Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,163
- 34,328
Dolla_Mbili, Chai.
Naamin hii story haijafika mwisho kwa sababu mbili!
How you met your wife.......hapo hujafika point ya kuelezea ulikutana nae vip though kwa mbali sana naamin ni mtoto wa boss ndo ulikuja kumuoa kwa sabab kuna mahali umesema mwanzo wa mahusiano yako na boss yaliyochukua mda mrefu kuja kuvunjwa na binti [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu usijututie kwa nn uliacha simu jutia kwa nn ulimfanyia ivo mkeo [emoji849]My girlfriend alitaka kuniacha sababu
ya huu uzi.
Ipo hivi, majuzi kati nilipost kula kimasihara kwa mtoto wa kirangi kitoka kondoa, nilielezea kila kitu kuhusu mazingira yalivokua na hadi kumla yule mtoto wa kirangi.
sasa jumapili ya juzi kulikua na ubatizo hapa kwa jirani, watu kibao walialikwa na sisi tukiwemo, tukanywa pombe chakali, jirani akaomba nimsindikize anapowarudisha wageni stand kwa gari yake ili asiwe pekeake kwny gari, kwa vile nimelewa, nikampa simu yangu wife aingie nayo ndani adi nitakaporudi.
sasa tumekwenda kusindikiza wageni, safar zikawa ndefu na huyu jirani yangu, tumezagaa hadi sa saba usiku,
nilivorudi home, wife akanambia kaoge kwanza ndo uje ulale, aiseee, nimetoka kuoga nakuta wife ameamka na amekaa,
kumbe kasoma kile kisa chote cha kumla yule mrangi kimasihara na ameshamjua ni yupi mana aliweza kuunganisha doti.
nimeyumba sana, nimejitetea sana japo nimekataa kabsaaaa kua nimemla yule mdada, amenisamehe kwa sababu ananipenda ila nimeumia sana kumuumiza mwanamke wangu, najisikia vibaya sana, nimejiona mpumbavu sana aiseeee.
imenidi nifute coment zangu zote huko juu kuhusu kula kimasihara ili maisha yaende kwa muda huu.
amenisema hadi nimejiona mjinga, nilikua mdogo kama piliton, nimekosa adi ujasiri wa kumtazama usoni, thou she is okei now but mimi nafeel guilty sana.
najuta kufanya vile, najuta kwnn nilimuachia sim yangu wakati sipo nae,.
tuwe makini wanazengo, tuheshim mahusiano yetu.
play safe, love life.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] siyo wewe tu pekeako mkuu, tupo wengi ndo maana kwa sasa viewers ni 2m we unafikiri wanatoka wapiUzi mtamu kabisa, kila siku lazima nipitie kuona mapya.
ntaendelea kesho seafarers wenzangu[emoji114][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] siyo wewe tu pekeako mkuu, tupo wengi ndo maana kwa sasa viewers ni 2m we unafikiri wanatoka wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakt jamaa hapo kasema aliwapa direction mkuuKumsifia jamaa kapanga ushuani ni kiazi..!!
Nina uhakika huko mkoa ulipo hakuna Uber, na kama unaishi mjini ‘uswazi’ utaelewa jinsi ilivyo ‘rahisi’ kumwelekeza Uber na akafika bila hata kuuliza.... nakazia kwa maelezo ya jamaa ni mitaa michache ya kishua yenye mageti ya nambari.
Tuseme nawe unaishi ushuani mzee.
share tu edit majina na locations weka za kufikirika.....the past is long goneDah mimi nina mkasa mzito mpaka kusimulia naogopa naona mungu hatonisamehe kwa kweliii,na nilishajaribu kutaka kuandika humu ikawa inagopa kujipost ,
Mungu anisamehe nilitenda dhambi kubwa sana
unaboa, kila mtu akisimulia unaandika chai, wewe chai yako ipo wapi!Chai.
Hajawahi kukutana nayo so anayasikiaga kwa wenzake anaishiaga kunawa tu kula hali![emoji23]unaboa, kila mtu akisimulia unaandika chai, wewe chai yako ipo wapi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa ushuhuda mkuuhii PEP wengi hawaijui ila binafsi imenisaidia sana
Yako iko wapi?