Wajumbe mpoo? Mna nafasi niitishe kikao leo jioni? Kama una nafasi gonga like!
Ila siwezi kuwaacha hivo tu, nawaacha na kibwagizo,
"....Lugumya, naomba usikie maneno ninayo kwambia, ni leo tu, lakn natamani niombe talaka. Ulikuwa wapi baba, naomba uniongeze viwili tena kama hiki Cha kwanza. Alama na kumbukumbuku ulonipa leo, haiwezekani kufutika Moyoni. Na Kuanzia leo, Mshahara wako utatoka Laki 8 hadi Milioni 1 na laki 3.....!
Nani alinambia hivo, tukutane kazini!!!!
Chukua tahadhari, Covid-19 bado ipo.
Sent using
Jamii Forums mobile app