Pharmacist girl
Member
- May 25, 2020
- 26
- 73
Naogopa anaweza akawepo humu....Tapsa rise!!
Ilikuwaje mtaaalam?? Tupe japo inbrief bwana jinsi ulivyo kula kimasikhara
komesha korona
Naogopa anaweza akawepo humu....Tapsa rise!!
Ilikuwaje mtaaalam?? Tupe japo inbrief bwana jinsi ulivyo kula kimasikhara
komesha korona
Naogopa anaweza akawepo humu....
Tupe ilikuwaje [emoji3][emoji3]Haya mambo ya kula kimasihara, me sijui nilikula au nililiwa maana katika kipindi kifupi sana tu tukalana.
Kiukweli wangu yumo hum lakini natiririkaga mpaka ananifata pm kunituliza mnkar.Naogopa anaweza akawepo humu....
Kifupi tu nilimkuta mahali flani hapo mji kasoro bahari, na kwake nilimtamani kwa kuwa alikuwa na makengeza na mwili Wa kawaida tu.Weka code. Bwana...
Naweza kuwa ni mie. Nmekupa ruhusa
komesha korona
Kifupi tu nilimkuta mahali flani hapo mji kasoro bahari, na kwake nilimtamani kwa kuwa alikuwa na makengeza na mwili Wa kawaida tu.
Sawa nipo nyuma ya keyboard saizi
UsiogopeSawa nipo nyuma ya keyboard saizi
Dah....!Kifupi tu nilimkuta mahali flani hapo mji kasoro bahari, na kwake nilimtamani kwa kuwa alikuwa na makengeza na mwili Wa kawaida tu.
Uliliwa wewe[emoji23]Haya mambo ya kula kimasihara, me sijui nilikula au nililiwa maana katika kipindi kifupi sana tu tukalana.
fanya chapu kidgo mkuu, nasubir kwa hamu kweli hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Habari wakuu.
Navuta pumzi kwanza nitaletaga mkasa jinsi nilivomla kimasihara binti mwenye mapepo mpaka mapepo yakakimbia.
Sent using Jamii Forums mobile app
fanya chapu kidgo mkuu, nasubir kwa hamu kweli hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
nilimkimbia mwnye nayo, sasa cjui wewe ulipata wapi ujasiri au hukujua kabla!!!?
Haya hujui kama na sisi ni mabaharia, sema aliniweza kwa makengeza tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya hujui kama na sisi ni mabaharia, sema aliniweza kwa makengeza tu
Aicee kuna watu wanakuaga na bahati sana...yan jamaa hajaangaika hata kukutongoza....ni mwendo wakuchukua room na kupga shoo dah[emoji23]Mwaka juzi hapo Morogoro.
Nilikuwa kwa kaka yangu na yale maeneo kila mtu yupo ndani ya gate lake, Jpili moja tunaenda Church nikamuona mwanaume mmoja hivi ana makengeza na mwili mazuri sana.
Nilikuwa na watoto Wa kaka yangu, wakamsalimia na mm nikatoa salamu zangu kwake, ila moyoni nilimtamani pale pale maana hadi church nilikosa umakini kwa kumuwazia yeye.
Jioni yake mtoto Wa kaka yangu akaniletea hesabu za nursery nimfundishe maana kana miaka mitatu, kumbe kazitoa kwa yule Kaka na kuna namba ya simu imeandikwa.
Nilimtext kisha kujitambulisha, akasema nakuonaga unapita sana hapa, sikuwa na hiyana maana nilikuwa nataka kutest zari tu. Maana kadiri tulivyokuwa kunachat nilizidi kumtamani sana.
Kesho yake aliniita nikaenda pale, na kukuta kashachukua chumba tayari na kupigwa show moja matata kabisa. ( ukweli jamaa anajua sana mapenzi na namsifia sana maana sijawahi ona)
Kule aliniambia yeye ni lecturer chuo kimoja hapo Moro, na niliogopa maana nilihisi ana HIV, akanisii sasa nisiogope na tulipima pale pale na kukuta sote tupo safi.
Jamaa alikuja sana mkoani nilipo mara nyingi sana, maana niliishi mkoa ambao kuna chuo na ni lazima angekuja maana alikuwa ana vipindi vya kufundisha hapo chuoni.