Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Dingi muongo sana
Ok ngoja niwape hii siku ya kwanza kugonga mwarabu enzi zangu za ujana wakati bado niko wa moto.. iko hivi naelekea job posta natokea hom tabata kuingia nakutana na ustaadhat mixer mwarabu na mpemba yupo ndani ya juba.kwakua mi mtoto wa uswahilini nkampa salaam pale akanielewa na jina sikumpa la kikristu asije ng'astuka.nikawa najifanya sina haraka na ushauri kibao wa kimasomo maana alikua anaenda chuo..katika kumjua zaidi bana kumbe alikua anatoka na binamu yake halafu amesafiri oman huko.nkaona huyu nkimchelewesha ntasikia wameshapeleka ughaibuni.kwakua mtoto anabanwa sana maana mzee huwa anamfuata jion nkatafuta siku anapindi la mchana nkaua kazi kwa kusingizia kaugonjwa taratiibu nkaita uber.mixer tinted nikampitia namwambia nikamwoneshe mji nshampanga dereva wangu hadi lodge mawenzi pale.Kuingia ndaninuzuri mchana gari ikaingia hadi ndani nazama na ustaadhat wangu agiza msosi hapo moyo unadunda asije adili maamuzi..dah kunyosha mtot anakuja kama ngamia anapelekwa kibra.kuzama ndani dah asimwambie kitu majuba yanaficha mengi mtoto alikua anakishape kama kim kardashian kitako viziwa mixer nywele kwe tako..dah unmgusa titi hadi huamini kama wewe dah nikawa naogopa ntapata shida koz labda bikra basi kumpeleka bafuni kuoga namwosha mgongo ile kumpindisha nikanawa sana kuzamisha muhogo dah nyie acheni ndo maana watu huwa wanajilipua maana nakumbuka nakuja shtuka nishpiga kama vitatu mumo mumo kavuuu dah kuna vitu vyengine hata hujilaumu yaani..ila siku hizi majukumu yametukamata tunawaza tunza familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka fulani hivi kulikuwa n'a wimbi la mabinti wapya kujiunga humu JF, basi mmojawapo ikatokea tukazoeana mpaka ikafikia kupeana namba za simu then tukahamia huko n'a story za hapa n'a pale zikaendelea. Humo kwenye story ndio nikajua kwamba alikuwa anasoma chulo fulani mkopa fulani hivi was Kanda ya ziwa.

Basi ikatokea bahati nikapata safari ya kwenda huo mkoa kulikuwa na mkutano. Nimefika nikaingia kwenye mkutano nikamjulisha kwamba niko mkoani kwake, àkaniuliza nilipofikia nikamwambia hoteli tuliyokuwa tunafanyia mkutano, akasema angekuja jioni kunisalimia. Kweli jioni akaja tulikuwa tumemaliza mkutano siku hiyo so tukatoka tukatembea mpaka sehemu tukakaa tukapiga n'a ndio siku ya kwanza tumeonana maana hatukuwahi kukutana kabisa wala hata kutumiana picha kabla. Baadae nikampeleka kituoni akapanda daladala akarudi zake chuoni kwao.

Kesho yake tukachat kidogo nikamwambia jioni njoo Sasa tupige story vizuri akakubali. Kweli jioni nimemaliza mkutano nikarudi hotelini kwangu baada ya muda naye akaja. Tukakaa hapo hotelini chini akala tukapiga story za kujuana kidogo nikamwambia tupande juu nimechoka kukaa akakubali basi tumefika chumbani tukapiga story àkaniuliza kama Kuna movie kwenye laptop yangu nikamwambia za kutosha tu akauliza kama niña animation ya Rango nikamwambia ipo basi nikamuwekea. Mi n'a animation mbalimbali basi akageuka kuwa lufufu.

Tumekuja kustuka saa 2 usiku n'a naona mtu Hana dalili za kuondoka basi tukaagiza chakula tukala. Baadae story zikawa kama zimeisha hivi. Sasa akaniomba kalamu n'a karatasi akaandika vitu akakata vikaratasi vidogo vidogo. Basi Baadae akaniambia nimpe chupa ya soda (tulikuwa tumekunywa soda) ndio akaniambia tucheze mchezo unaitwa "TRUTH OR DARE" waliowahi kuucheza huu mchezo watakuwa wanaujua.

