TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Nikupe wewe chai kwa faida ya Nani? Tatizo you leave inside your box you don't believe shit can happen out there.Hii chai hajakolea sukari
Nikupe wewe chai kwa faida ya Nani? Tatizo you leave inside your box you don't believe shit can happen out there.Hii chai hajakolea sukari
Wapo kibao wanaoweza kuheshimu misimamo ya watu. Shemej yako tulikaa miezi 3 bila kulana na tu nalala kitanda kimoja Mara kibao tu almost kila week. Anahudumia tena huduma za maana..... Anaomba weeeee namwambia bado nakusoma . Siku nimempa hakuamini Kwan alishakata tamaa. Na siku hiyohiyo nampa kwa Mara ya kwanza zygote ikatungwa
Heee. Hukumla kabisa? My God
Mwanakondoo kwenye vazi la mbwa mwituYani umekula mwana kondoo kilahisi hivi
Mimi nimewahi kulala na mwanafunzi wa boarding alifukuzwa chuo kwa wiki mbili yeye na wenzake kwa kosa la kurudi usiku sana wakitokea viwanje, walikuwa na katabia ka kumuhonga mlinzi siku hio wamerudi headmaster huyu hapa, akawaruhusu waingie bwenini wachukue virago vyao adhabu wiki 2 hataki kuwaona. Wenzake wakaenda kwa mabwana zao, yeye bwana wake kasafiri kurudi ni baada ya siku 3 tulijuana tu juu juu akanipigia simu kuomba stara, nilimaliza mbinu zote za kiungwana akakataa kabisa, nikaona isiwe shida, siku tatu analala na jinzi tena kitanda kimoja. Nilivumilia ingawa nilikuja kuumwa na muscles sana kwa kudindisha kwa muda mrefu nayo ilikuwa pini ya maana.
kabisa mkuu, hakuwa na feelings na mimi, ingawa binafsi nilimpenda sana. Nikaamua kuizuiya nafsi yangu.
Ka story kanasisimua balaa, ukizingatia hiyo mitaa ya barakuda ni kama naiona vileWanaosema mengi ni uongo, jibu ni tembea uyaone. Kuna mambo ya ajabu huwezi amini ni Tanzania hii hii.
Anyways ya kwanza kwa urefu wake, kwangu ni,
2014 hyo nilikuwa natokea mkoani kuelekea kuanza 1st yr chuoni dsm. Nilifikia kwa sista maeneo ya Tabata Baraccuda, kijana nikaandaliwa chumba changu cha nje nikawa ndo nimefikia hapo. Nilikuta kuna watoto wa kike kadhaa pale home, na mwanzoni tu niliwascan haraka haraka nikaona mmoja ananifaa hata kiumri, uzuri na mambo mengine (wanaume mnaelewa naongelea nini).
Ndani ya siku chache hivi ile kuzoea zoea na kuanza story mbili tatu na wenyeji pale, nikawa nipo nipo comfortable kiaina. Jioni moja hivi watu tulikua tunapiga piga story nikaaga naenda dukani. Ile naanza kwenda nikasikia naulizwa "Unaenda duka gani?". Nikamwambia nataka ninyooshe miguu kidogo mpaka barabarani baraccuda kule. Akasema "Nisubiri basi mwenyewe kuna kitu nataka nikachukue."
Basi tukatoka pale home mdogo mdogo tunapanda na barabara ile inatokea tabata chang'ombe mpaka baraccudda kule, pale pana ki mini-supermarket flan hv akasema anataka aende kununua chocolate, nikamsindikiza akachukua alivyotaka tukasepa. Sasa wakati tunarud na barabara ile ile; akaniambia "Hii ndefu tupitie hivi kuna shortcut". Kuichek shortcut yenyewe naona full magiza giza kwa mbele, baharia nikasema hapa litmus test zimekamilika.
Ile tunakaribia karibia gizani mtoto akaanza kupunguza speed. Akasimama. Nilikua nimempita hatua kdogo, kugeuka nyuma hvi, tulivyokutana macho tukaangaliana kama sekunde 2. Kwakua nilikua nishaelewa mchezo mzima, nikapeleka mkono kiunoni; kumvuta akaja bila kusita. Niliinamisha shingo kdogo tu tukaanza kukiss. Alikua na lipsi laini balaa, yani hazina kiu, kama zile zimekauka/ngumu flan hv. Sasa mtoto yule mizuka ilianza kupanda nikaona haya maeneo itakua soo. Tukasitisha pale, tukaelekea home.
