SI YA KUSAHAU!

Katika weekend moja ya Dec 2020, napata mualiko kutoka kwa mchizi wangu sana akinitaka nifike maeneo ya MiCASA iliyopo karibu na Mabibo hostel, kwa ajili ya utambulisho wa shemeji yangu mpya.

Sikuona tabu kwa kuwa ni mwanangu sana tangu tupo O-level, hivyo ilipofika mishale ya saa 3 za usiku nikawa tayari nipo ndani ya jumba hilo la starehe.

Nikatambulishwa vizuri kwa shemeji yangu, mdau akanambia kuwa demu ni mwanachuo pale UDSM that’s why tumekuja karibu na maeneo yake kumuondoa wasiwasi. Nikasema sio mbaya, starehe zikaendelea kwa vinywaji, mziki n.k.

Kikawaida mimi sio mnywaji sana, just ni social drinker.. nikawa nakunywa ili kuweka kichwa sawa, nikaanza kutembeza LTE zangu kadhaa huku demu akiwa na vichupa vichache vya Savanna.
Mwanangu mimi ndio komba sasa, yaani alikunywa mpaka akawa tilalila!

Muda ulikuwa umeenda sana, ikabidi tufanye mazingira ya kwenda kupumzika. Bahati nzuri mdau wangu alikuja na gari, akaniomba nimpeleke mpaka kwenye dambwe la kupumzika yeye na manzi yake sababu asingeweza kuendesha na ile hali.

Tukafika mpaka kwenye lodge moja hivi maeneo ya Riverside, nikahakikisha wameingia ndani kisha nikamuaga mdau kuwa narudi mtaani kwangu. Jamaa ikabidi anizuie, akaniomba kwa ule usiku nichukue chumba pale pale nipumzike mpaka kesho then atanifikisha kitaa, maana kwa usiku lolote linaweza kutokea.

Ukawa ni ushauri mzuri kwangu, nikachukua room na wenzangu wakachukua ya kwao.

Baada ya kama nusu saa hivi, nasikia mlango ukigongwa. Nikahisi ni wahudumu wa mule ndani.
Nafungua mlango, nakutana na sura ya shemeji yangu..

Akaingia ndani haraka! Ikabidi nifunge mlango nimuulize “Imekuaje tena?”
Nilihisi huenda kuna tatizo limetokea, huenda mdau kashaanguka n.k.

Namuona demu karelax hana presha. Akanambia:
“Mbona rafiki yako kalala tena! Yuko fo fo fo, hatujafanya chochote mpaka muda huu!”

Yaani demu alikuwa tayari kajiandaa kwa show siku ile.

Nikakaa kimya kwa muda.. wakati demu akiwa anaketi kitandani. Ikabidi nimuulize:
“Kwahiyo tunafanyaje sasa?”

Demu hakusema kitu, akawa ananiangalia kwa jicho la wizi huku nikimuona kama anataka kuanza kupunguza nguo zake za mwilini.

Ghafla akasimama halafu akawa kama mtu aliebadili maamuzi. Akafungua mlango na kutoka nje!

Dah!! Nikaanza kujishangaa na kujiuliza, hivi namuachaje huyu kiumbe na kaingia mwenyewe machinjioni? Tamaa ilishaanza kuniingia, bila ya kujali kama ni demu wa mshkaji wangu.

Punde naona mlango ukifunguliwa tena, demu anarudi tena akiwa na handbag yake pamoja na baadhi ya nguo alizoshika mkononi.
Nikawaza tu kwamba hii ni rasmi sasa, kaja kuweka kambi kwenye room yangu.

Baada ya kutua mizigo yake akapanda kitandani.. kiukweli wakati huo sikujiuliza mara mbili..

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Baada ya show, demu akapumzika kifuani huku akipitisha vidole vyake taratibu. Ukimya ukapita kwa muda, kisha story zikaanza ili kujuana vizuri.

Usingizi ukanipitia, nakuja kushtuka asubuhi. Naangalia pembeni demu hayupo.
Nakuta ujumbe kwenye karatasi chini ya simu yangu ukisema:

“TELL HIM NOTHING. Call if you want 06********”

Nikaelewa kwanini alihamia na nguo zake usiku ule. Alitaka iwe rahisi kwake akiwa anaondoka asubuhi. Pia hakutaka mchizi wangu ajue chochote kuhusu kilichotokea!

