Yeah na ndio jinsi ya kuweka code.. inabidi imfanye msomaji ajione genious kwa kuvunja code kumbe umempeleka unapotaka wewe.. unataja mitaa mingi na kudescribe mtaa ulivyo kumbe tukio limetokea mkoa mwingine kabisa.
 
THE ELITE FORUM.Jf ilinifanya nifute apps mshenzi kwenye sim yngu

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Maisha magumu ni kwako tu
Jf wengi ni good life
 
Yeah na ndio jinsi ya kuweka code.. inabidi imfanye msomaji ajione genious kwa kuvunja code kumbe umempeleka unapotaka wewe.. unataja mitaa mingi na kudescribe mtaa ulivyo kumbe tukio limetokea mkoa mwingine kabisa.
Akili kubwa NDIO huwa zinafanya hivi.

Hawa wenye akili ndogo ukiandika "kimara" akili yake inadhani ni kweli ni "kimara"[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HII CHAI SASA....YANI BINTI WA MIAKA 19 AWE NESI...ALISOMA SAA NGAPI....?
Wewe ni msukuma bila shaka mmezoea kuchungisha watoto ngombe shule anaanza na miaka 10+, nikwambie tu inawezekana binti wa miaka 19 kuwa nurse level ya certificate sharti atoke moja kwa moja chuo aingie kwenye ajira simple hesabu hii aanze shule na miaka 5 kama umbo linaruhusu chukua 7+4+2 vijana sasa wanamaliza wakiwa wadogo sio kama zamani wako wanamaliza degree na 21-22 mkuu
 
Mwanangu ana miaka 15 yuko form five
 
Mimi nilishawahi kuzama mtaani kufuata papuchi saa 6 ya usiku hapo unaambiwa kesho yake nina pepa la microbiology na parasitology.

Asee papuchi hizi nyie acheni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu,

Acha nizisake na mimi maana naona haya ndio madhara ya kutokuwa na mkwanja wa kueleweka, nimehoji ila naambulia kuitwa "mtu mwenye3mindset ya kimasikini" ilihali hunijui na wala hujawahi kuniona

Jf banaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…