Prisonerx
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 681
- 1,782
Wataka kuliwa kimasihara 😄😄Nasubiri yako..
Wataka kuliwa kimasihara 😄😄Nasubiri yako..
Sijui matusi mimi
Huruma ipi Tena Jamani...Huna huruma kabisaaa khaaa
Ehee ni Bajaji MangiBj? Bajaji au? Zipo sana
Nyie pandisheni hizo genye tu kwani hii dunia yetu😅😅
Nakuona legendAiseeeeee!!
Mkuu vipi hujawahi kugegedwa kimasihara au hata kupalazwa tu?Nyie pandisheni hizo genye tu kwani hii dunia yetu
sumbaiNakuona legend
Hakuna cha kimasihara we msukuma...kama nimeliwa jua nilikuwa namfili mwamba kitambo sana..Mkuu vipi hujawahi kugegedwa kimasihara au hata kupalazwa tu?
Hujambo mkuu
So ulishaga gegedwa bila kutongozwa na mwamba/miamba siyo?Hakuna cha kimasihara we msukuma...kama nimeliwa jua nilikuwa namfili mwamba kitambo sana..
So tukaamua kulana bila kutongozana
Hujambo ngosha
Teeeh, Ila mkuu sijaona yako hata moja. Kuja na ID nyingine chap utusimulie.Madesa mengi saana plus church boy....
Kikubwa ni kushukuru kuvuka salama.
Sijawahi kabisaaa. Church boy naanzaje kula kimasikhara??Teeeh, Ila mkuu sijaona yako hata moja. Kuja na ID nyingine chap utusimulie.
yalizidi aiseeHaya yalizidiii
Pole sana mkuu mademu Wa chuo wanakuagalia kozi gani unasoma. Mara huyu ni mwalimu kama mie so tukigoma wote familia haili.Ngoja tuendeleze uziii ..........
Back in days tupo katika chuo pendwa pande fulani mjini Dar , ulikuwa msimu fulani mvua inapiga vibaya mno sasa mbishi nilikuwa naishi bibo , naangalia muda , simu yangu inaniambia ni saa nane na nusu mchana afu saa kumi ninakipindi Yombo 5 , mbishi fasta nikaoga vaa kishikaji tuu huyoo ndani ya shato ( hizi ni gari aina ya coaster zinapiga root mabibo hostel - chuo main campus ) huko nje mvua kama kawa inafanya yake mbishi sina mwamvuli wala nini , kila kitu kitaafaamika mbele kwa mbele .
Pap watu utawala wakashuka , Darajani (kituo kilichokuwa kinafuata baada ya utawala ) , hapa tukashuka kundi la watu remember mvua inanyesha haijaacha hata kidogo, fasta namuona sister duu mrembo kafungua mwamvuli huyo taratibu anaelekea uelekeo nao elekea bila kuvunga nikaomba lift ( huu mchezo maarufu sana yale maeneo hasa kipindi cha mvua ) bila hiyana mrembo akaniruhusu nimsogelee ili tujifunike wote basi bwana asikwambie mtu mtoto alikuwa mzuri ananukia vibaya mno na kanoga achaaa , basi
Mbishi : mambo vipi ?
Mrembo : poa
Mbishi : unaitwa nani ?, ( in this case lets call her kimnana )
Mrembo : kimnana
Mbishi : umependeza
mrembo : asante
Mbisha : unasoma course gani ?
Mrembo : B .com in Accounting, weww unasoma couse gani ?