To cut the story short tuliishia kulana halafu tumeanza ndio ananiuliza "What are we doing" nikamjibu tu "Nothing" akaliwa akaondoka kesho yake.

Hatukuwahi kulana tena ingawa mpaka leo tunawasiliana. Hii imetokea zaidi ya miaka 6 iliyopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukawa unajikuta unachoka sana
Yaani wee acha tu, kuna j2 moja tuliduu kuanzia saa 12 jioni hadi saa 4 usiku nilikojoa mara 4 nilitoka hapo napepesuka kiaina, nafika home saa 5, saa 6 tunaingia kulala wife anarusha miguu tu nkajua anawashwa huyu, na mi sikubaligi kushindwa nkampa haki yake hadi saa 8 ndio tunalala, tulikuja kushtuka saa 1 na nusu asubuhi wakati natakiwa kuamka 11 kamili, ilibidi nijifanye naumwa funguo ya kazini ikafuatwa na boda.
Tangu apo ndio akili ikaanza nikaa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka fulani hivi kulikuwa n'a wimbi la mabinti wapya kujiunga humu JF, basi mmojawapo ikatokea tukazoeana mpaka ikafikia kupeana namba za simu then tukahamia huko n'a story za hapa n'a pale zikaendelea. Humo kwenye story ndio nikajua kwamba alikuwa anasoma chulo fulani mkopa fulani hivi was Kanda ya ziwa.

Basi ikatokea bahati nikapata safari ya kwenda huo mkoa kulikuwa na mkutano. Nimefika nikaingia kwenye mkutano nikamjulisha kwamba niko mkoani kwake, àkaniuliza nilipofikia nikamwambia hoteli tuliyokuwa tunafanyia mkutano, akasema angekuja jioni kunisalimia. Kweli jioni akaja tulikuwa tumemaliza mkutano siku hiyo so tukatoka tukatembea mpaka sehemu tukakaa tukapiga n'a ndio siku ya kwanza tumeonana maana hatukuwahi kukutana kabisa wala hata kutumiana picha kabla. Baadae nikampeleka kituoni akapanda daladala akarudi zake chuoni kwao.

Kesho yake tukachat kidogo nikamwambia jioni njoo Sasa tupige story vizuri akakubali. Kweli jioni nimemaliza mkutano nikarudi hotelini kwangu baada ya muda naye akaja. Tukakaa hapo hotelini chini akala tukapiga story za kujuana kidogo nikamwambia tupande juu nimechoka kukaa akakubali basi tumefika chumbani tukapiga story àkaniuliza kama Kuna movie kwenye laptop yangu nikamwambia za kutosha tu akauliza kama niña animation ya Rango nikamwambia ipo basi nikamuwekea. Mi n'a animation mbalimbali basi akageuka kuwa lufufu.

Tumekuja kustuka saa 2 usiku n'a naona mtu Hana dalili za kuondoka basi tukaagiza chakula tukala. Baadae story zikawa kama zimeisha hivi. Sasa akaniomba kalamu n'a karatasi akaandika vitu akakata vikaratasi vidogo vidogo. Basi Baadae akaniambia nimpe chupa ya soda (tulikuwa tumekunywa soda) ndio akaniambia tucheze mchezo unaitwa "TRUTH OR DARE" waliowahi kuucheza huu mchezo watakuwa wanaujua.

To cut the story short tuliishia kulana halafu tumeanza ndio ananiuliza "What are we doing" nikamjibu tu "Nothing" akaliwa akaondoka kesho yake.

Hatukuwahi kulana tena ingawa mpaka leo tunawasiliana. Hii imetokea zaidi ya miaka 6 iliyopita

Sent using Jamii Forums mobile app
MADOMO ZEGE TUPO WENGI HA HA HA...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I see condom sikutumia course manzi alikua nurse by professional. Yeye alikua na wasiwasi juu yangu ktk ngoma, na mimi nikawa wasiwasi nae juu ya hepatitis B virus. Aliponambia amedungwa sindano ya kinga ikawa ni mwendo wa kulowekeana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuja kufa kizembe sana,nesi unamla bila kinga?
Tambua wengi wao hawaelewagi hao,wanapigwagwa sana,kua makini ndugu yangu.
 
