Kama kawaida watu wa jf na misifa kila mtu humu ana mamilion hana njaa, ana ajira ya kulipwa mamilion, ana gari ya maana, ana biashara kubwa, nyumba kali, matumiz home per day 50,000 nk ajabu wengne wanawafata watu pm wanaomba hela ya kula. Kama we jamaa eti una mchongo wa kulipwa mil 4.5 per month kuanzia mwakani aaahaahaaa sa hili umeliweka lanini mara una watu diaspora yote haya yann kwan uksema tu umeingziwa pesa lakn hujui zmetoka wp na umeulizia kwa watu unaowafahamu hujapata muhuska. Mara eti hazpti sku 3 umeweka pesa kwny akaunti yako.