Mbishi ; bila kupepesa macho BA in Economics , wakuu hapa nilidanganya maana course niliyokuwa nasoma ni B .A Education lkn kama ningemwambia ukweli niliaminika kabisa asingekuwa interested na mimi kabisaa of course yes , i had to lie to her . waliopita yale maeneo wanaelewa jinsi ilivyokazi kwa mwalimu kumnasa mtoto wa UDBS
Basi baadaya ya hapo story mbili tatu tushafika yombo 4 ( hii ni lecture room ) basi mimi natakiwa niingie yombo 5 , palepale bila kulemba nikaomba namba mtoto bila hiyana kanipa , fyaaaa fasta nikapotea
Hii ilikuwa siku ya alhamisi , usiku nikamtext mrembo na kujitambulisha tena mtoto akaonekana kafurahi sana kuiona text yangu , basi siku ikapita then ijumaa jioni hii hapa , kama kamaida nikamcheki tena story mbili tatu mtoto full kujifanya wakishua na mimi bila kukosea full kuigiza vingereza kaaa vyotee . mwisho nika muuliza, j mosi atarudi nyumbani? akaniambia yeye yupo tu lkn mara nyingi huwa anakuwa very bored weekend maana huwa hana sehemu za kwenda ukizingatia yeye mgeni hapa jijini , pale pale nikamuliza vipi nawaeza nikakuchukua tukatembee beach kidogo ? , mtoto wowwwww beach ? I like going there , i cnt wait to go their with you .
Moyoni nikajisemea mungu wangu mi mwenyewe mgeni hata njia ya kunifikisha huko nshaisahau maskini ya mungu coz nilienda kitambo nikiwa mwaka wa kwanza , ila nikajikaza nisimuoneshe kuwa hata mimi wale wale , nikajibu alright let me take you there tomorrow , atleast we can refrest just a little bit, you dont wanna stay here in this hostel alone the whole weekend , right ?. bila kupoteza muda nikampigia simu mshikaji wangu fulani yeye ni mtoto wa mjini jiji lote lake sehemu gani uizungumzie asiijue ? Fasta akanielekeza gari za kupanda mbaka kituo cha kushukia , basi kutoka kwenye kituo mbaka coco beach pale haikuwa tabu sana maana ningeweza kupakumbuka tu vzr
Basi weekend ikafika mtoto kweli kajitupia anapendaza , mbishi kama kawaida licha kuwa ni teacher ( hapo mtoto hajui kumbuka hilo ) lkn aahhhh si haba na mimi nilikuwa nikiamua unaweza hisi mnyama jux kibongo bongo au mnyama fabulous pale kwa biden mbishi nikaongeza na kilinda mfuko kidogo ili nisije tia aibu na hivi loan board waliniwezesha basi nilikuwa mtamu asikwambie mtu , full kuvimba utaniambia nini bwana ? basi bwana hao mbaka macho hatua kadhaaa bahari ile pale tushatimba coco beach watu kaa wote , japokuwa na mimi nilikuwa mshamba fulani lakini niligundua kuwa mwenzangu alikuwa amenipita maana baadaya kufika pale hata kuingia tu kidogo kwenye maji alikuwa anaogopa , alipo jaribu kidogo kuingia wimbi lilipokuwa linakuja alitimua mbio bila kujali kuwa watu wanamuona . basi tulizunguka huku na kule chukua picha za hapa na pale( ingawa nyingi zilitoka kaa zimeungua hivi , sijui pana nini pale ) mbaka mida kaa ya saa kumi na moja na nusu hivi tulipokubaliana turudi sasa .
Kasheshe likaja bwana tulipofika pale kituoni ilituchukue daladala turudi zetu mabibo hostel , watu walikuwa wamejaaa pale vibaya mno gari ni za kugombania, kama msuli wako mdogo kupata gari hutoweza lakini pia kumbuka hapo mwanzo tulisha jifanya wakishua mimi na yeye hivyo ni wazi kabisa ile karaha tukajifanya hatuwezi kugombania gari , sasa tunafanyaje ? pale pale akili ya fasta ikaja , nikamwambia kwanini tusilale zetu tu huku huku ukizingatia kesho ni J. Pili Hakuna shule , mwanzoni mtoto akajifanya anapinga pinga ila kadri muda ulivyosogea na matumaini ya kupata gari kupotea akakubali tutafute sehemu nzuri tutulie , moyoni nikasema yapu point 3,muhimu nishazichukua .