Umakini ni mkubwa sana, Ni kwa rehema za Mungu mpaka sasa niko salama kiafya. Kuna makorongo nimepita mpk ss huwa nashangaa nilifanikiwaje kuvuka salama.

NB: Achilia mbali magonjwa ya zinaa yasababishwayo na ngono ambayo watu wengi tunayaogopa. KUNA WATU WANA ROHO ZA UHARIBIFU KIIMANI, UKISHIRIKI NAE NI MWANZO WA MIKOSI NA LAANA. Hicho kipengele mabaharia huwa hatujali kabisa.
Utakuja kufa kizembe sana,nesi unamla bila kinga?
Tambua wengi wao hawaelewagi hao,wanapigwagwa sana,kua makini ndugu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAFARI YA MWANZA-MBEYA ILIVYONIPA MGEGEDO KIMASIHARA.

Ilikua 2016 mwezi june kipindi hicho mama mtoto kazingua. Safari imeanza nyegezi nikiwa nyuma ya dereva nimetulia na muungwana mmoja. Safari ilivyozidi kuchanganya ndivyo hadithi kati yetu zivyoendelea kukata. Ile shuka-panda na chimba dawa za njiani nikawa nazicheki pisi kadhaa but nikawa sina mzuka wa hizo mambo as usiku kabla ya safari nilipata company. Shida ya safari ilianza nilipoingia Iringa town, maana nilikua nimevaa t-shirt na hali ya hewa mwezi huo wenyeji wanaielewa. Kipindi hicho gari zinalala makambako na baridi ni kali balaa. Ikabidi nichukue (kaschana) konyagi ndogo. Mpk nafika makambako nikawa nimekamaliza lkn bado bado baridi ilikua inanikomoa balaa, nikanywa chai ya maziwa alfajiri ile lakini wapi. Nikachukua uamuzi wa kutafuta bar iliyo wazi muda huo( saa7 usiku) nikaja kuipata mitaa ya mizani ambapo ni mbali na stand na nimepigwa baridi kwenye boda balaa.

Niliporudi nikakaa nje ya mgahawa raia wengine wakiota moto huku mie nashusha Antony Lusekelo(Bapa) mdogo mdogo. Kati ya waotaji moto alikuwepo binti mmoja (sio pisi kali lakini si haba alikua kajaliwa mahitaji yangu). Binti akatokea kuzielewa itikadi zangu nakula kitu kigumu naondoa baridi afu nipo kimya. Mungu kutujaalia wanadamu macho yetu kutokua na pazia alikua na malengo yake. Mara kadhaa tukawa twakutanisha macho huku yeye akionekana na fadhaa kizushi n design anatabasamu. Nikapata time ya kumzingua atupie vitu vikali akadai havipendi n hapendi wanaume wapiga tungi na bla bla kibao, but tulipiga story kibao na vile wazungu walikua wamenikolea binti akaishia kucheka tu na mwishowe tukabadili namba za simu.

Saa10 alfajiri safari ikaendelea tukaingia mbeya saa4 asubuhi, mie nilikua naunga mpaka s'wanga home mitaa ya kizwite na yeye alikua aelekea Tunduma. Baada ya siku mbili mida ya jioni akanipigia simu akanambia yupo stand kuu s'wanga (kitu ambacho sikutarajia kabisa). Basi nikamchukua na kutafuta pango la wageni maana alidai amekuja kutalii. Kumpeleka home ikawa jau kuwashawishi washua kuwa ni rafiki yangu. Niliporudi usiku kupiga nae stories binti akanizuia kuondoka akitaka nilale nae mzungu wa nne ati aogopa wachawi. Kilichoendelea kwa wiki nzima akiwa ana talii pale swanga kinaeleweka, hadi mtalii akaishiwa mkwanja wake ikabidi nisimamie show mpk nauli ya kurudi mwanza.

NB: CHUPI ILE YA KISUKUMA NILIIELEWA KIAINA INGAWA HAIKUWA KWA MATUMIZI YA KINYUMBA. Mawasiliano yalikuja katika ilipopata ajira Kigoma huko. Na mimi kufuata mgegedo mkoa wa vumbi jekundu jeuri hiyo sina(samahani WAHA kigoma ni moja eneo la Tz nisilolipenda kufa). Kwa sababu ya VUMBI JEKUNDU LA KIGOMA nikajikuta nimempoteza Grace.

