Nakubaliana nawe . Mara nyingi mwanamke anakuaubiri ktk njia. Kama mwanamke hataki halifanyiki
Mtoto wa dada anaingia chumbani anakukuta uchi halafu bado anaendelea kuwepo na kukuchekea halafu bado unataka tuamini alikuwa anakuheshimu sana. Ngoja nikwambie kitu hicho kitoto huenda wewe ulikuwa unakiheshimu sana ila chenyewe kilikuwa na akili yake kitambo na kilikuwa kinakutamani muda tu na inawezekana hiyo chai kwenye zipu wala haikuwa bahati mbaya. Huu mfano wako unazidi kuonesha ni kwa namna gani mara nyingi wanawake ndio huwa wanaendesha hii game.