Kaka usitoe hint jamani maana kuna watu humu tunaheshimiana nao wakinijua kumbe tabia zng zilikua hvy haki watanishusha vyeo wakati nilijitahidi saana kuumaintain upuuz nliokua naufanya na kutoharibu reputation yng
Why u are calling it upuuzi, has good it is/was intrinsically driven u are/were offending none to give pleasure to ya self.
Sababu kubwa kabisa kwa nn hakuna visa au vipo vichache vya shuuda za ke humu,Ni kwa sababu wengi they don't have the guts to face the truth kuwa waliliwa kimasihara(wanaona kama ni umalaya, maana huo ndo mtizamo wa jamii na umewekwa na sisi/wanaume). Pamoja nakuwa wapo kwenye fake ID.

So big up despite covering up ur cover up identity........



Sent using my Audi A6 [emoji593]2017 model
 
Total stranger!! never on earth πŸ™Œ
Hata hivi visa hapa kuna vingine sio kimasihara kabisa, sometimes KE anakuonea tu huruma anakupa ila akitoka hapo we ndio unajina ulipiga kimasihara.

🀣🀣🀣🀣 Eti ke anakuonea huruma tuu... Dah wanawake mnaakili fupi kweli kweli

By the way hamnaga kuonea hutuma nae alitaka kugegedwa ndio maana akatoa papuchi.
 
Asante kwa uwakilishi mzuri wa kibaharia, good kabisa
 
Uongo ni kuwa ulio date nao wote wana gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahari mil 4.
Mwanaume unajipinda unapeleka. Kudadeki
 

Yeah your right...be blessed!
 
Uongo ni kuwa ulio date nao wote wana gari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa kaka mtoto akishaanza kutembea unadhani atarudi kucheza na watoto wanaotambaa? Halafu gari mbona ni kitu cha kawaida sana siku hizi mpk mil5 ukijichanga unapata gari zuri tu sasa cha kufia kwenye madaladala nini wakati mikopo ipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…