High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,087
Yani humu Kila siku tunaimba kataa ndoa ila kuna watu wabishi
Mmerogwa na Nani?
Mwanamke WA ndoto zako unamjua wewe?
Usikute mama yak hata 5k hujawai mpya...
No attachment just a sex
Sikushauri tena
Wakizeeka wanakuwa ombaomba full kulaumu watoto ,rafiki.pamoja na ndugu kuwa hawana msaada wakati ujana alikuwa mtu wa bata