Hakuna kubwa lililotokea ndani ya masaa machache baada ya hapo. Baadae watu wameshaenda kulala niko zangu tu nimekaa chumbani, ikaingia sms "Umeshalala?" nikamwambia "Hapana sina hata usingizi. Njoo". Hakujibu SMS. Dakika chache tu, kama 2 hivi, naskia mlango wa nyumba kubwa unafunguliwa. Halaf kama sekunde 20 baadae, mlango wangu na wenyewe ukafunguliwa; huwa si ufungagi mpaka nnapotaka kulala kabisa. Basi moja kwa moja kaingia ndani akaenda kukaa kwenye kochi.
Vikaanza vile vimaswali visivyokuwa na mbele wala nyuma. "Mbona kuna giza hivi, huogopi?" wakati mtu unaona kabisa nimezima taa. Basi wala hata sikupoteza muda, nilimvuta kidogo tu kuja kitandani akaja mazima. Alikua kavaa kanguo flani hv ambako baadae nilikuja kujua hakuwa kavaa chupi. Kukapigwa mgegedo wa kimyakimya. Tulivyomaliza akarud zake nyumba kubwa na kufunga mlango. Baada ya dakika kama tano, Alinitumia sms za ahsante na nini, mpaka leo hii 2019 screenshots zake ninazo.
Kuna siku nyengine, mimi ndo nilikua wa mwisho kwenda kulala akaniambia nimshtue nikiwa natoka aje afunge mlango, tukaishia kugegedana jikoni kwenye process za kutakiana usiku mwema!
Hahahaha story tamu sana, embu lete ya binti wa kisomaliMiaka ya katikati 2000 UCLAS kabla haijawa ARU.
Nikiwa mwaka wa pili chuoni, nikakaribishwa kwenye semina ya Kikristo na ndugu zetu. Semina ilifanyika karibu na library ile ya zamani Karibu na Arch Plaza (waliopita ARU watanielewa)
Jioni nikajiandaa na kwenda kuhudhuria semina, nikakabidhiwa kwa binti ili anisaidie kufungua biblia, huyu alikuwa mwaka wa kwanza. Nikiri kuwa alikuwa mrembo na mwenye kuvutia (kiuno chembamba, bambataa ya kiushkaji, rangi ya uarabuni, sauti nyororo na haiba ya kike). Semina ilifanyika kwa wiki nzima na nilihudhuria siku zote tano.
Huyu dada tukawa karibu kwa kujuliana hali na kuchati masuala ya kiroho. Kwa kweli sikuwa hata na wazo la kuleta ushetani maana alionekana sio mtu wa mambo hayo kabisa.
Siku ya tukio, jumamosi moja tulivu nikiwa room ,mchana akanitumia sms- hakukuwa na WhatsApp akaniuliza "Vipi umeshakula?! Nikajibu hapana, akaniomba tukale wote, tukajivuta cafteria ya Geti Dogo, akasisitiza kuwa atalipa yeye. Tukazungumza kisha kila mtu akarudi chumbani kwake.
Usiku nikaona ngoja nilipe fadhila za mchana, nikamwomba usiku twende kula pamoja pia, akanitania kuwa anamwogopa wifi yake, nikamjibu sina mtu hapo chuoni. Basi nikamwambia tutaenda kula "Euro H" kwa sasa ndio Bulls Park hii ilikuwa bar/restaurant mpya maeneo ya Survey pale barabarani. Ulikuwa usiku mzuri sana binti alikuja amependeza hatari. Nilimtamani lakini nikaona kumtongoza ni kuharibu urafiki wetu mzuri. Mara zote alikuwa akiongea mambo ya kiroho na jinsi ya kuishi vyema.
