Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Daaaaahhh...huu ungese sasa..Leo nimemsindikiza bro hospital, wakati tuna subiri kuingia kwa doctor kaja demu Mmoja mweusiiii ila ile weusi wa kuteleza ana kijitako fulani kizuri Balaa na hips swafiii...halafu alikuwa kava jeans tight kwa hyo tako na hips vinaonekana vizuri Kabisa...

Baada ya kuingia pale mapokezi Kila mtu kuanzia wanaume, mademu wenzake na wamama kama walitulia kiaina. Nikawa nimemwangalia tulipokutanisha macho akaangali pembeni fasta.

Ghafla ishu ya Kula kimasihara ikajaa akilini ila sasa namuanzaje?? Nadhani ndo ilikuwa ndo Mara yake ya kwanza kuja Kwenye ile hospital maana alifungua file jipya. Baada ya kufunga akawa wa Mwisho Kabisa Kwenye foleni. Nikaamka nikaenda kusimamia karibu yake...yeye kakaa Kwenye bench Mimi nimesimama tu maana hakukuwa na nafasi ya kukaa.

Kimbembe ikawa naanzaje kumsemesha sasa maana alipoingia Kila mtu alipay attention kwake. Duuuuu....huku nakule akawa amefungua file lake nikawa nimeona Namba ya simu imeandikwa Kwenye file fasta nikachukua ila Namba na nikaondoka Kabisa pale nikijisemea moyoni hapa 50% nimeshashinda.


Daaahh baada ya Kutoka hospital nimepiga ile Namba haipatikani...yaani nimerudia zaidi ya mara mia haipatikani...nimemtumia text WhatsApp ila bado haijawa delivered. Sasa nashangaa kuna nini maana akiwa pale hospital alikuwa anachat.

Yaani hapa naandika hii comment ni saa kumi alfajiri ila bado Namba haipatikani. ***** wallah sijui yule mtu wa mapokezi alikosea kuandika Namba ya yule demu??? Bado sijakata tamaa naendelea kumtafuta na siku nikimla nitaleta masihara yake hapa.
 
Daaaaahhh...huu ungese sasa..Leo nimemsindikiza bro hospital, wakati tuna subiri kuingia kwa doctor kaja demu Mmoja mweusiiii ila ile weusi wa kuteleza ana kijitako fulani kizuri Balaa na hips swafiii...halafu alikuwa kava jeans tight kwa hyo tako na hips vinaonekana vizuri Kabisa...

Baada ya kuingia pale mapokezi Kila mtu kuanzia wanaume, mademu wenzake na wamama kama walitulia kiaina. Nikawa nimemwangalia tulipokutanisha macho akaangali pembeni fasta.

Ghafla ishu ya Kula kimasihara ikajaa akilini ila sasa namuanzaje?? Nadhani ndo ilikuwa ndo Mara yake ya kwanza kuja Kwenye ile hospital maana alifungua file jipya. Baada ya kufunga akawa wa Mwisho Kabisa Kwenye foleni. Nikaamka nikaenda kusimamia karibu yake...yeye kakaa Kwenye bench Mimi nimesimama tu maana hakukuwa na nafasi ya kukaa.

Kimbembe ikawa naanzaje kumsemesha sasa maana alipoingia Kila mtu alipay attention kwake. Duuuuu....huku nakule akawa amefungua file lake nikawa nimeona Namba ya simu imeandikwa Kwenye file fasta nikachukua ila Namba na nikaondoka Kabisa pale nikijisemea moyoni hapa 50% nimeshashinda.


Daaahh baada ya Kutoka hospital nimepiga ile Namba haipatikani...yaani nimerudia zaidi ya mara mia haipatikani...nimemtumia text WhatsApp ila bado haijawa delivered. Sasa nashangaa kuna nini maana akiwa pale hospital alikuwa anachat.

