Dah kumbe hii ya box mbili ni una ja wa mabaharia wengi. Yaani ukifika kwenye pharmacy na kuna mrembo wee sema box mbili tuu 🤣🤣🤣🤣🤣 huo mshangao sasaSiku moja nimepata demu, nikamvusha hadi ghetto kwa ajili ya dhambi ya uzinzi... Kimbembe kinakuja hataki kavu, ni mwendo wa soksi.. Na ndani sikuwa na akiba kuna mwana alizoa zote.. Ng'ang'ana ili nitie kavu wapi.. Kidogo nimchape makofi akwende zake ila nikakumbuka hasira hasara na k haisusiwi...Fasta nikavaa vest na bukta, safari ya kwenda pharmacy ya pale mtaani kuchukua ndomu.... Muuzaji wa pale alikua ni mgeni pia ni mali safi... Wanaume wengi wa pale kitaani walikuwa wanamsororea...
Mimi spidi kuendea ndomu, kuna kona nililala nayo kama dereva wa Formula 1 vile, hatua mbili tatu jogging kidogo, duka hili hapa.. Nikaingia, nikakuta kuna watu wengine humo ndani, sikutaka kujua wanashida gani... Kwa sauti nikamwambia nipe kondomu... Kwanza akaniangalia akacheka, wale wengine wakanigeukia mimi wala sina habari nao.. Nimeacha k ndani yanini kusumbuka na watu.. Kondomu gani? akaniuliza, nikamwambia... Akaniletea boksi moja, ikabidi nijioneshe kuwa mimi ni mwanaume wa shoka..." Kwanini ulete boksi moja? Umesikia mimi mgonjwa? Au unanichukulia mla chipsi sana? Binti ongeza lingine hili halinitoshi, na pia usinichawie" .. Nilimwakia mtoto wa watu bure tuu, kumbe hata boksi moja simalizi... Ikabidi aongeze lingine.. Malango ulikuwa ni wakuvutia ndani ili utoke, mimi sababu ya wenge ya K nikawa nausukumia nje... Ikabidi yule binti aniambia uvute kwa ndani... Nilitoka pale spidi kubwa mno, nadhani walibaki wakishangaa hizo mbio ninazotimua...
Nimefika ghetto, kweli nikajilia vyangu mtoto akasepa kiroho safi..
Ikapita muda kidogo, kuna siku sabuni ya kuoga iliniishia na nilisahau kununua nikiwa kwenye mizunguko.. Ikabidi niende kwenye ile Pharmacy, kufika nikamkuta yule binti akiwa mwenyewe... Alivyoniona akacheka sana nafikiri alikumbika lile tukio la nyuma... Ikabidi nami nimsapoti kwenye kicheko... Ikabidi nieleze shida iliyonipeleka, akanihudumia... Sasa ile nataka kutoka ikabidi nirudi... Nikamwambia hebu nipe simu yako, akipa ila kwa mashaka kidogo.. Toa pattern, akatoa... Nikasave namba yangu na jina niliandika "Boksi 2".. Nikamwambia hii ni namba yangu, tafuta siku na ujichagulie boksi zako za kukutosha kisha unitafute... Sikusubiri jibu wala maelezo nikaondoka...
Baada siku mbili, namba ngeni inanipigia.. Kumbe ni yule binti, Mimi fulani nilikuwa nakusalimia... Mmmh! Tangu lini!?? Salamu mbili tatu akakataa simu... Nikajua nyege zinamsumbua...Baada ya muda nikamtumia sms "Unafunga mda gani na nije kukuchukua au unakuja mwenyewe? "... Sms ilikuja kujibiwa baada ya masaa 4, "nafunga mda fulani uje unichukue.. "..
Kuna kale katabasamu ka ushindi kakajitokeza... Mida ya miadi nikaenda nikakuta kweli nasubiriwa... Tukazoana hao hadi ghetto... Kaja na boksi mbili, yaani pakiti 6 zote nizitumie... Naanzia wapi kwa mfano... Nilitumia pakiti 2 tuu, moja ule usiku na moja asubuhi.... Alivyokuja kunizoea alinilaumu nilivyokuwa muongo na boksi 2 zangu.... Alikuja kuwa demu wangu kwa miaka 4....