Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ohooo...mpka nasisimkwa mwili aiseh..what a love!ohooo @recycle...au nikupe avatar yangu upige nayo picha..imekaaje hiyo...

Afu we nae mbona ulikuwa huniambii sasa

Kwani michango inakuja na picha gani ..

Atakuwa P nini?

picha tamu inareflect uhalisia fulani. Nadhani mda sahihi wa kuambiwa hilo ndio huu umeshafika na umeujua ukweli.
Michango kwa 95% inaonesha we ni mtu wa aina gani(ndio inakuidentify). You are very charming and beautiful through comments, 99% ya yanayohusiana nawewe huwa unarespond vizuri. Kwa lugha rahisi wanasema upo sosho mama.

P ndio nani huyo? Isijekuwa umemaanisha Pisi kali
 
Binafsi nimewasiliana na wanachama wengi humu ndani (ME + KE), lakini mbali na kuleteana masikhara na kudanganyana kule PM sijawahi kabisa kutaka kufahamiana na mtu humu ndani. Naamini kuna waliokuwa na nia njema na wako Genuine, lakini waovu, wauaji, watekaji, mamluki na matapeli wako wengi sana mitandaoni. Hivyo wale watu wema wanisamehe tu.........

Nashauri vijana, hata kama umependa na kuvutiwa na mwandiko wa mtu fahamu kwamba huku kwenye mitandao kila mtu huonekana ni malaika japo uhalisia hauko hivyo. Nawafahamu watu ambao wameshaumizwa na kuvurugwa kisa haya mawasiliano ya humu JF, Twitter na Instagram. Binafsi nimewahi kutumiwa links za mitego na E-Mails nyingi huko PM.

Wengine wanaanzia mbali kwa kujenga urafiki mimi nawachora tu nasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii. Huko PM nimepewa ofa za kubwa za kufa mtu, wengine wanasema wananipenda sana (wanajaribu kunijaza Sweet-Nothing) , wengine wananiletea vitisho,wengine wanataka ushauri, wengine wananiletea umbeya na majungu, wengine wanakuja kunimwagia misifa. Sasa kama ukiwa na kichwa kibovu itakula kwako. There's No Free Lunch in the World: You Eat the Devil's Food, You Pay the Devil's Bill....

Ila kama umempenda mtu wewe jilipue at your own risk, lakini kaa ukikumbuka kwamba waliomo humu ndiyo haohao wa mtaani kwako. Tanzania ya leo imejaa watu waovu wengi mno, tumefika pabaya sana, kuwa makini (Be vigilant and don't have unrealistic expectations).....

Una nakosea ndugu Mgonga Like ???
Neno mkuu..
 
Kuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
 
Kuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
Duh

Kumbe nilichezea bahati
Aisee
 
Yeah I guess through creativity of the mind, we create our own people through their comments, their own description of themselves and Lord knows what else.

Ila sasa wanafeligi wanapoji mwambafy afu ukakuta the opposite is true.
 
Kuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
Mood swings can really ruin things.

But you should have told him you were sorry.... Pride sucks when it makes you lose someone.
 
sio wewe. Yaani baada ya kuachana (hatukuambiana tumeachana tulipotezeana tu). Nikawa namchungulia kila dakika, nafatilia comments zake...akiflirt na wadada naumiaaaa. Dah mapenzi ya kipuuzi sijawahi ona. Am glad nilitoka huko...
Dah aisee

Pole mrembo
Ulimwambia lakini kama unampenda??
 
JF member anaitwa utafiti sijui daah nlikua nampenda. Sijakuona kitambo hadi jina linanipotea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom