Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

inatumikaje mkuu...unameza ngapi na kwa muda gani na kabla au baada ya mechi?
Hii ni hatari sana mkuu. Kama moyo wako siyo imara au una kasoro ambayo huijui basi kwa hakika kesho yake waweza kujikuta front page kwenye magazeti ya Shigongo.

Jaribu kutumia njia za kiasili acha haya makemikali utakuja kujiua bure....
 
Hii ni hatari sana mkuu. Kama moyo wako siyo imara au una kasoro ambayo huijui basi kwa hakika kesho yake waweza kujikuta front page kwenye magazeti ya Shigongo.

Jaribu kutumia njia za kiasili acha haya makemikali utakuja kujiua bure....
Kuna baharia alishauri unywe pepsi na panadol hahaha unawez nijikuta unapata magonjwa ya moyo kisa uichakate vzur papuchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafisi napenda sana coment ndefu ndo ugonjwa wangu humu pia mabaharia tunaochukua watoto wa under 20 tujipigie makofi kwanza

Binafsi niseme hivi hawa under 20 ni moto na uzuri akiwa na ngenye anakwambia kabisa nataka anakuja tofaut na hawa wakubwa wenzetu mpk tuombee

Pili niwakumbushe nyie mnaotaka kuchanangaya panadol na peps achen hizo mambo mtakufa bila kujua

Baada ya hotuba fupi mwrnyekiti rikiboy naomb uendelee na kikao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAFARI YA MWANZA-MBEYA ILIVYONIPA MGEGEDO KIMASIHARA.

Ilikua 2016 mwezi june kipindi hicho mama mtoto kazingua. Safari imeanza nyegezi nikiwa nyuma ya dereva nimetulia na muungwana mmoja. Safari ilivyozidi kuchanganya ndivyo hadithi kati yetu zivyoendelea kukata. Ile shuka-panda na chimba dawa za njiani nikawa nazicheki pisi kadhaa but nikawa sina mzuka wa hizo mambo as usiku kabla ya safari nilipata company. Shida ya safari ilianza nilipoingia Iringa town, maana nilikua nimevaa t-shirt na hali ya hewa mwezi huo wenyeji wanaielewa. Kipindi hicho gari zinalala makambako na baridi ni kali balaa. Ikabidi nichukue (kaschana) konyagi ndogo. Mpk nafika makambako nikawa nimekamaliza lkn bado bado baridi ilikua inanikomoa balaa, nikanywa chai ya maziwa alfajiri ile lakini wapi. Nikachukua uamuzi wa kutafuta bar iliyo wazi muda huo( saa7 usiku) nikaja kuipata mitaa ya mizani ambapo ni mbali na stand na nimepigwa baridi kwenye boda balaa.

Niliporudi nikakaa nje ya mgahawa raia wengine wakiota moto huku mie nashusha Antony Lusekelo(Bapa) mdogo mdogo. Kati ya waotaji moto alikuwepo binti mmoja (sio pisi kali lakini si haba alikua kajaliwa mahitaji yangu). Binti akatokea kuzielewa itikadi zangu nakula kitu kigumu naondoa baridi afu nipo kimya. Mungu kutujaalia wanadamu macho yetu kutokua na pazia alikua na malengo yake. Mara kadhaa tukawa twakutanisha macho huku yeye akionekana na fadhaa kizushi n design anatabasamu. Nikapata time ya kumzingua atupie vitu vikali akadai havipendi n hapendi wanaume wapiga tungi na bla bla kibao, but tulipiga story kibao na vile wazungu walikua wamenikolea binti akaishia kucheka tu na mwishowe tukabadili namba za simu.

Saa10 alfajiri safari ikaendelea tukaingia mbeya saa4 asubuhi, mie nilikua naunga mpaka s'wanga home mitaa ya kizwite na yeye alikua aelekea Tunduma. Baada ya siku mbili mida ya jioni akanipigia simu akanambia yupo stand kuu s'wanga (kitu ambacho sikutarajia kabisa). Basi nikamchukua na kutafuta pango la wageni maana alidai amekuja kutalii. Kumpeleka home ikawa jau kuwashawishi washua kuwa ni rafiki yangu. Niliporudi usiku kupiga nae stories binti akanizuia kuondoka akitaka nilale nae mzungu wa nne ati aogopa wachawi. Kilichoendelea kwa wiki nzima akiwa ana talii pale swanga kinaeleweka, hadi mtalii akaishiwa mkwanja wake ikabidi nisimamie show mpk nauli ya kurudi mwanza.

NB: CHUPI ILE YA KISUKUMA NILIIELEWA KIAINA INGAWA HAIKUWA KWA MATUMIZI YA KINYUMBA. Mawasiliano yalikuja katika ilipopata ajira Kigoma huko. Na mimi kufuata mgegedo mkoa wa vumbi jekundu jeuri hiyo sina(samahani WAHA kigoma ni moja eneo la Tz nisilolipenda kufa). Kwa sababu ya VUMBI JEKUNDU LA KIGOMA nikajikuta nimempoteza Grace.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom