zimewekwa (zimepostiwa kwa makosa) wanazirudisha na kuzielekea kwenye account sahihi....
Nenda kwenye bank yako utapata majibu wala huna haja ya kuhangaika.....
 
Basi bana. Kama wiki kadhaa hivi iliingia meseji fupi lakini tamu ajabu. Ilikuwa imethibitishwa. Shilingi milioni sita (6,000,000) keshi zilikuwa zimeingia kwenye akaunti yangu ya benki. Nikasema labda ni matapeli wanataka kunizingua. Nikaenda kwenye akaunti. Nikakuta kweli mzigo upo umetulia. Sikuridhika. Nikaenda kuangalia kwenye ATM fizikale laivu kabisa. Nikakuta ni kweli.

Ajabu ni kwamba aliyetuma hizo pesa simfahamu na sikuwa na mchongo wo wote wa milioni sita niliokuwa nikiusikilizia. Nimeuliza kila mtu ninayemhisi mpaka watu wa diaspora huko lakini hakuna aliyenitumia hizo pesa. Kuna mahali nilipiga mchongo wa kuwa nalipwa kama milioni 4.5 hivi kwa mwezi kwa miaka 15-20 ijayo lakini mchongo huo hautakuwa active mpaka 2027. Niliwaandikia pia wakasema hawajatuma cho chote. Ni nani kakosea akatuma hizi pesa?

Mpaka ninapoandika hapa pesa hizo zipo zimetulia kwenye akaunti. Na mtumaji bado hajulikani. Wengine wanasema eti jamaa wanaotakatisha fedha siku hizi wana mtindo huo. Wanaweka pesa kwenye akaunti yako hasa ambayo iko dormant kidogo halafu baadaye wanakuja wanazihamisha.

Lakini akaunti yangu haiko dormant kivile maana haiwezi kupita siku mbili au tatu sijaitumia.

Nikizitumia hizi pesa nitakuwa nimekosea maana mpaka sasa zipo tu naziangalia? Kuna dogo anahitaji kimtaji cha kama milioni tatu hivi nataka nimpe.

Ungekuwa wewe ungefanyeje kwenye situation hii?

View attachment 3525498
Bahati haiji mara mbili, nenda katoe hiyo hela wewe, akitokea mwenye nazo utamlipa taratibu
mwambie ulikuwa na shida kwani atakuua
 
Basi bana. Kama wiki kadhaa hivi iliingia meseji fupi lakini tamu ajabu. Ilikuwa imethibitishwa. Shilingi milioni sita (6,000,000) keshi zilikuwa zimeingia kwenye akaunti yangu ya benki. Nikasema labda ni matapeli wanataka kunizingua. Nikaenda kwenye akaunti. Nikakuta kweli mzigo upo umetulia. Sikuridhika. Nikaenda kuangalia kwenye ATM fizikale laivu kabisa. Nikakuta ni kweli.

Ajabu ni kwamba aliyetuma hizo pesa simfahamu na sikuwa na mchongo wo wote wa milioni sita niliokuwa nikiusikilizia. Nimeuliza kila mtu ninayemhisi mpaka watu wa diaspora huko lakini hakuna aliyenitumia hizo pesa. Kuna mahali nilipiga mchongo wa kuwa nalipwa kama milioni 4.5 hivi kwa mwezi kwa miaka 15-20 ijayo lakini mchongo huo hautakuwa active mpaka 2027. Niliwaandikia pia wakasema hawajatuma cho chote. Ni nani kakosea akatuma hizi pesa?

Mpaka ninapoandika hapa pesa hizo zipo zimetulia kwenye akaunti. Na mtumaji bado hajulikani. Wengine wanasema eti jamaa wanaotakatisha fedha siku hizi wana mtindo huo. Wanaweka pesa kwenye akaunti yako hasa ambayo iko dormant kidogo halafu baadaye wanakuja wanazihamisha.

Lakini akaunti yangu haiko dormant kivile maana haiwezi kupita siku mbili au tatu sijaitumia.

Nikizitumia hizi pesa nitakuwa nimekosea maana mpaka sasa zipo tu naziangalia? Kuna dogo anahitaji kimtaji cha kama milioni tatu hivi nataka nimpe.

Ungekuwa wewe ungefanyeje kwenye situation hii?

View attachment 3525498
au na wewe ulikuwepo kwenye maandamano ya kumshitaki Fr Kitima?
 
Katoe umenikumbusha Kuna mwana alijichanganya akarushaga laki 7 kwenye CRDB account yangu nili itoa ile pesa chapu
We nyau , hakuna mtu wa kukurushia hata jero kwa bahati mbaya ..usijipe umuhimu kenge mjusi 😂
 
Basi bana. Kama wiki kadhaa hivi iliingia meseji fupi lakini tamu ajabu. Ilikuwa imethibitishwa. Shilingi milioni sita (6,000,000) keshi zilikuwa zimeingia kwenye akaunti yangu ya benki. Nikasema labda ni matapeli wanataka kunizingua. Nikaenda kwenye akaunti. Nikakuta kweli mzigo upo umetulia. Sikuridhika. Nikaenda kuangalia kwenye ATM fizikale laivu kabisa. Nikakuta ni kweli.

Ajabu ni kwamba aliyetuma hizo pesa simfahamu na sikuwa na mchongo wo wote wa milioni sita niliokuwa nikiusikilizia. Nimeuliza kila mtu ninayemhisi mpaka watu wa diaspora huko lakini hakuna aliyenitumia hizo pesa. Kuna mahali nilipiga mchongo wa kuwa nalipwa kama milioni 4.5 hivi kwa mwezi kwa miaka 15-20 ijayo lakini mchongo huo hautakuwa active mpaka 2027. Niliwaandikia pia wakasema hawajatuma cho chote. Ni nani kakosea akatuma hizi pesa?

Mpaka ninapoandika hapa pesa hizo zipo zimetulia kwenye akaunti. Na mtumaji bado hajulikani. Wengine wanasema eti jamaa wanaotakatisha fedha siku hizi wana mtindo huo. Wanaweka pesa kwenye akaunti yako hasa ambayo iko dormant kidogo halafu baadaye wanakuja wanazihamisha.

Lakini akaunti yangu haiko dormant kivile maana haiwezi kupita siku mbili au tatu sijaitumia.

Nikizitumia hizi pesa nitakuwa nimekosea maana mpaka sasa zipo tu naziangalia? Kuna dogo anahitaji kimtaji cha kama milioni tatu hivi nataka nimpe.

Ungekuwa wewe ungefanyeje kwenye situation hii?

View attachment 3525498
Usitoe hiyo pesa karipoti katika benki uliyotumiwa , utakuja kunishukuru badae, maana huchelewi kubambikiwa kesi ya uchakatishaji fedha.
Lakni pia unaweza kwena benk waka trace mteja aliyekutumia hiyo pesa.
Iwe kwa njia ya mtandao au kwa kuchaza pay slip.
Hii imenitokea zaidi ya mara mbili , cha kuokota sio cha kuiba lkn shart utangaze
 
Back
Top Bottom