Yaani hapa naandika hii comment ni saa kumi alfajiri ila bado Namba haipatikani. ***** wallah sijui yule mtu wa mapokezi alikosea kuandika Namba ya yule demu??? Bado sijakata tamaa naendelea kumtafuta na siku nikimla nitaleta masihara yake hapa.
😂😂😂usiwaze mkuu
 
Mkuu Emery paper
Kumbukumbu zangu alishaniambia wapo 3 kwao, wakwanza kaka ake yupo paris Ufaransa ni engineer alitaja kiwanda ckumbuki ila wa pili ni dadake ambaye alikua ni daktari Queens hospital kama sikosei ila mji ndo nimesahau yeye ni wa mwisho na alikua pia daktari,pale london na alikua anaishi na mama ake kwani Mzee wake alisha fariki,
Kipindi hicho ujana ilikua shida sikutilia umanaan sana wala kuuliza maswali kwani nilikua na mtu ambaye nilimpenda sana na isitoshe huyo dada nilimla kimasihara,sema swala la mtoto ndo linaniumiza kichwa kila napomkumbuka

Changamoto pia umbali na nchi yenyewe namna ya kufika huko au kama kuna mwana jamii forum anae ishi huko tuwasiliane dada ake anafanya kazi Queen hospital na anaitwa charlotte hudson
Mkuu vipi ukiingia Google uka check mawasiliano ya hiyo hospital then from there ukauliza mawasiliano ya huyo mtu hope unaweza kua na sehemu ya kuanzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa senzy saaaana duh
Miaka kadhaa, nilipanga mitaa fulani hapa jijini ilikuwa sebule+chumba (master bedroom) katika hiyo nyumba wapangaji tulikuwa watatu.
Miezi michache ofisi ikapata mradi mkoa mmoja huko kaskazini hivyo nikawa miongoni mwa wafanyakazi waliotakiwa kwenda huko. Kutokana na mazingira ya kule mkoani ilikuwa nakuja dar kila baada ya miezi mitatu. Nikiwa mkoani mama mwenye nyumba(tulikuwa tumezoeana Sana) akaniuliza kama natarajia kurudi siku za karibu, nikamjibu hapana. Ndipo akaniomba atumie chumba changu ili amhifadhi ndugu yake kwa siku kadhaa. Sikumkatalia na kwa kuwa alikuwa ni ni mama mstaarabu. Hivyo alitumia ufunguo wa akiba ili ndugu yake aishi kwenye chumba changu. Kufikia hapo hata sikuuliza jinsia ya huyo mgeni.
Wiki mbili baadaye nikahitajika kurudi jijini kwa suala la kiofisi. Kwa kuwa nilichelewa kutoka mkoa, nilifika Dar saa tatu usiku, mpaka nafika nilipopanga ni saa nne kasoro. Nikafika na kufunguliwa mlango mkubwa, na kukutana na mama mwenye nyumba akiwa amekaa nje na dada mmoja mnene na mweupe. Niliwasalimu na kumpatia mama mwenye nyumba zawadi zake kutoka mkoani. Mama alishukuru na kisha kunipa pole ya safari na akaongeza kusema ",unajua yule mgeni wangu niliyekuambia ndio huyu hapa" nikamtupia jicho bi dada na kupigwa na butwaa maana mimi nilidhani mgeni ameshaondoka. Mama akaendelea nenda kaweke mabegi yako kwanza, huyu atakuja kutoa vitu vyake ili akalale na wadogo zake".
Niliingia sebuleni na kuweka mabegi nikaelekea chumbani na kukuta kitanda kimetandikwa vyema, dressing table imejaa vikorokoro vya kike na chooni kumeanikwa chupi kadhaa.
Akili nyeusi ikaniingia, nikatoka nje na kumwambia mama kuwa kwa kuwa ni usiku basi acha dada alale tu huku, Mimi nitalala sebuleni, haina tatizo. Mama mwenye nyumba alimwangalia dada kisha akasema,kama amekubali sawa ila usimletee fujo tu maana ameshposwa huyu.
Mama mwenye nyumba aliingia nyumbani kwake mimi na binti tukaingia nyumba ya wapangaji mpaka sebuleni. Binti alikuwa amevaa track na t-shirt moja pana. Tulipofika akaishia sebuleni na kuniambia nenda kaoge kabisa ndipo nije kulala huku. Niliingia na kuoga Kisha kutoka na shuka pamoja na mto tayari kuja kulala sebuleni. Binti akaniambia kitanda kikubwa sana kile kwa nini uteseke wakati umelipa kodi. Baada ya mazungumzo ndipo nikagundua kuwa amekuja kwa ndugu yake akijiandaa kuolewa wiki chache mbele.Alikua mchangamfu na mwenye kujiamini sana.
Tukaingia bedroom na mashindano ya nani alale upande ukutani yaliianza. Mwisho akakubali kulala ukutani. Saa sita hivi nikiwa nimepitiwa na usingizi nadhani kwa sababu ya uchovu wa safari niliamshwa na sauti ya huyu binti akiwa anaongea na mume wake mtarajiwa. Alipomaliza kuzungumza aliniambia sorry Kisha akasema mume mtarajiwa ana wivu sana. Sikuwa na neno la kuongeza, aliendelea kuniuliza mbona hujajifunika huku akikunjua shuka na kunifunika, nikamwambia siwezi kulala kama taa inawaka ( maaa alitoa sharti la taa kutozimwa) na kama mjuavyo ni ngumu kuanza utundu mkiwa mnaonana
Binti aliinuka na kwenda chooni kisha akazima taa na kuja kitandani na kunifunika shuka moja pamoja naye. Alijisogeza Karibu kabisa na kuweka kichwa begani.
Tuliamka kama tulivyozaliwa maana nilikula tunda la bi harusi mtarajiwa kwa Wiki mbili mfululizo. Binti alikuwa mlaini yule, vilio vya mahaba, msafi na anayependa mchezo. Wiki tatu baadaye akaolewa.
Sijapata tena mama mwenye nyumba mkarimu kama yule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marufuku baharia kukata tamaaa.
Daaaaahhh...huu ungese sasa..Leo nimemsindikiza bro hospital, wakati tuna subiri kuingia kwa doctor kaja demu Mmoja mweusiiii ila ile weusi wa kuteleza ana kijitako fulani kizuri Balaa na hips swafiii...halafu alikuwa kava jeans tight kwa hyo tako na hips vinaonekana vizuri Kabisa...

