sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,365
- 41,378
Hukuoa huyo manzi???kuna manzi nilikua nakaaa nae nyumba moja miaka kama 6 iliyopita.
alikua ni pini kweli kiukweli nilikua namtamani jinsi ya kumuingia ulikua mtihani....ofcourse tulikua watu wa kusalimiana basi kila mtu na mishe zake...kulikua kuna group la WhatsApp wapangaji wote tulikua mule...nakumbuka kulikua na kikao cha wapangaji siku moja nikatoa udhuru kwenye group kwamba sitaweza kufika naumwa....
yule demu akanifuata inbox kwamba naumwa nn..nikamjibu naona aibu hata kukuambia naumwa ugonjwa ambao hata kuuelezea mtihani akanifosi sana nimwambie(kiukweli sikua naumwa kitu nilikua nazngua tu).
.
ikabd nimwambie nna mwezi uume wangu hausimami hata nifanyaje(nilitunga ugonjwa ili kumzngua) demu akaenda hewani ile napokea nikawa kama nalia...nalalamika sijui nimekumbwa na nini bla bla kibao demu akawa ananionea huruma sana....akasema anatamani anisaidie ila hajui afanyaje akanishauri hospital nikamwambia nimeenda sana lakini hakuna mafanikio....
Story story pale akasema akitoka job atakuja kunichek kwangu heeeee ushetani ukanivamia rasmi nikawa nawaza jinsi ya kumkula...kweli alivyotoka job akaja mpaka gheto.kwangu ilikua usiku kama saa2...ndugu nilijifunika blanketi natetemeka uongo uongo mixer machoz.......daaaah nguvu ya papuchi ni kubwa
basi alinionea sana huruma sana akasema hana jinsi ya kufanya...nikamuomba kitu na yy akakubali kitu bila kujiuliza mara mbili...nikamwambia naomba uishike huenda leo itajitahd kufuction..basi akachukua mkono wake wa kulia akawa anagusa gusa bwana mnaraa huooo kama umeme umerudi....alishtuka na mimi nikajifanya kustuka na kufurahi sana...nikamuomba aendelee kushika huku na yy namshika basi picha linaisha akaliwa kimasihara na mimi mgonjwa...
baada ya kumaliza anauliza ulikua serious au ulikua na mbinu zako huku nalia nikamwambia mama milikua serious na ww ndio umeniokoa..
..sijui kama aliamini
ila picha liliisha hivyo.....
NADHANI HAYA NI MASIHARA
AU NYIE MNASEMAJE NDUGU ZANGU