McMug
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 210
- 200
Kwanz unamuwekaj dem nyuma uko kweny pickupMademu hawapendagi kukaa kwenye yale machuma eti washikilie mara wakae chini mara sketi imeenda na upepo weee!! Utasikia
''Baba wee!! samahani tunaomba tushukeee!!!