Nikaenda kumgongea jamaa, akatoka, ndo ananieleza kuwa amelala usingizi mzito mno, na hajakumbuka chochote mpaka asubuhi na anaamka demu hayupo. Lakini hakuna kilichochukuliwa!
Mimi nikawa najifanya kushangaa tu, kama sijui kilichotokea.

Ngoja nikatishe story..

Ila baadae nilimcheki, tukaendelea kuwasiliana. Nikaja kurudia show nyengine siku ya Boxing Day na mpaka sasa tunaendelea na mahusiano!

KAMA UTANI HIVI..
 
Ngoja tuendeleze uziii ..........

Back in days tupo katika chuo pendwa pande fulani mjini Dar , ulikuwa msimu fulani mvua inapiga vibaya mno sasa mbishi nilikuwa naishi bibo , naangalia muda , simu yangu inaniambia ni saa nane na nusu mchana afu saa kumi ninakipindi Yombo 5 , mbishi fasta nikaoga vaa kishikaji tuu huyoo ndani ya shato ( hizi ni gari aina ya coaster zinapiga root mabibo hostel - chuo main campus ) huko nje mvua kama kawa inafanya yake mbishi sina mwamvuli wala nini , kila kitu kitaafaamika mbele kwa mbele .

Pap watu utawala wakashuka , Darajani (kituo kilichokuwa kinafuata baada ya utawala ) , hapa tukashuka kundi la watu remember mvua inanyesha haijaacha hata kidogo, fasta namuona sister duu mrembo kafungua mwamvuli huyo taratibu anaelekea uelekeo nao elekea bila kuvunga nikaomba lift ( huu mchezo maarufu sana yale maeneo hasa kipindi cha mvua ) bila hiyana mrembo akaniruhusu nimsogelee ili tujifunike wote basi bwana asikwambie mtu mtoto alikuwa mzuri ananukia vibaya mno na kanoga achaaa , basi

Mbishi : mambo vipi ?
Mrembo : poa
Mbishi : unaitwa nani ?, ( in this case lets call her kimnana )
Mrembo : kimnana
Mbishi : umependeza
mrembo : asante
Mbisha : unasoma course gani ?
Mrembo : B .com in Accounting, weww unasoma couse gani ?
Mbishi ; bila kupepesa macho BA in Economics , wakuu hapa nilidanganya maana course niliyokuwa nasoma ni B .A Education lkn kama ningemwambia ukweli niliaminika kabisa asingekuwa interested na mimi kabisaa of course yes , i had to lie to her . waliopita yale maeneo wanaelewa jinsi ilivyokazi kwa mwalimu kumnasa mtoto wa UDBS


Basi baadaya ya hapo story mbili tatu tushafika yombo 4 ( hii ni lecture room ) basi mimi natakiwa niingie yombo 5 , palepale bila kulemba nikaomba namba mtoto bila hiyana kanipa , fyaaaa fasta nikapotea

Hii ilikuwa siku ya alhamisi , usiku nikamtext mrembo na kujitambulisha tena mtoto akaonekana kafurahi sana kuiona text yangu , basi siku ikapita then ijumaa jioni hii hapa , kama kamaida nikamcheki tena story mbili tatu mtoto full kujifanya wakishua na mimi bila kukosea full kuigiza vingereza kaaa vyotee . mwisho nika muuliza, j mosi atarudi nyumbani? akaniambia yeye yupo tu lkn mara nyingi huwa anakuwa very bored weekend maana huwa hana sehemu za kwenda ukizingatia yeye mgeni hapa jijini , pale pale nikamuliza vipi nawaeza nikakuchukua tukatembee beach kidogo ? , mtoto wowwwww beach ? I like going there , i cnt wait to go their with you .

