Mkuu wala usipate tabu. Mbona hiyo idadi ni ndogo sana wa wasichana wa siku hizi. Yaani wanaume 6 ni idadi ndogo sana. imependa jinsi ulivyo jasiri kupata mwanaume unayemtaka. Hata wanawake wana haki ya kutii hisia zao na wala siyo wanaume tu.

Yeah your very right...we also love!
 

mwana unaroho ngumu wewe ...mimi dhubutu cha kwenda kuraruliwa marinda ni nini....tena nyumbani kwa mtu nisiyemjua
 
Hapo hamna huruma sema na wewe ulimiss basi lakini mwanamke kutoa papuchi eti huruma hamnaga.
 
kwani umeshazaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

mwana una mbwembwe wewe....... πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†..nimegundua mademu wengi kama hawana mpango wa kukupa show huwa wanatinga hizo mambo..kuzivua inahitaji ufundi na ustadi mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…