Sent using Jamii Forums mobile app
"""nikanywa chai ya maziwa alfajiri ile lakini wapi. Nikachukua uamuzi wa kutafuta bar iliyo wazi muda huo( saa7 usiku) nikaja kuipata mitaa ya mizani ambapo ni mbali na stand na nimepigwa baridi kwenye boda balaa."""

Mara alfajiri mara tukarudishwa saa 7 usiku. Okay How do I know.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama siyo chai basi uandishi wako mbovu sana.
SAFARI YA MWANZA-MBEYA ILIVYONIPA MGEGEDO KIMASIHARA.

Ilikua 2016 mwezi june kipindi hicho mama mtoto kazingua. Safari imeanza nyegezi nikiwa nyuma ya dereva nimetulia na muungwana mmoja. Safari ilivyozidi kuchanganya ndivyo hadithi kati yetu zivyoendelea kukata. Ile shuka-panda na chimba dawa za njiani nikawa nazicheki pisi kadhaa but nikawa sina mzuka wa hizo mambo as usiku kabla ya safari nilipata company. Shida ya safari ilianza nilipoingia Iringa town, maana nilikua nimevaa t-shirt na hali ya hewa mwezi huo wenyeji wanaielewa. Kipindi hicho gari zinalala makambako na baridi ni kali balaa. Ikabidi nichukue (kaschana) konyagi ndogo. Mpk nafika makambako nikawa nimekamaliza lkn bado bado baridi ilikua inanikomoa balaa, nikanywa chai ya maziwa alfajiri ile lakini wapi. Nikachukua uamuzi wa kutafuta bar iliyo wazi muda huo( saa7 usiku) nikaja kuipata mitaa ya mizani ambapo ni mbali na stand na nimepigwa baridi kwenye boda balaa.

Niliporudi nikakaa nje ya mgahawa raia wengine wakiota moto huku mie nashusha Antony Lusekelo(Bapa) mdogo mdogo. Kati ya waotaji moto alikuwepo binti mmoja (sio pisi kali lakini si haba alikua kajaliwa mahitaji yangu). Binti akatokea kuzielewa itikadi zangu nakula kitu kigumu naondoa baridi afu nipo kimya. Mungu kutujaalia wanadamu macho yetu kutokua na pazia alikua na malengo yake. Mara kadhaa tukawa twakutanisha macho huku yeye akionekana na fadhaa kizushi n design anatabasamu. Nikapata time ya kumzingua atupie vitu vikali akadai havipendi n hapendi wanaume wapiga tungi na bla bla kibao, but tulipiga story kibao na vile wazungu walikua wamenikolea binti akaishia kucheka tu na mwishowe tukabadili namba za simu.

Saa10 alfajiri safari ikaendelea tukaingia mbeya saa4 asubuhi, mie nilikua naunga mpaka s'wanga home mitaa ya kizwite na yeye alikua aelekea Tunduma. Baada ya siku mbili mida ya jioni akanipigia simu akanambia yupo stand kuu s'wanga (kitu ambacho sikutarajia kabisa). Basi nikamchukua na kutafuta pango la wageni maana alidai amekuja kutalii. Kumpeleka home ikawa jau kuwashawishi washua kuwa ni rafiki yangu. Niliporudi usiku kupiga nae stories binti akanizuia kuondoka akitaka nilale nae mzungu wa nne ati aogopa wachawi. Kilichoendelea kwa wiki nzima akiwa ana talii pale swanga kinaeleweka, hadi mtalii akaishiwa mkwanja wake ikabidi nisimamie show mpk nauli ya kurudi mwanza.

NB: CHUPI ILE YA KISUKUMA NILIIELEWA KIAINA INGAWA HAIKUWA KWA MATUMIZI YA KINYUMBA. Mawasiliano yalikuja katika ilipopata ajira Kigoma huko. Na mimi kufuata mgegedo mkoa wa vumbi jekundu jeuri hiyo sina(samahani WAHA kigoma ni moja eneo la Tz nisilolipenda kufa). Kwa sababu ya VUMBI JEKUNDU LA KIGOMA nikajikuta nimempoteza Grace.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom