Hapo itakuw ban ya milelemtukane Melo, hahahahahahahahahahhahhaah (natania)
Naunga mkono hojaTatizo ulianza mboyoyooo tokea mchana
We tikitiki inahusiana nn na huu mchezo
Usifananishe kubet na mambo ya ajabu shostitooo
Haya ninong'oneze sasaMwone kwanza. .....ungejua usingekausha....ungenicheka.
Yaani uko kama mimi..nikiwa nafanya kazi yoyote huwa music lazima...Sometimes hadi Bafuni mkuu serious...addicted na music especially good music ...
nikisikiliza tu music, hata kama nina shida gani huwa najihisi freeesh
vitamin music, mtu ukiikosa hii hauwezi kubaki salama.Yaani uko kama mimi..nikiwa nafanya kazi yoyote huwa music lazima...Sometimes hadi Bafuni mkuu serious...
Yeah mkuu...niwe na mawazo nisiwe na mawazo kwangu kuskiza mzik lazimavitamin music, mtu ukiikosa hii hauwezi kubaki salama.
Upo mkuuNipo addicted na.....
Nipo, long time no see. Upokweli ? Vp nikujie Prime MinisterNipo jana na leo mkuu
Vipi upo mkuu
Tehteh...Eti uniijie Prime MinisterNipo, long time no see. Upokweli ? Vp nikujie Prime Minister
PMTehteh...Eti uniijie Prime Minister
Ndo wapi huko mkuu?
hahaha, mie nina haka haka ka ID moja utadhani "mke wa mchungaji" hahahaahahUna ID moja mkuu ..wenzako weng mbil mbil ukipigwa ban huku unapeta kwingne