Baada ya kuingia pale mapokezi Kila mtu kuanzia wanaume, mademu wenzake na wamama kama walitulia kiaina. Nikawa nimemwangalia tulipokutanisha macho akaangali pembeni fasta.

Ghafla ishu ya Kula kimasihara ikajaa akilini ila sasa namuanzaje?? Nadhani ndo ilikuwa ndo Mara yake ya kwanza kuja Kwenye ile hospital maana alifungua file jipya. Baada ya kufunga akawa wa Mwisho Kabisa Kwenye foleni. Nikaamka nikaenda kusimamia karibu yake...yeye kakaa Kwenye bench Mimi nimesimama tu maana hakukuwa na nafasi ya kukaa.

Kimbembe ikawa naanzaje kumsemesha sasa maana alipoingia Kila mtu alipay attention kwake. Duuuuu....huku nakule akawa amefungua file lake nikawa nimeona Namba ya simu imeandikwa Kwenye file fasta nikachukua ila Namba na nikaondoka Kabisa pale nikijisemea moyoni hapa 50% nimeshashinda.


Daaahh baada ya Kutoka hospital nimepiga ile Namba haipatikani...yaani nimerudia zaidi ya mara mia haipatikani...nimemtumia text WhatsApp ila bado haijawa delivered. Sasa nashangaa kuna nini maana akiwa pale hospital alikuwa anachat.

Yaani hapa naandika hii comment ni saa kumi alfajiri ila bado Namba haipatikani. ***** wallah sijui yule mtu wa mapokezi alikosea kuandika Namba ya yule demu??? Bado sijakata tamaa naendelea kumtafuta na siku nikimla nitaleta masihara yake hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume Mungu anawaona.

My best kaliwa kimasihara muda si mrefu hapa, kakutana na baharia njiani kaliwa saizi nampashia maji akajikande maana anasema jamaa anamiliki mguu wa mtoto anahisi kizazi kinachomoka
Wewe hauutaki mguu wa mtoto?
 
yan huyo utamwita mlokole.......? ana ulizia geto lako lilipo? ana ahidi kuja geto? ana acha ibada anakuja nje kucheza na wewe ambae sio mlokole......? anaingia lodge chumbani na wewe huku nyuma kawaacha wenzake wanaendelea na ibada?


hapo mlikutana wazinzi mkuu, sema yeye alikua kichakani na wewe ulikua ambiasi...... wote ni wazinzi! hakuna mlokole atafanya hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Yule ni mlokole pure sema labda alikuwa kabanwa mnoo kupitiliza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AMKENI AMKENI NIMELUDI TENA


