MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,049
Kama anashabikia arsenal basi uanze tuu kuangalia nae fashionshows hizo na keeping up with Kardashians.
ahaahahaha !haya bwana
Kama anashabikia arsenal basi uanze tuu kuangalia nae fashionshows hizo na keeping up with Kardashians.
Hautanii ngoja nikureport..mods kam zis wei plizmtukane Melo, hahahahahahahahahahhahhaah (natania)
Nipe mkeka wako wa Leo nitembelee nyotaohooo sasa wewe unaleta matusi kwenye biashara za watu! kumbe umekariri unadhani betting hadi uingie vibandani,wenzio wanabet online na maisha mengine yanaenda! tena ushike adabu yako wakikusikia wenye michezo yao utachezea vitasa..addiction za watu...kwako haramu kwa wenzio halaliii oooohooo endelea na fashioooon yako!tuache tutengeneze mpunga haha tena utuombe radhi....shubamitiiiii
Ni kweli Uko Addicted na Unga Dear!???Mm natumia unga wenyewel kbs kutoka medelin colombia
Kupika huwezi ww
Facebook kuna mchezo unaitwa Farmville, kuna wakati nilikuwa addicted kabisa, nilikuwa ninapanda mazao kuhakikisha baada ya masaa matatu yatakuwa ni ya kuvuna, nitaharakisha kila ninachofanya ili niwe free baada ya masaa matatu. Kuna wakati nilikuwa ninaamka katikati ya usingizi ili nivune mazao yasioze. Hapo ndipo nilipogundua nina tatizo, nilijitoa. Siku hizi FB ninakwenda kuchungulia tu.
Uliwezaje kuacha addiction yako?
najua unachowazaAddiction nyingine hazifai kusema, acha tubakie nazo mioyoni.
Hold on....ohooo sasa wewe unaleta matusi kwenye biashara za watu! kumbe umekariri unadhani betting hadi uingie vibandani,wenzio wanabet online na maisha mengine yanaenda! tena ushike adabu yako wakikusikia wenye michezo yao utachezea vitasa..addiction za watu...kwako haramu kwa wenzio halaliii oooohooo endelea na fashioooon yako!tuache tutengeneze mpunga haha tena utuombe radhi....shubamitiiiii
Inawezekananajua unachowaza
Mkuu kwenye ule uzi wa kubet kule upo?Nipe mkeka wako wa Leo nitembelee nyota
Kiutu uzima nakaushaInawezekana
Mwone kwanza. .....ungejua usingekausha....ungenicheka.Kiutu uzima nakausha
Una ID moja mkuu ..wenzako weng mbil mbil ukipigwa ban huku unapeta kwingneMie niko addicted na www.jamiiforums.com yaani hata nikipigwa BAN naumia sana, kuhesabu siku ziishe nirudi tena JF
Tatizo ulianza mboyoyooo tokea mchanauwiiii hahaha mkome ! hyo pesa bora ugekula kipande cha tikiti lol
Tatizo ulianza mboyoyooo tokea mchana
We tikitiki inahusiana nn na huu mchezo
Usifananishe kubet na mambo ya ajabu shostitooo