Mimi nimeishia pale aliposema hii ndio simu unayotumia, siwezi kukupa namba yangu kama unatumia simu kama hiyo. Hivi kweli mtu unamuomba namba anakwambia maneno kama hayo kwani anajua namba unahitaji kwa matumizi gani?Nimeishia hapo kusoma, siku ya kwanza tu kuja kwako halafu ameshafika bila hata kupotea.... ulikuwa umepanga ushuani sana mzee.

Unafutaje comments umu?
kelphin kepph
90% wamepigwa BJ kwa ufundi wa hali ya juu.Mapka sasa toka Uzi umeanzishwa na baharia rikiboy...99% ya waliokula kimasihara wamekula pisi Kali...99% wamepima oil na wamekuta oil inasoma...99% waliokula kitu cha kimasihara wamekula mate...99% Wamepiga story mbili tatu kabla ya kula kimasihara... 99% wameoga baada au kabla ya kula kitu cha kimasihara... 90% wamepiga dogy style... Wakuu tuendeleeni kula kimasihara..
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Sijui alikupa chai si chai, kahawa si kahawa, alikasusi sijui nini...naona na sisi hizi chai si chai, kahawa si kahawa...unataka kutuletea
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamin hii story haijafika mwisho kwa sababu mbili!
How you met your wife.......hapo hujafika point ya kuelezea ulikutana nae vip though kwa mbali sana naamin ni mtoto wa boss ndo ulikuja kumuoa kwa sabab kuna mahali umesema mwanzo wa mahusiano yako na boss yaliyochukua mda mrefu kuja kuvunjwa na binti
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu usijututie kwa nn uliacha simu jutia kwa nn ulimfanyia ivo mkeoMy girlfriend alitaka kuniacha sababu
ya huu uzi.
Ipo hivi, majuzi kati nilipost kula kimasihara kwa mtoto wa kirangi kitoka kondoa, nilielezea kila kitu kuhusu mazingira yalivokua na hadi kumla yule mtoto wa kirangi.
sasa jumapili ya juzi kulikua na ubatizo hapa kwa jirani, watu kibao walialikwa na sisi tukiwemo, tukanywa pombe chakali, jirani akaomba nimsindikize anapowarudisha wageni stand kwa gari yake ili asiwe pekeake kwny gari, kwa vile nimelewa, nikampa simu yangu wife aingie nayo ndani adi nitakaporudi.
sasa tumekwenda kusindikiza wageni, safar zikawa ndefu na huyu jirani yangu, tumezagaa hadi sa saba usiku,
nilivorudi home, wife akanambia kaoge kwanza ndo uje ulale, aiseee, nimetoka kuoga nakuta wife ameamka na amekaa,
kumbe kasoma kile kisa chote cha kumla yule mrangi kimasihara na ameshamjua ni yupi mana aliweza kuunganisha doti.
nimeyumba sana, nimejitetea sana japo nimekataa kabsaaaa kua nimemla yule mdada, amenisamehe kwa sababu ananipenda ila nimeumia sana kumuumiza mwanamke wangu, najisikia vibaya sana, nimejiona mpumbavu sana aiseeee.
imenidi nifute coment zangu zote huko juu kuhusu kula kimasihara ili maisha yaende kwa muda huu.
amenisema hadi nimejiona mjinga, nilikua mdogo kama piliton, nimekosa adi ujasiri wa kumtazama usoni, thou she is okei now but mimi nafeel guilty sana.
najuta kufanya vile, najuta kwnn nilimuachia sim yangu wakati sipo nae,.
tuwe makini wanazengo, tuheshim mahusiano yetu.
play safe, love life.
Sent using Jamii Forums mobile app

Uzi mtamu kabisa, kila siku lazima nipitie kuona mapya.



siyo wewe tu pekeako mkuu, tupo wengi ndo maana kwa sasa viewers ni 2m we unafikiri wanatoka wapintaendelea kesho seafarers wenzangusiyo wewe tu pekeako mkuu, tupo wengi ndo maana kwa sasa viewers ni 2m we unafikiri wanatoka wapi
Sent using Jamii Forums mobile app

Wakt jamaa hapo kasema aliwapa direction mkuuKumsifia jamaa kapanga ushuani ni kiazi..!!
Nina uhakika huko mkoa ulipo hakuna Uber, na kama unaishi mjini ‘uswazi’ utaelewa jinsi ilivyo ‘rahisi’ kumwelekeza Uber na akafika bila hata kuuliza.... nakazia kwa maelezo ya jamaa ni mitaa michache ya kishua yenye mageti ya nambari.
Tuseme nawe unaishi ushuani mzee.