Moyoni nikajisemea mungu wangu mi mwenyewe mgeni hata njia ya kunifikisha huko nshaisahau maskini ya mungu coz nilienda kitambo nikiwa mwaka wa kwanza , ila nikajikaza nisimuoneshe kuwa hata mimi wale wale , nikajibu alright let me take you there tomorrow , atleast we can refrest just a little bit, you dont wanna stay here in this hostel alone the whole weekend , right ?. bila kupoteza muda nikampigia simu mshikaji wangu fulani yeye ni mtoto wa mjini jiji lote lake sehemu gani uizungumzie asiijue ? Fasta akanielekeza gari za kupanda mbaka kituo cha kushukia , basi kutoka kwenye kituo mbaka coco beach pale haikuwa tabu sana maana ningeweza kupakumbuka tu vzr

Basi weekend ikafika mtoto kweli kajitupia anapendaza , mbishi kama kawaida licha kuwa ni teacher ( hapo mtoto hajui kumbuka hilo ) lkn aahhhh si haba na mimi nilikuwa nikiamua unaweza hisi mnyama jux kibongo bongo au mnyama fabulous pale kwa biden mbishi nikaongeza na kilinda mfuko kidogo ili nisije tia aibu na hivi loan board waliniwezesha basi nilikuwa mtamu asikwambie mtu , full kuvimba utaniambia nini bwana ? basi bwana hao mbaka macho hatua kadhaaa bahari ile pale tushatimba coco beach watu kaa wote , japokuwa na mimi nilikuwa mshamba fulani lakini niligundua kuwa mwenzangu alikuwa amenipita maana baadaya kufika pale hata kuingia tu kidogo kwenye maji alikuwa anaogopa , alipo jaribu kidogo kuingia wimbi lilipokuwa linakuja alitimua mbio bila kujali kuwa watu wanamuona . basi tulizunguka huku na kule chukua picha za hapa na pale( ingawa nyingi zilitoka kaa zimeungua hivi , sijui pana nini pale ) mbaka mida kaa ya saa kumi na moja na nusu hivi tulipokubaliana turudi sasa .

Kasheshe likaja bwana tulipofika pale kituoni ilituchukue daladala turudi zetu mabibo hostel , watu walikuwa wamejaaa pale vibaya mno gari ni za kugombania, kama msuli wako mdogo kupata gari hutoweza lakini pia kumbuka hapo mwanzo tulisha jifanya wakishua mimi na yeye hivyo ni wazi kabisa ile karaha tukajifanya hatuwezi kugombania gari , sasa tunafanyaje ? pale pale akili ya fasta ikaja , nikamwambia kwanini tusilale zetu tu huku huku ukizingatia kesho ni J. Pili Hakuna shule , mwanzoni mtoto akajifanya anapinga pinga ila kadri muda ulivyosogea na matumaini ya kupata gari kupotea akakubali tutafute sehemu nzuri tutulie , moyoni nikasema yapu point 3,muhimu nishazichukua .

Fasta fasta tukapata lodge fln hivi , hapo hatujala Nikamuuliza nikuletee nnn kama kawaida yao chipsi mayai , mbishi huyoo nikafika sehemu naona kuna mama ntilie pale basi nakaagiza ugali maharage wa buku plus mbga za majani za hapa na pale nikajishindilia vzr then nikamfungia chipsi mayai plus soda huyo nikarudi hapo ishafika saa tatu usiku kala kamaliza .


Ananza kuniletea mambo yake , you know i'm not your girlfriend so we can not sleep together , beside i have someone , hapo hata viingereza vyake sivielewi tena ila mimi nimetulia nampigia hesabu nifanyaje ili niweze kumrumbua huyu usiku huu. Basi nikajifanya na mimi gentleman sina time naye wale sishtuki na alichosema nipo bize nachezea simu nikamwambia usiwe na wasiwasi hakuna chochote kitakachotokea usiku huu . mara huyo kapunguza baadhi ya nguo kabaki na sidilia then chini tight tu taa wala hajazima ( ana leta uzungu kasahau around blacks never relax ) , moyoni nikasema huyu ananijaribu subili, mbishi wala sionishi kushtuka kaja kalala na mimi nikajifanya kulala lakini moyoni nawaza naliazisha vipi hapa , kitu alichojichanganya tumelala hivi kaniachia msabwanda wote nagusa haaa !! wala hanizuiii nikaanz nikamchezea weee tambaza mikono mwili mzima kaa chatu naona mtu anahemu kwa tabu pitisha mkono kule kwa bibi naona tayari pamekuwa wetland , nikajua tu tayari nikasaula mtu ananiangalia tu mwisho wa siku nikajilia vyangu bila hata kutongoza . asubuhi ananiletea tena viingereza vyake , muda huu wala siku msikiliza nikarumbua tena morning glory mbili . then mikakati ya kurudi ikaanza