Fasta fasta tukapata lodge fln hivi , hapo hatujala Nikamuuliza nikuletee nnn kama kawaida yao chipsi mayai , mbishi huyoo nikafika sehemu naona kuna mama ntilie pale basi nakaagiza ugali maharage wa buku plus mbga za majani za hapa na pale nikajishindilia vzr then nikamfungia chipsi mayai plus soda huyo nikarudi hapo ishafika saa tatu usiku kala kamaliza .
Ananza kuniletea mambo yake , you know i'm not your girlfriend so we can not sleep together , beside i have someone , hapo hata viingereza vyake sivielewi tena ila mimi nimetulia nampigia hesabu nifanyaje ili niweze kumrumbua huyu usiku huu. Basi nikajifanya na mimi gentleman sina time naye wale sishtuki na alichosema nipo bize nachezea simu nikamwambia usiwe na wasiwasi hakuna chochote kitakachotokea usiku huu . mara huyo kapunguza baadhi ya nguo kabaki na sidilia then chini tight tu taa wala hajazima ( ana leta uzungu kasahau around blacks never relax ) , moyoni nikasema huyu ananijaribu subili, mbishi wala sionishi kushtuka kaja kalala na mimi nikajifanya kulala lakini moyoni nawaza naliazisha vipi hapa , kitu alichojichanganya tumelala hivi kaniachia msabwanda wote nagusa haaa !! wala hanizuiii nikaanz nikamchezea weee tambaza mikono mwili mzima kaa chatu naona mtu anahemu kwa tabu pitisha mkono kule kwa bibi naona tayari pamekuwa wetland , nikajua tu tayari nikasaula mtu ananiangalia tu mwisho wa siku nikajilia vyangu bila hata kutongoza . asubuhi ananiletea tena viingereza vyake , muda huu wala siku msikiliza nikarumbua tena morning glory mbili . then mikakati ya kurudi ikaanza
Baada ya hapo tukawa kaa wapenzi lakini tulikuja kuachana baada ya yeye kuujua ukweli kuhusu mimi , maana pale chuo walimu wote wanapofika mwaka wa pili lazima wasome somo moja hivi linaitwa C T200 ( media ) sasa hili somo ukisoma mwishoni lazima ubuni kitu kinaitwa teaching aid ( kwa ajili ya kufundishia wanafunzi ), teaching aid yko inaweza kuwa mlima kwa wale wa geography , etc sasa bwana ilikuwa ni siku ya kwenda kuzielezea teaching aid zetu mbele ya madoctor nipo na kundi langu tumebeba teaching aid kubwaaaa asikwambie mtu ili tupate marks nzuri kumbe bwana baby yupo juu ya ghorofa pale yombo 5( anasubili pindi ) ananiona navyo angaika na mzigo ule tumetokea pande za changanyikeni kule , na ule wakati pale chuoni ilikuwa ukimuona mtu yoyote anaangaika na yale madude basi moja kwa moja unajua huyu ni mwalimu,
Basi nisikia text imeingia kucheki baby , kufungua niisome nakumbana na swali , " khaaa kumbe wewe ni mwalimu ? " sikujibu haraka haraka nikasubilia nimalizane mambo ya kutafura,marks kwanza then jioni nikampigia ili nimpange na upya mtoto asije akapeperuka coz alisha amini mi napiga mauchumi pale , napiga simu mtoto hataki kupokea , wala mesegi zangu hajibu , jaribu kupiga tena olaaa tuma text whatsup nakuta nilishachezea block kitambo , nikijesemea potelea mbali na huo ndyo ukawa mwisho wetu.
Ntaomba nije kuona live huu ushuhudaHivi hakuna za bj za kimasihara ee...
