Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wanangu sana eeh ebu nielekezeni chimbo (Lodge) zuri lililojificha kama upo maeneo ya Banana, kuna namba A flan hv nataka nikamkande by jion leo. OVER!!!
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
kaka huu uzi wako si wa kitoto ... yn huu ni uzi kama uzi
 
Hahahaaaa......
Uko wapi?

Home

Una fanya nini?

Nipo tu nasoma soma

Una kitabua cha Shigongo?

Kipi?

Kile ulichokuja nacho library siku ile?


OOOH kile cha stephanie nnacho ndio nakisoma hapa


AAAH jamani namimi nlikua nataka nkisome D

Njoo tusome wote kama unataka

Poa nakuja

BAADA YA NUSU SAA

Hodiiii

Pitaaa sukuma

mambo D

Poa tu niaje?

Fresh nambie

Karibu sana za kupotea

Nzuri we ndo umepotea bwanaa

Aaah mi nipo tu

unaangaliaga katuni na wewe?

Ndio nacheki sana tu ndio starehe yangu na vitabu

Hii katuni inaitwaje?

Sing

nsimulie basi ikoje koje

Nkamsimulia kidogo then nkamwacha akodoe macho (kashasahau kilichomleta ni kitabu)

Unakunywaga wine?


Ndio ila nimekunywa zamaniiiii,unataka kunipa?

Hapana nimekuuliza tu,niambie nikupe nini unywe huku ukiangalia movie

Nichagulie wewe bana chochote tu

Nkaenda nkafungua fridge nkatoka na Drostdy hof nkam miminia kwenye glass,nkampa (karibuu)

Asantee,sio chungu?

Hapana we onja utaiskia

OOH KUMBE TAMU mi nlijua chungu

HAMNA hiyo n tamu tu (basi nkaendelea na kitabu changu na yeye na movie ake)

BAADA YA NUSU SAA

namuuliza,umemaliza nikuongeze?

kimyaaa,kuangalia eti kashalala

vipi mama unaskia usingizi?


Yani nimechoka D

Twende ndani ukapumzike kidogo

Mi nkalale peke angu? labda tulale wote

Kichwa kikalia Alarm triiiiing (nkasema leo ndio leo)

Ok twende namimi ntalala kidogo,nimechoka kusoma

Tukafika kitandani tukajitupa tukalala (nimetulia kimya kama sio mimi hapo)

nkaona mtu anajisogeza sogeza kwangu si unajua ile wakina dada wanavyolala

Namimi kimya nkajifanya nakoroma

Akasogea tena na tena hadi tukagusana

Nikaona huu Uboya huuuuu,hivi sisi tumelala au hatujalala? (najiuliza kimoyo moyo)

Nikauchuna mtoto akajaaa uso ukaja karibu yangu tukawa tunapumuliana kama mabeberu

Mara lips zikasogeleana

Mara zikagusana romance ikaanza

Puruku puruku mtu KALIWA


baada ya kulana usingizi ukamuisha mwenzangu

Akaamka akananiambia alikua katumwa mahali

Nkamwambia poa mi nipo

Akatoka akasepa na Mwisho ikawa hivyo


Huyo alikua ni mpenzi wangu wa kwanza kabisa kumkula bila kumtongoza

Hatukuishia hapo tuliendelea tukaja achana mbele mbele huko
 
Nimesoma weeee,naona na mie nitoe uzoefu wangu...mie nilikula mtawa,alikuwa sister moja mzuri sanaa,ndio kwanza katoka kufunga nadhiri.Hawa watu nao ni binadamu na wana nyege sana usiombe.

Miaka hiyo nipo zangu seminari,bado sijajua sana mambo ya papuchi na mademu nawaogopa kidogo.Sasa siku hiyo kulikuwa na Uaskofu,askofu alikuwa anasimikwa(Jimbo nalihifadhi),nakumbuka ilikuwa 01/September...huyo bishop alikuwa anasimikwa jimbo la jirani na jimbo letu,ila kwa vile kihistoria hilo jimbo jirani lilikuwa ndani ya jimbo letu kabla ya kugawanywa,hivyo kuna mambo mengi ya kihistoria tume-share,sasa sisi tulichukuliwa seminarini kwenda kwenye Uaskofu sababu kwanza Askofu alisoma seminari yetu kabla ya kugawanywa jimbo,na pia alikuwa mwalimu wetu miaka ya nyuma kabla hajapewa uaskofu(Mkuu wa shule seminarini huitwa Gombera au Rector kwa kingereza)

