Namge
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,380
- 1,844
Ni Kama kibo gold kaskazini ilibamba Sana..ila mtu wa kanda akiziona leo atajua bia ya juzi..RFA walikua wanaipiga promo hii Bia miaka hiyo ya 2000's nilijua hiyo ndio bia pekee hakuna nyingine..utoto bana
Sent using Jamii Forums mobile app