Hii ya kifund sana[emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah picha ya Rose kabisa hiyo. Ni dada wa zamani wa kisasa!
 
We mzee muhuni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wazee wanatoa shuhuda zao mimi ni nani hata nisitoe ushuhuda?

Hongera mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja na mimi nitoe 1 kati ya 3 nilizo nazo:.....

Ilikuwa 24/12/2014 siku ya mkesha Xmass
Kuna demu anaitwa X ,alikuwa ni rafiki wa demu fulani ninayefahamiana naye anaitwa P huko siku za nyuma kuna ishu P aliniunganisha na X sso tukawa tunawasiliana na X.

Basi buana siku ya tukio nilifika Daslam jana yake baada ya kuwa nje ya jiji kwa miezi kadhaa, nkawa nimeenda kumsabahi rafiki yangu Jacob alikuwa anaishi maeneo ya fulani Sinza, sasa huyu demu X maskani kwao ni maeneo ya Shekilango Daslam.

Demu X kama kawa alikuwa ananitext tunapiga story, nikamwambia niko Dar na niko Sinza leo, akaanza kusema lazima tuonane kwani sio mbali na nyumbani na leo natoka kazini mapema nitakuja direct ulipo.

Kweli binti akafika baada ya kupewa ramani, mara Jacob akapigiwa simu na demu wake(shemela) kwamba wakaonane Mlimani city kuna kitu alitakiwa akampe.

Mimi na Jacob tunafaham Spanish maana tulisomaga wote huko kwa kina Fidel Castro,sasa demu X akaanza ohoo ongeeni Spanish niwasikie nione ina sound vipi kwenye mdomo wa mswahili, basi buana Jacob akawa kashang'amua kitu kibaharia zaidi akaniambia kwa Spanish " Mzee baba ndom ziko kwenye droo ya kati pale kazi kwako piga mashine, shobo nyingi huyo"....

Demu X akawa anafurahia eeh ina sound vizuuuri, basi Jacob akatuacha akasepa.

Tulivyobaki wawili ile story,story mara demu X akadai kachoka choka na race alizokuwa nazo kazini alikotoka, akasogea kitandani wakati huo mimi nilikuwa hapo tayari maana ghetto la msela halikuwa na viti.

Mara akaanza makuzi sijui kuna nywele imenasa na hereni nimsaidie kuweka sawa, na mimi nikaleta makuzi,nikapeleka mkono nikapapasa sikio mara naona mtu kastuka, anaanza kucheka cheka, nikarudia mara anaona hali inabadilika,

kumbe ndio ilikuwa sehem yeny kumtia nyege, nikarudia na nikaanza kuzitafuta sehem zingine, chap tunachojoana huku mbwembwe zikiendelea,.... faster nikachukua simu nikamtext mshikaji kuwa ishakuwa mukide, kwahiyo avute vute mpaka nitakampompa sign.

Nikaanza uchakataji, nimepiga mashine baada ya first round naona dem akili ikamrudia, akaanza kama kunikazia huku akiniuliza "Alex kabla ya kuendelea,what next after hiki tunachofanya? Ndio tunakuwa kwenye mahusiano au for fun?, nikawa sitaki kumjibu wakati huo kwa maana nilihisi labda angezingua wakati mimi nilikuwa bado nataka nitulie niombe cha pili.

Baadae nikamtia sound mara tukaamsha tena then tukamaliza,tukaoga na kujiweka sawa ,nikamcheki mwana,akarudi ghetto,demu X akakaa kidogo akasepa kwao.

Jioni alikuja tukaenda nae Bar fulani pale Sinza, siku mbili zilizofata tukaamshia Lodge, nikaona baadae anaanza kuleta habari za kugandana mara kuona oana, nikawa nampotezea, akaelewa kuwa sikuwa na mpango nae kimaisha.

Mpaka leo yuko ofisi fulani ya serikali tunatia story kama kawa, Sa hivi kawa Singo Maza huko analalamika tuu.


Alexander
 
Kaka shikamoo! Maana kwa huo mwaka unakula kwa masihara, mie nilizaliwa miaka 9 baadae. 😆 By the way, nimeona ID yako, ninadhani umeangalia hizo filamu matata za Matt Damon kuanzia Bourne Identity (2001) hadi Jason Bourne (2016).
 
Mzee mwenzangu,umenirudisha mbalia sana na story yako!!Loooh..
Kweli wakati ni ukuta!!
 
Vp saivi una jipanga pale sinza usiku kusubiri wateja au
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee mwenzangu,umenirudisha mbalia sana na story yako!!Loooh..
Kweli wakati ni ukuta!!
Haha ! Naona wazee wa huu uzi mmekutana sasa. Tunafurahia uwepo wenu, busara zenu na uzoefu wenu bila kusahau uandishi wenu wenye tabia ya kuteka akili za msomaji na kuona vitu tajwa kama wanaviona kwa macho kumbe ni taswira tu.
 
Haha ! Naona wazee wa huu uzi mmekutana sasa. Tunafurahia uwepo wenu, busara zenu na uzoefu wenu bila kusahau uandishi wenu wenye tabia ya kuteka akili za msomaji na kuona vitu tajwa kama wanaviona kwa macho kumbe ni taswira tu.
Kwa kweli uzi huu naufuatilia sana,sababu umenirudisha mbali sana...nikikumbuka basi na machozi yanalenga.Wakati wa ujana na pilikapilika za kuizunguka dunia.Kuzirudisha nyuma siku haiwezekani
 
Sio malaika huyu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitaka kumuuwa?

kelphin kepph
 
Meupenda huu uandishi... Hope hii talent imekutengenezea kipato
 
Nipe namba mzee nipo mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…