Basi mie nilikuwa kiranja mkuu pale seminarini,kwa hiyo nikaambiwa niteuwe watu 20 wa kuwakilisha na mie nikiwemo,basi usafiri ukawa tuna share na masista,ilikuwa ni coaster moja.Wakatupitia pale seminari kama saa 11 alfajiri kuanza safari ya kwenda jimbo jirani,maana palikuwa na umbali.Sasa katika kuingia mle ndani,mie nikaenda kukaa kwenye siti moja na huyo Sister,nilipofika kama kawa nikampa zile "Tumsifu....",then nikauchuna.Nilikuwa na novel yangu nasoma taratibuu.

Nimeenda kama saa moja,akaanza kunisemesha,akauliza jina na parokia nayotoka...swaga za watawa ataanza kukuliiza mambo ya upadre sijui utakuwa padre na stori kibao,nikawa namjibu kidizaini tu..baadae story zikakolea sana,maana ilikuwa ni safari ya zaidi ya masaa manne.Ghafla tukawa tumeozoeana na ndio tumefika.Tumeshuka naona sister yupo tu mgongoni,tumepewa itifaki ya kukaa maana wao walikuwa na sehemu yao na sie sehemu yetu,Sister yupo tu....hizi misa huwa ndefu sana,tupo in between Sister akanambia ana kiu tukatafute maji.Tukakaa huko mpaka muda wa msosi.

Baada ya msosi,ikawa muda wa michezo na zawadi kwa askofu,tayari giza limeingia tukawa tumeandaliwa mahali pa kulala.Hapo sasa mziki ndio ulipoanzia asee...Sister akaenda walipoandaliwa akawa amenielekeza nimsubiri mahali,maana zilikuwa ni kama nyumba za wageni zina kibustani hivi(wenye uzoefu na majeno ya mission wataelewa).Kijana nikaenda kuoga nikjitega,hapo na mie akiki ishaanza kuwa moto,maana nilikuwa na ugwadu lita kadhaa.

Sr kabadili yale mavazi ya sherehe meupe,kaja na zike casual dressing zao na vitenge,kimoja kajifunga chini,kingine alipofika nilipokaa akajitanda kichwani ili kiremba kisionekane.Na kwa kweli she was a little bit order than me,nadhani ni kama miaka mitatu,lkn hawa huwa wanakaa vizuri so alikuwa bado analipa sana.Tumekaa pale story za kuniuliza masomo na wito,tumeenda naona mtu mara anashike mkono,mara acheke huku ananipiga pajani...nikaanza kuhisi kitu.Hapo ngoma inaenda saa nne usiku...pametuliaa kama kawaida ya maeneo ya misheni.

Nikaona huyu sasa anaitania,nikaanza kumuingizia story za ubikira na nini,mara ooo ninayo mara nini,nikasema aaa mi siamini,yupo aa si ushike uone...roho ikafanya paaa!!kidume nikasema kwa kushika haipimiki...maana na mie nilikuwa nusu kichaa,ndio maana walinifukuza seminary,basi kumcheki sr na zile story kaanza kupata mzuka,nikashika paja akaruka kama kapigwa shoti,kupenyeza mkono wamotoooo balaa,nikaanza kupima oil,kucheki mtu kalowaaa,pima oil huku napikicha chuchu...Mtu hoiiii,mlemle garden nikala kama viwili vya faster...Around saa sita huko tukasepa kila mtu room kwake.

Asubuhi kabla ya kuanza safari nakutana naye breakfast anaona aibu kinoma,kidume mie nikakaza tu,tukaingia safari kurudi zetu.Njiani stori kama zote na kupeana SLP...Maana wakati huo hakukuwa na simu.Wakatupitisha seminari tukashuka.Kama week hivi nikaona naitwa napokea zawadi,nikicheki zinatoka kwa Sister...baadae barua anataka Easter Conference niende maana inapofanyikia ndio makao yao shirika,nikaenda kidume napo nakimbandua.