Ilipofika saa tatu akaniomba tuondoke, katika kunyanyuka nikaona ngoja nitest walau hata kumshika mkono, mtoto aka-respond vyema, tukatembea tumeshikana mikono mpaka nilipomfikisha hostel - Kijaruba. Nikamuaga nikarudi room huku nikijilaumu labda ningemtongoza tu.
Saa nne na robo napokea sms "nimefurahia chakula nikamjibu kuwa tuwe tunaenda pale walau mara moja kila wiki.
Meseji ya pili, "roommate wako yupo," nikatafakari kidogo, kwani nilishwambia kuwa J ambaye ni roommate wangu ameenda kwao hivyo nipo mwenyewe. Nikaona nimjibu kuwa hayupo.
Akaniambia anakuja kuna jambo la kujadiliana nimsaidie mawazo, nikamwambia karibu sana. Binti akatinga na wakati huu akiwa na nguo chache zaidi. Tukazungumza mwishowe tukaanza kuangalia movie - Not Easily Broken, tukiwa kitandani na kwa upana wa vitanda vya ARU, tulikuwa tumegusana kabisa, muda si muda nikaona binti ameleta kichwa begani kwangu na hakuonyesha hata kufurahia ile movie japo ilikuwa na maudhui mazuri kabisa ya kiroho. Sijui kilichonipata ila kitendo cha kwanza ulikuwa kuutoa mkono wangu na kuupitisha nyuma ya mgongo wake, nikaona binti katulia tu, anameza mate tu, nikaona liwalo na liwe nikambusu kwenye shavu binti akajigeuza mzima mzima kunipa romance huku mkono wake ukishuka kukagua "mhogo wa jang'ombe" nami taratibu nikapeleka mkono kukagua"kitumbua" nakuta mtoto siku nyingi kashaloana na anatoa miguno ya hatari. Binti mtamu na mashine ilikuwa bado haijapata suluba maana hata yale mawimbi yalikuwemo.
Alirudi room kwake saa kumi na moja asubuhi.
Zoezi likaendelea jumapili mchana na usiku.
Tulidumu kwa mwaka mmoja mpaka siku alipogundua nimemla binti mmoja wa kisomali aliyekuwa Mlimani.
Hii stori binti wa kisomali itafuata........
Kisha nitakupa ya mtoto wa Mchungaji niliyemla kama masihara
Ngoja nijenge taifa kwanza, nikirudi nakuja na ya jinsi nilivyokula Mtoto wa wa MchungajiOyaa endelea nimekupa like tena.....
Harakati za ujanani, siku hizi nimetulia na shemeji yako, ila naye pia sikumtongozaAisee una balaa
Kwa michubuko ile ningeachaje kwa mfanooo?? Nilihisi atakuwa mgonjwa ndo mana alikuwa anatumia nguvu sana kunila
Mimi nimewahi kulala na mwanafunzi wa boarding alifukuzwa chuo kwa wiki mbili yeye na wenzake kwa kosa la kurudi usiku sana wakitokea viwanje, walikuwa na katabia ka kumuhonga mlinzi siku hio wamerudi headmaster huyu hapa, akawaruhusu waingie bwenini wachukue virago vyao adhabu wiki 2 hataki kuwaona. Wenzake wakaenda kwa mabwana zao, yeye bwana wake kasafiri kurudi ni baada ya siku 3 tulijuana tu juu juu akanipigia simu kuomba stara, nilimaliza mbinu zote za kiungwana akakataa kabisa, nikaona isiwe shida, siku tatu analala na jinzi tena kitanda kimoja. Nilivumilia ingawa nilikuja kuumwa na muscles sana kwa kudindisha kwa muda mrefu nayo ilikuwa pini ya maana.
Hahahaaaa! Eti alitumia nguvu sana kukula hahahaaaaaa! Nimecheka kama mzuri, pole sana Mama Bishanga, hiyo inaitwa usithubutu kukutwa hahahaaaa
Kitumbua kikaloa basi na mwanao dushe liko NDi ndi hapa... Nipe namba ya huyo bibi kwa sasa!Miaka ya katikati 2000 UCLAS kabla haijawa ARU.
