gabjhn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 461
- 800
Operation miezi sita. Ila Sitokaa nimsahau Afsmde Mllay afu siku za weekend lile disko la kwenda ukumbini ukutwe umesimamisha demu barabarani kwenye viunga ukutwe na afande wote ni moja kwa moja mahabusu na demu wako. Afu mbaya zaidi nilikuwa kombania ya Masagasi!🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hilo la kuja Serengeti kwenye maanga ya wanaume walikuwa wanakuja mchana na sio usiku.. Kipindi hicho pale 841 kj mkimaliza six week Serengeti walikuwa wanakuja mchana tu na sio usiku..
Mkuu ulipiga intake gani mafinga? Hata mm nilipga mafinga.. Dah! Naikumbuka root ya chakula toka uwanja Wa RSM uelekeo ria get airport mnaingia barabara ya mufindi mnatokea kwa Balali mnaingia zahanat main gate madarasani mwamunyange hall
Sent using Jamii Forums mobile app