Baada ya hapo tukawa kaa wapenzi lakini tulikuja kuachana baada ya yeye kuujua ukweli kuhusu mimi , maana pale chuo walimu wote wanapofika mwaka wa pili lazima wasome somo moja hivi linaitwa C T200 ( media ) sasa hili somo ukisoma mwishoni lazima ubuni kitu kinaitwa teaching aid ( kwa ajili ya kufundishia wanafunzi ), teaching aid yko inaweza kuwa mlima kwa wale wa geography , etc sasa bwana ilikuwa ni siku ya kwenda kuzielezea teaching aid zetu mbele ya madoctor nipo na kundi langu tumebeba teaching aid kubwaaaa asikwambie mtu ili tupate marks nzuri kumbe bwana baby yupo juu ya ghorofa pale yombo 5( anasubili pindi ) ananiona navyo angaika na mzigo ule tumetokea pande za changanyikeni kule , na ule wakati pale chuoni ilikuwa ukimuona mtu yoyote anaangaika na yale madude basi moja kwa moja unajua huyu ni mwalimu,

Basi nisikia text imeingia kucheki baby , kufungua niisome nakumbana na swali , " khaaa kumbe wewe ni mwalimu ? " sikujibu haraka haraka nikasubilia nimalizane mambo ya kutafura,marks kwanza then jioni nikampigia ili nimpange na upya mtoto asije akapeperuka coz alisha amini mi napiga mauchumi pale , napiga simu mtoto hataki kupokea , wala mesegi zangu hajibu , jaribu kupiga tena olaaa tuma text whatsup nakuta nilishachezea block kitambo , nikijesemea potelea mbali na huo ndyo ukawa mwisho wetu.
Pole sana mkuu mademu Wa chuo wanakuagalia kozi gani unasoma. Mara huyu ni mwalimu kama mie so tukigoma wote familia haili.
Kuna demu Wa udbs alitokewaga na jamaa Wa education. Yule demu kuuliza kozi akajibiwa kuwa huko kote huko ulikotoka hujawaona walimu wenzako.
Hawajui kuwa maisha ya mtaani sio kuwa ni kozi gani ulisoma.
Hawaoni kuwa nchi saivi inaongozwa na walimu ile top layer.
Kuna wabunge walimu akina mwalimu Marwa Ryoba Wa Serengeti miaka ivyo.
Wao wanakupigia maisha yako kulingana na kozi yako na hauna mahusiano yoyote.
Nashukuru MIE sikupataga fedhaha hizo tulikuqa huku bondeni kwa washika spana.
Pole sana baharia kwa hiyo hali kikubwa pigana ili siku akikutana naweza akukute huko kwa Gari LA $200k mpaka aduwae mwenyewe.
Mie nikipataga hizo fedhaha kwangu ni energy ama kama catalyst.
Nina ushuhuda Wa hapa mtaani kuna walimu wamemeki maisha kuliko waliosoma makozi ya kuheshimiwa kama udaktari
 
Hapo tunaishi na wana watatu Kigeto geto chuo mbeya.. mwana bhana akapata demu mmoja Facebook sisi hapo tupo chuo ile tumerudi tumekuta jamaa yupo na manzi lakini kama amemind hivi kumbe demu kambania mchongo sababu ni siku ya kwanza tu wamekutana..! ila shemeji alikuwa na Zigooo jamanii yanii mnyakyusaa yule wa kyela balaaa sana. Jamaa ilipofika jioni akasepa akamuacha demu na sisi mageto maana nyumba ilikuwa na vyumba viwili na sehemu kama sebule hivi..yule demu akawa anataka kuondoka ila jamaa ndo hapokei simu zake so mimi nikasema kiutani bhasi shemu sikia wewe nenda me nakusindikiza maana mwana alishanipanga nimsomeshe demu asepe tu. Mimi nikasema hasira za mkisi furahaa kwa mvuvi ndo leoo nikamsindikiza demu lakini nikaomba namba kwa utani kuwa anajua kupika so siku nyingine aje atupikie.


