Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,826
- 8,675
Sasa wasabato watasema chakula mlicho pika na haramu kwa kua mlikuwa uchiNILIVYOMLA "PARTNER" KIMASIHARA
Baada ya kumaliza chuo mwaka X maisha yakawa hayaeleweki nikaamua nifanye kazi (nijishikize) ambayo sio taaluma yangu nipate vijisenti vya vocha.
Nilibahatika kupata kibarua kwenye ofisi flan maeneo ya Kigamboni. Siku ya kuripoti kazini mvua kubwa ilinyesha ikabidi nijikinge na mvua pale kivukoni "ferry". Wakati sina hili wala lile kuna mdada alinigusa begani na kunambia, "Kaka umedondosha kitambaa chako" nikamshukuru akajibu, "usijali!" Nilitamani sana nibonge naye kidogo ila roho ikasita kwa sababu alionekana ni wale wadada maisha mazuri nkajisemea, "Ordyguy achana na ugonjwa wa moyo, ukiombwa pesa utatoa wapi na mfukoni una nauli tu?" Nikajichatisha pale na 'kiswaswadu' changu hadi mvua ikakatika nikaenda kupanda daladala za Kibada roho ikiuma kwann sikuchukua namba ila potelea pote!
Nilipofika ofisini nikamkuta boss ambaye ilibidi anipokee nikajisemesha kuhusu kuchelewa akanielewa. Akanifanyia kaorientation kadogo na kunionesha ofisi yangu na siku ile ile nikaanza kazi. Wakati nakaa kwenye kiti kuna mtu akafungua mlango wa ofisi yangu. Lahaulaaa!! Ni yule binti niliyemuacha pale kivukoni. Kumbe anafanya kazi kwenye kampuni hii!!! Tukasalimiana kama vile hatukuwahi kuonana before akajitambulisha anaitwa 'F' na mm nkajitambulisha. Kiufupi huyu binti alikuwa mrefu, mweusi (blackbeauty) afu ana kiuno matata sana! Na kuanzia siku ile tukajenga mazoea ya kualikana chakula cha mchana na yule binti akawa ananiita 'partner' (kazini waajiriwa wengi walikuwa wameenda umri, vijana tulikuwa watatu tu na hii ilinisaidia kujenga ukaribu na yule binti.)
Baada ya kufanya kazi kwa miezi kadhaa nikaamua nianze maisha ya kupanga kule Kigamboni. Yule partner ndo alinisaidia kutafuta nyumba na nilipohamia akawa anapata chakula cha mchana pale kwangu. Nikiri hadi anakuja kwangu niliishia kumtamani na kulingana na story zake niligundua ni mtoto wa kishua. Kitu pekee ambacho alikuwa anakipenda kwangu ni unadhifu wa mwili, uchangamfu na mara kadhaa alinambia anapenda lifestyle yangu ya mazoezi. Haya mambo yalikuwa yananipa kaushujaa flani
Jumamosi moja asubuhi nilitoka kupiga tizi nikakuta missed calls 4 kutoka kwa partner ikabidi nimcheki. Swali lake la kwanza lilikuwa, "Leo wifi yupo nn?' nikamjibu hapana na nilijua anatania kwa sababu sikuwahi kumwambia lovelife yangu na hata yeye hakuwahi kunambia yake (kitu pekee tulichokuwa tunashea in common ni addiction kwa movies). Akanambia anataka kuja kwangu kufanya mazoez na kuangalia movies. Nikamwambia nmetoka kufanya mazoez ya viungo muda si mrefu ila aje nimfundishe tu then tutaangalia movies na nikasisitiza aje na external drive.
Kwa kuwa kwa muda ule nilikuwa na majasho ikabidi nivue t-shirt nipate kijiupepo. Nikajisogeza karibu na feni nikawasha Tv na wakati namaliza kuwasha tv mara mlango ukafunguliwa! Ni partner!! Kumbe alikuwa ametoka muda mrefu kwao na zile missed calls alipiga akiwa anatoka Ferry. Akanisalimia na nikamwomba samahani kwa kunikuta kifua wazi! (Am a gentleman ofcourse) Hiyo samahani hakuitilia maanani akaishia kusema, "Wooouuh! I never noticed that u have a tattoo! It really looks good on you!" Nikashukuru kinafk pale na akasema hataki nivae tena t-shirt. Hapo kuna taa nyekundu ikawaka kichwani ila nikaizima
Wakati nampokea vifurushi alivyokuja navyo ndo akawa ananishika kifuani ilipo ile tattoo na kunisifia kuwa najitunza. Hapo hapo nikahisi wizara yangu ya mambo ya ndan imepokea wageni! Akanambia kwa sauti ya chini, "Ordyguy can I hug you if you won't mind?" Nikamwambia nimetoka kupiga tizi na sijajimwagia maji akasema "I don't give a shit na hayo majasho yako!" Nkamkaribisha kifuan na partner akalaza kichwa chake kifuani kama vile amechoka. Akajisemesha, "Natamani nibaki hivi for the rest of my life". Nikajisemea "mambo haya yana wenyewe na wenyewe ndo sisi!"
Nikampapasa mpaka chini kwenye tako na mtoto hashtuki wala nn! Kiufupi mtoto ana tako moja amazing!! Nikambeba nkamuweka kwenye sofa akasema "not here, on bed please!" Nkambeba tena mpaka chumbani nikamsimamisha mbele ya kitanda tukapapasana huku nakula mate! I swear she's the best kisser. Wakati huo nkakumbuka kuwa sijaoga na mtoto ananukia hatariii! Nkamwambia "partner, naomba nioge kwanza kama hutojali!" Akakunja uso kama vile nimemuudhi, nikajiongeza nkaona nipige show tu, kuoga kupo nitaoga hata mwakani. Nikamchojoa kila kitu tena kwa fujo maana hizo ndo mechi zangu! Nikazisabahi nyonyo zake kwa ulimi wakati huo yeye kamshikilia bwana mkubwa huku chini! Kiufupi ilipigwa mechi tena kwa sections fupifupi then tukaingia kuoga. Huko bafuni bwana mkubwa akanisaliti akasoma 4G na nashukuru partner alimjali. Ikapigwa doggie moja mujarab kabisaa mpaka mtoto akachoka kuinama akafanya kushika sink la bafuni na badae akasema anataka nimbebe. Hii style aligundua naipenda na nacum faster! Nahisi alikuwa amechoka ila hakutaka nibaki na wazungu! Nikampa alichokitaka mpaka tukafikia ukomo mzuri!
Baada ya hapo tukaingia wote jikoni, tukapika tukiwa kama tulivyozaliwa (hili lilikuwa pendekezo lake ila ilikuwa experience moja tamu sana). Siku hiyo tukaanzisha ukurasa mpya na nashukuru 'partner' alikuwa very smart kumaintain relationship na kazi. Nilikuja kupata kazi ya profession yangu nikahamia kwingine ila tuliendelea kuwa wapenzi na 'partner' na tukajaliwa kupata mtoto wa kike after 2 years of dating! Unfortunately kuhusu ndoa mambo yalikuwa magumu coz partner ni muislam na mm ni mkatoliki. Familia yake ilileta utata na mm ni ex-seminarian, nilipowagusia wazazi suala la kuishi bila ndoa ikaleta mtafaruko mkubwa. But so far partner ananipenda mpaka kesho japo ilifika muda nkamwambia aolewe tu!
Popote ulipo 'F' (partner) jua nawapenda ww na mwanangu even though things didn't work out as we all wanted!
Mniwie radhi kwa uandishi mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app