Siku wakianzisha bj za kimasihara mnitagi nije kutoa ushuhuda
Sio mimi huyu..zilisikika balimi zikizungumza
Wana nyodo sana wao wanajionaga kama zile Hela za benki zote kama ni zao so zinawasubiria kwenda kuzichukua.Acha tuu mkuu , yani watoto wa UDBS wanawanyanyapaaa sana walimu kwenye kile chuo
Mbeya mkuu hujasoma cad kweli hukumaliza 2005. Umeshawahi Fanya kazi na bam afu saivi Uko stigler goji kweli ama ni rike mwingine kama stori inakujakujajaHapo tunaishi na wana watatu Kigeto geto chuo mbeya.. mwana bhana akapata demu mmoja Facebook sisi hapo tupo chuo ile tumerudi tumekuta jamaa yupo na manzi lakini kama amemind hivi kumbe demu kambania mchongo sababu ni siku ya kwanza tu wamekutana..! ila shemeji alikuwa na Zigooo jamanii yanii mnyakyusaa yule wa kyela balaaa sana. Jamaa ilipofika jioni akasepa akamuacha demu na sisi mageto maana nyumba ilikuwa na vyumba viwili na sehemu kama sebule hivi..yule demu akawa anataka kuondoka ila jamaa ndo hapokei simu zake so mimi nikasema kiutani bhasi shemu sikia wewe nenda me nakusindikiza maana mwana alishanipanga nimsomeshe demu asepe tu. Mimi nikasema hasira za mkisi furahaa kwa mvuvi ndo leoo nikamsindikiza demu lakini nikaomba namba kwa utani kuwa anajua kupika so siku nyingine aje atupikie.
Zikapita siku 2 yule demu akanitxt vip shem kwema??? Nkamjibu poa tu akadai ana shida kama ya 10K hivi hata sikujiuliza nikamtezt shem nipo mageto ebu njoo hilo suala dogo mbona sema nimemiss mapishi yako. Namwambia hivyo yule jamaa aliemleta siku ya kwanza alikuwa chuo mimi nilitega.. eehe bhana dak 10 nyingi demu huyu hapa nikalipa boda boda akazama ndani sasa balaa linaanza me namkomalia apike tule bhasi ndo ntampa hela akasema ngoja abadilishe nguo avae khanga bhasi nkamtania aaha shem nipe kazi ya kukubadilisha bhasi...akajibu utashtuka wee mtoto mdogo Kama utani nkamwambia wee huu mziki hauuwezi.. eehee mnyakyusa yule acha aanze kutikisa mzigoo ule me nkaenda kumbambia hivii akageukaa nikaanza kumta matee... hapo me dyudyu imeshasomaa 4G zamani sanaaa... na alikuwa na kalio lainii aiseee achana na ile mizigo mikubwa alafu migumu ule ni balaaa. Nikasahau kabisa kama ni demu alimleta mshkaji nkavuta chumbani tukaanza purukushanii yani ndo nikajua sio wahaya tu wana majii dak 0 demu uteleziii kama wote. Aisee niliwekaaa mashinee achaa tuuu lile jtooo oohoo lakini alipsema aweke doggy style puss ikawa kubwaa kinyamaaa nkawa sienjoy tena nkaona nimlaze chalii weeeeee jamani acheni tu. Nlipigaa vi2 kwa kuunga.
Baada ya hapo demu akasema me nimechoka nkamwambia ukilala hapa si noma sana mshkaji akajidai yule hata sio mpenzi wangu ila me nikajua huyu kanogewa mwana hata kama alimpotezea atamind nkampa 20K nkamwambia asepe. Tuliendelea vile ila kuna siku demu kaja bila taarifa kaja room kwanza direct na mwana alikuwepo aiseee ile siku nikajua nimezingua ila sikuwa na namna hasira za mwana zimepelekea yote yale jamaa alimind sana. Hatukudumu maana mademu wenye makalio na shape kwa helaa jamani hapanaa yani kuna muda unakuta msg karibu 5 za wanaume tofauti wote wanaombwa helaaa nkaonaa eehe hapana mama utaniua kwa kweli.