Zikapita siku 2 yule demu akanitxt vip shem kwema??? Nkamjibu poa tu akadai ana shida kama ya 10K hivi hata sikujiuliza nikamtezt shem nipo mageto ebu njoo hilo suala dogo mbona sema nimemiss mapishi yako. Namwambia hivyo yule jamaa aliemleta siku ya kwanza alikuwa chuo mimi nilitega.. eehe bhana dak 10 nyingi demu huyu hapa nikalipa boda boda akazama ndani sasa balaa linaanza me namkomalia apike tule bhasi ndo ntampa hela akasema ngoja abadilishe nguo avae khanga bhasi nkamtania aaha shem nipe kazi ya kukubadilisha bhasi...akajibu utashtuka wee mtoto mdogo Kama utani nkamwambia wee huu mziki hauuwezi.. eehee mnyakyusa yule acha aanze kutikisa mzigoo ule me nkaenda kumbambia hivii akageukaa nikaanza kumta matee... hapo me dyudyu imeshasomaa 4G zamani sanaaa... na alikuwa na kalio lainii aiseee achana na ile mizigo mikubwa alafu migumu ule ni balaaa. Nikasahau kabisa kama ni demu alimleta mshkaji nkavuta chumbani tukaanza purukushanii yani ndo nikajua sio wahaya tu wana majii dak 0 demu uteleziii kama wote. Aisee niliwekaaa mashinee achaa tuuu lile jtooo oohoo lakini alipsema aweke doggy style puss ikawa kubwaa kinyamaaa nkawa sienjoy tena nkaona nimlaze chalii weeeeee jamani acheni tu. Nlipigaa vi2 kwa kuunga.


Baada ya hapo demu akasema me nimechoka nkamwambia ukilala hapa si noma sana mshkaji akajidai yule hata sio mpenzi wangu ila me nikajua huyu kanogewa mwana hata kama alimpotezea atamind nkampa 20K nkamwambia asepe. Tuliendelea vile ila kuna siku demu kaja bila taarifa kaja room kwanza direct na mwana alikuwepo aiseee ile siku nikajua nimezingua ila sikuwa na namna hasira za mwana zimepelekea yote yale jamaa alimind sana. Hatukudumu maana mademu wenye makalio na shape kwa helaa jamani hapanaa yani kuna muda unakuta msg karibu 5 za wanaume tofauti wote wanaombwa helaaa nkaonaa eehe hapana mama utaniua kwa kweli.
Mbeya mkuu hujasoma cad kweli hukumaliza 2005. Umeshawahi Fanya kazi na bam afu saivi Uko stigler goji kweli ama ni rike mwingine kama stori inakujakujaja
 
Nilichongundua, watu tunapenda sana zinaa! Ngono zembe, acheni tu haya mambo.
BTW..
Kuna classmate wangu hatujaonana kwa muda sasa! By then, nilikua miongoni mwa wanafunzi wasio na ushawishi yaani maarufuless! Basi Mungu mwema nimefanikiwa kufika chuo, mwezi jana nimekutana nae anafanya kazi stationary. Akanipa contacts, nikachati nae mara kadhaa, nikamwambia nimepanga geto ukipata nafasi karibu (ana mashauzi kimtindo).

Basi ikapita siku kadhaa zikapita, nikakumbushia wito wangu, sijui shetani gani alikuja kichwani, nikamwambia nina genye balaa, sijatomban.a kitambo, kama hutojali, njoo tupeane burudani, najua ww ni mtu mzima unaelewa. Daah! Huu ulikua kama mkeka, wakati nasubiri jibu, wazee hadi nilijamba kwa hofu, baada ya kama dkk 20, message hiyo! "Hiv ww unanichukuliaje" *****, nikamjibu, "Unanivutia sana, ni mwanamke nae tamani kumpa utundu, fikiria mara mbili" Kama masihara akajibu nakuja uniambie live huo upuuzi.

Jion saa moja, mtoto ananambia nishikie wapi, nikamuelekeza akafika geto, mhuni naangusha chini! Geto daah, asee dkk 10 nyingi, mtoto huyu hapa kifuani, hajatamka neno, ninae kunako chuchu, zama uvinza, pitisha ulimi kwenye nyonga, rudi kifuani, denda, dkk 20 nyingi, ninae cha kwanza dkk 3 nyingi *****, dkk 5 ninae, hajahema vema ninae la tatu.

Kama kawaida nikamfuta vema na vest, nikampa maji akaoga, nikamshukuru, akaaga, basi message za pongezi kama mia hivi. Nami kiutani nikamjibu

#Mitano tena.
#Nchi ya viwanda hii.
#Twende na Membe.
Naona mod wamehisi ni tusi hapo kwenye ***** ni mama.e.

Au mods mnasemaje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom