sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,519
- 41,763
Ebwanaee,,,
Mwaka jana mwezi wa 9 alihamia demu hapa jirani ninapokaa,Huyu demu alikuwa kahamishiwa kikazi tu,Hivo akawa amepanga nyumba hapa jirani na ninapokaa,Demu alikuwa mkali kinoma,yani kama kajala, sema yeye hakuwa na mwili mkubwa kama ule,Demu chocolate color flani,alafu nyuma ndo usiseme.
Sasa kilicho kuja kunivunja moyo kwa huyu Demu ni kuwa alikuwa na jamaa yake alafu good life kinoma,kila jioni unamuona jamaa huyu hapa na prado yake alafu ukizingatia mimi hata bike sina,Kila jioni nikawa namshuhudia jamaa anakuja na ndinga yake anaingia ndani kwa yule demu alafu anatoka saa 2 Usiku,nikajisemea huyu jamaa atakuwa na mke ila huyu demu ni mchepuko wake.
Kadri siku zilivyo kuwa zina zidi kusonga ndo huyu demu akazidi kuwa mzuri kinoma,yani nikawa namtamani ila sasa fala nitaanzia wapi hasa ukizingatia jamaa yake ana kila kitu,Basi nikawa najisemea kimoyo moyo "Haya ni maisha tu",,Si unajua sisi makapuku tunavyo penda kujitia moyo,
Basi bwana,mimi nikaendelea na mambo ya gym labda huenda ipo siku atavutiwa na mimi kwa body mana kama ni hela sina,
Mara huyu demu nikamuona tayari ana gari Toyota wishi,pale pale mawazo ya kumpata huyu demu yakanitoka na nikawa nimeamua kumpotezea,Huyu demu hapa kitaa alikuwa hana mazoea na mtu,Basi watu wote wakawa wana msema anadharau.
Mimi nikaendelea na ajira yangu niliyo kuwa nimeipata nikaachana na kumuwazia huyu Demu,ila kila nikimwona jamaa yake akija roho inaniuma nikawa natamani nivizie wakiwa ndani nikapasue pasue prado yake,haya mapenzi nyie acheni tu.
Basi bwana,,,Wahenga walisha sema ridhiki haipotei,
Siku moja nimekaa zangu kibarazani jioni baada ya kutoka job,huku najiandaa kuingia gym nikamuona huyu dada anakuja kwangu,Daah mhuni nikatamani kukimbia nikijua huu utakuwa uchawi,Ila nikajisemea,potelea mbali uchawi huwa hauji kwa mentali.
Demu mpaka akafika pale tukasalimiana na akawa amekaa,tukapiga stori mbili tatu ikiwa ni pamoja na kuniulizia mambo yanayo husu mtaa wetu,ndo nikagundua kumbe demu mwenyewe yuko peace tu,mcheshi na anapenda stori kinoma,Baada kama ya nusu saa akaniaga kuwa anaenda kupika cha usiku,tukaagana akasepa na mimi nikasepa zangu gym.
Wiki yote hiyo kila akitoka job akawa lazima aje kwangu tupige stori ndo aende kwake,Mara akawa ananiambia nisipike atapika yeye,ikaenda hivo mpaka mwezi mzima tukawa tumeshakuwa washikaji kinoma,yani weekend tunapika wote na kupakua ila yeye akawa anataka kumjua girlfriend wangu,Na mimi baada ya kuzoeana na huyu demu sikutaka tena mazoea na mademu wengine mana wangeniharibia,sasa nikiwa ninataka kuwa na demu nampeleka kwingine tofauti na hapa kwangu.
Huyu demu akawa muda mwingi ni kuvizia simu yangu ili aone kama nina mwanamke,yani akawa ni mtu wa kunifuatilia sana,nikawa najisemea "siku yako ina wadia kuliwa na mhuni".
Ikumbukwe licha ya hayo mazoea lakini jamaa yake alikuwa anaendelea kuja tu wana enjoy mle ndani,nikawa naumia tu sasa nitafanyeje,na jamaa nae tukawa tumezoeana kila akija lazima aje kunipa hai na stori mbili tatu then anasepa zake.
Siku moja mhuni niko zangu bafuni nikasikia kama kuna mtu kaingia sebuleni,ile nachungulia nikamwona demu kashika simu yangu ndo anataka kupekua pekua,daah nikasema simu sawa ina password lakini hizi tecno text ikiingia lzm iwe pale juu ya scrin,na niliingia bafuni nikiwa nachat na mademu wawili hivo nikasema wataniharibia,pale pale nikajifunga taulo nikatoka nduki kumpokonya simu,akawa anakimbia,tukaanza kukimbizana ndani kama wapenzi,mara nikamdaka nikamuweka mbele yangu,mara simu kaibana mapajani kwake,hapo ukumbuke tako lote liko mbele ya mashine yangu na nimevaa taulo tu na yeye kavaa kanga na kisinglend chepesi,Kila nikitaka kumpokonya simu anaishusha,na hapo wazo la simu likaanza kupotea kichwani mwangu,nikachungulia huku na kule nikaona potelea mbali,nikaanza kumtomasa maziwa,tumbo,,mara nikaona katulia tu,,mara akanambia,shika simu yako uniache mimi niende,Sikumjibu nikaendelea kumshambulia mara akanipa simu mwenyewe huku katulia,nikaipokea nikaiweka mezani,nikaendelea kumshika,mara ooh niache mi sitaki,,,,Nikamvua khanga tupa kule nikakutana chupi nyekundu imekamata zigo fresh huku mashine imeshakasirika vibaya mno inamgusa makalio,,nikamtoa kisinglend chapuu,,akabaki na chupi tu,nikaenda nikafunga mlango fasta,nikarud nikampeleka chumbani,nikamtupia kitandani fasta huku demu jicho nyanya kalegea kama mlenda ulio tiwa karanga,nikaona haina haja ya kumvua chupi huyu,nikaisogeza pembeni nikazamisha mtarimbo,piga show,,piga show,,Saa tano usiku ndo tukamaliza mtanange, nilijipigia vyangu viwili fresh,Saa tano hiyo demu akasepa kwake.
Zilipita kama siku tatu bila mwenzie kumuongelesha,siku ya 4 Nikiwa job nikaona text "Mambo jay,Leo tule nini"? Nikamjibu tule ndizi nyama,siku hiyo hiyo ndo tukapiga show ya kufa mtu mpaka nikalala kwake,
Mahusiano yetu yalienda hivo mpaka demu alivyo olewa na huyu jamaa yake mwezi 12,Ila mwezi huu wakwanza 10 nilimla fresh tu.
Ni hayo tu.