Nikiwa mwaka wa pili chuoni, nikakaribishwa kwenye semina ya Kikristo na ndugu zetu. Semina ilifanyika karibu na library ile ya zamani Karibu na Arch Plaza (waliopita ARU watanielewa)
Jioni nikajiandaa na kwenda kuhudhuria semina, nikakabidhiwa kwa binti ili anisaidie kufungua biblia, huyu alikuwa mwaka wa kwanza. Nikiri kuwa alikuwa mrembo na mwenye kuvutia (kiuno chembamba, bambataa ya kiushkaji, rangi ya uarabuni, sauti nyororo na haiba ya kike). Semina ilifanyika kwa wiki nzima na nilihudhuria siku zote tano.
Huyu dada tukawa karibu kwa kujuliana hali na kuchati masuala ya kiroho. Kwa kweli sikuwa hata na wazo la kuleta ushetani maana alionekana sio mtu wa mambo hayo kabisa.
Siku ya tukio, jumamosi moja tulivu nikiwa room ,mchana akanitumia sms- hakukuwa na WhatsApp akaniuliza "Vipi umeshakula?! Nikajibu hapana, akaniomba tukale wote, tukajivuta cafteria ya Geti Dogo, akasisitiza kuwa atalipa yeye. Tukazungumza kisha kila mtu akarudi chumbani kwake.
Usiku nikaona ngoja nilipe fadhila za mchana, nikamwomba usiku twende kula pamoja pia, akanitania kuwa anamwogopa wifi yake, nikamjibu sina mtu hapo chuoni. Basi nikamwambia tutaenda kula "Euro H" kwa sasa ndio Bulls Park hii ilikuwa bar/restaurant mpya maeneo ya Survey pale barabarani. Ulikuwa usiku mzuri sana binti alikuja amependeza hatari. Nilimtamani lakini nikaona kumtongoza ni kuharibu urafiki wetu mzuri. Mara zote alikuwa akiongea mambo ya kiroho na jinsi ya kuishi vyema.
Ilipofika saa tatu akaniomba tuondoke, katika kunyanyuka nikaona ngoja nitest walau hata kumshika mkono, mtoto aka-respond vyema, tukatembea tumeshikana mikono mpaka nilipomfikisha hostel - Kijaruba. Nikamuaga nikarudi room huku nikijilaumu labda ningemtongoza tu.
Saa nne na robo napokea sms "nimefurahia chakula nikamjibu kuwa tuwe tunaenda pale walau mara moja kila wiki.
Meseji ya pili, "roommate wako yupo," nikatafakari kidogo, kwani nilishwambia kuwa J ambaye ni roommate wangu ameenda kwao hivyo nipo mwenyewe. Nikaona nimjibu kuwa hayupo.
Akaniambia anakuja kuna jambo la kujadiliana nimsaidie mawazo, nikamwambia karibu sana. Binti akatinga na wakati huu akiwa na nguo chache zaidi. Tukazungumza mwishowe tukaanza kuangalia movie - Not Easily Broken, tukiwa kitandani na kwa upana wa vitanda vya ARU, tulikuwa tumegusana kabisa, muda si muda nikaona binti ameleta kichwa begani kwangu na hakuonyesha hata kufurahia ile movie japo ilikuwa na maudhui mazuri kabisa ya kiroho. Sijui kilichonipata ila kitendo cha kwanza ulikuwa kuutoa mkono wangu na kuupitisha nyuma ya mgongo wake, nikaona binti katulia tu, anameza mate tu, nikaona liwalo na liwe nikambusu kwenye shavu binti akajigeuza mzima mzima kunipa romance huku mkono wake ukishuka kukagua "mhogo wa jang'ombe" nami taratibu nikapeleka mkono kukagua"kitumbua" nakuta mtoto siku nyingi kashaloana na anatoa miguno ya hatari. Binti mtamu na mashine ilikuwa bado haijapata suluba maana hata yale mawimbi yalikuwemo.
Alirudi room kwake saa kumi na moja asubuhi.
Zoezi likaendelea jumapili mchana na usiku.
Tulidumu kwa mwaka mmoja mpaka siku alipogundua nimemla binti mmoja wa kisomali aliyekuwa Mlimani.
Hii stori binti wa kisomali itafuata........
Kisha nitakupa ya mtoto wa Mchungaji niliyemla kama masihara