Zikawa sasa ni barua tu ananiandikia,au jamaa wakienda kule makao makuu ya Coventin wananiletea salamu na zawadi.Siku tunafunga midterm nikapita kwao,akanilaza nyumba ya wageni anasema mseminari mdogo wake,usiku naona mtu anagonga,kaja naniletea chakula hapo wakati wenzake wameenda kupiga vesper,kaja kimitego nikala sana mzigo.

Kumbe bhana akawa anaandika vibarua anaweka hela havinifikii,kuna Father mmoja mkuda alikuwa anafuata barua posta,alistuka ule mwandiko wa kike akafungua,akakuta maneno mazito ya Sr,sasa ikawa barua zangu anaziteka...zikija tu anaziteka(tulikuwa na msemo barua ya demu ikikamatwa tunasema "ime-kapchwa",siku naitwa kwa Rector nakuta mzigo kama wa barua kadhaa zimedakwa,kosa kubwa sana hili seminari.

Kuhojiwa pale sina cha kujitetea,nikapigwa kwanza suspensio then akaitwa Paroko wangu,basi paroko wangu akapatwa na butwaa sana,alikuwa jamaa yangu ananipenda sana halafu ananiaminia sana,aliumia sana na mie nilifadhaika sana,ikawa hukumu ni kufukuzwa tu.Paroko akajipa kazi ya upelelezi kuona huyo Sr ni yupi,alipomuona siku nimemaliza suspension naenda kusikilizia hukumu kama nafukzwa au la,nimeenda kwanza parokiani,paroko ananambia,kijana wangu huu ni ubinadamu tu,usikate tamaa...pale ulipoangukia,binadamu yoyote mwenye mwili kamili angedondoka tu.

Paroko alinombea sana msamaha,jamaa wakaniacha nifanye paper NECTA,baada ya hapo nikapokea barua toka mkurugenzi wa miito kuwa wanadhani mwenendo wangu haufai kuendelea na seminari.Mama yangu alihuzunika sana,nashukuru Paroko hakumpa kisa cha mimi kupigwa suspension na kufukuzwa,sijuaginalimdanganya nini Mama,ila walau hakumpa hii kashfa yangu..."shalauti kwa paroko wangu popote ulipo"..,niliendelea na maisha mengine...Sister tukapotezana kwa muda sana,nikaja kumuona nimeshaoa.Amebaki tu kuwa best yangu...Paroko wangu nikiwa na likizo huwa naenda kumtembela na familia yangu huko alikohamishiwa,namkubali sana yule Father...Huwa akinicheki na wife anacheka sana
Barua iliniondoa huko seminari bila mjadala,nililia sana maana wazazi wangu ni jamii sawa na kina Nduli a.k.a Idi Amini,tukiwa kwenye pickup ya paroko tunarudi nyumbani,ninalia sana,najaribu kumuomba paroko anifanyie mpango nipate shule ingine bila nduli na mkewe kujua.paroko alikubalia nikaingia shule ya diocese nakumbuka tulikaa week moja pale tukafanya ule mtiani wa midterm katika mitihani yote nikawa nimepata A,nimefika home nimeshika ma past papers yameandikwa sijui shule gani...kumbe nduli ana taarifa zote....Daah ile adhabu ya Mzee wangu huwa inanifanya nijione soldier bila mafunzo....Wakuu samahanini kwa ku interact Uzi huu.
 
Aisee ulimuandikia Barua sister au???? Pole mkui
Barua iliniondoa huko seminari bila mjadala,nililia sana maana wazazi wangu ni jamii sawa na kina Nduli a.k.a Idi Amini,tukiwa kwenye pickup ya paroko tunarudi nyumbani,ninalia sana,najaribu kumuomba paroko anifanyie mpango nipate shule ingine bila nduli na mkewe kujua.paroko alikubalia nikaingia shule ya diocese nakumbuka tulikaa week moja pale tukafanya ule mtiani wa midterm katika mitihani yote nikawa nimepata A,nimefika home nimeshika ma past papers yameandikwa sijui shule gani...kumbe nduli ana taarifa zote....Daah ile adhabu ya Mzee wangu huwa inanifanya nijione soldier bila mafunzo....Wakuu samahanini kwa ku interact Uzi huu.
 
Back
Top Bottom