HII ILITOKEA MWAKA JANA NILIOGOPA KUILETA HAPA ITAONEKANA NI CHAI LKN NI KWELI KABISA NI KWELI NI KWELI

NOTE : STORY YA KUTISHA KIDOGO

JINSI NILIVYOKULA JAMBAZI LA KIKE KIMASIHARA
NDIO JAMBAZI LA KIKE

ILI kuwa mwaka Jana 12/6/ kutokana na kazi yangu ninayofanya nimekuwa MTU wa kusafiri safari sana mikoa mbali mbali na nchi za jirani
Tukio hili mpaka leo hata Mimi nashindwa kulielewa kabisa ya sijui ni nini kilitokea siku ile
Tukiwa safarini kuelekea mkoani ruvuma kwenye mgodi wa makaa ya mawe Ruanda liganga ikiwa ndio Mara yangu ya kwanza kufika huko tukiwa na msafala wa magari matatu tukipeleke mashine kwenye huo mgodi tukipitia njia ya kusini kwa wanao fahamu ile njia INA mambo mengi sana uchawi wizi ajali na vimbwanga kibao
Tukio lili tokea mchana kweupe kabisa ktk msafala wetu mm ndio niliye kuwa nyuma nikiwa na gari aina ya Noah ktk ni Volvo iliyobeba mashine yenyewe mbele ford Kuna kipende unapita pembeni pembezo ni mbuga ya ruaha ni njia yenye kona nyingi madereva wa dangote huangushaga magari ya sana pale ni sehemu tulivyo msitu down mabonde ya kutisha
Tukiwa tumefika maeneo hayo mida kama ya SAA 7 mchana tukiwe kwenye mwendo wetu speed 50 kushuka chini huwa tunatembea na radio call tunaweza kuwasiliana gari zote tatu nilisikia neno moja tu tumevamiwa ghalfa gari ya mbele yangu ikasimama nikasikia tena tutulie wanachotaka tuwepe nikaona watu wawili wakiifata gari yangu mmoja alikuwa na silaha akiniamlisha nishuke kwenye gari nikashuka sikuwa na uwonga sana coz nimatukio niliyo yazoea kutokana na kazi yangu jamaa walikuwa wanne wawili wa KIKE kwaiyo jumla 6 hawakuvaa kitu chochote cha kuziba sura wa sare walivya kawaida tu wale wadada walivaa pesi za jeans na t-shirts walituweka pembeni ya balabala ni kuanza kusema wanataka pesa lkn kama wakashauliana jambo ivi nikaona mmoja wao akienda toa magari balalani ni kuweka pembeni mm yangu nilizima na kutoa ufunguo

Note :sikuwa na uwonga ni matukio niliyo yazoea

Aliludi kuja chukua ufunguo alikuwa mwanamke nikampe bila ukorofi wowote akaliweka pembeni na ku lock magari yote
Nadhani waliogopa magari mengine yakija pita waone kama tumepark na kuingia porini kujisaidia
Nilichowaza kilikuwa sahihi watuamlisha tuingie porini kama mita 100 au 150. Si mbali sana ila MTU akiwa balabalani hawezi kuona wala we hauwezi kuona balabalani walikuwa wanataka pesa pesa tulisha kubaliana tuwepe pesa wasije tuondoke zetu mkuu wetu wa msafala ambaye anaendesha gari kubwa naye alikuwa mzoefu na ndio aliyetupa taalifa kwenye radio call akasema pesa zipo lkn kwenye gari
Basi nikaamlishwa mm ndio niende kwenye gari kubwa kuchukua hela uku nikiongozana na majambazi wawili mmoja wakike walificha silaha ili tukifika balabalani km Kuna gari/magari yanapita wasione kushutkia chochote kile

Note: balabala za mkoani magari yanakuwaga sio mengi unaweza kukua dakika 5/10. Bila gari kupita

Tulivyo fika kwenye gari chini akabaki Yule mwanaume juu nikapanda na mwanamke nikifika pesa zilipo na kuchukua nikamwambia yule mwanamke uzuri urembo wote huo jmn unakuwa JAMBAZI akunijibu kitu nikaongea tena ila umeumbika akujibu pia tukashuka uku nikiwa na pesa mkononi kufika kule tukawapa zile pesa yule Dada alikuwa akiniangalia sana sijui kwa maneno yangu au vipi jamaa wakaanza sema pesa ndogo sijui zingine zipo wapi zikaanza pulukushani zikaanza tembea ubapa za panga pale lkn ss tunaelewa kila kitu kuwa watatuacha na tutasepa zetu ikibidi mkuu wa masafala aniambie mikito kawepe zile zingine zote aliona mambo yanaweza kuwa mengi mkuu anawekega pesa sehemu mbali mbali kwenye gari lake ni Volvo kubwa zile kwa ajili ya usalama.... kwenye safari zetu pesa tena cash ni muhimu na Mimi najua anapoweka pesa sehemu zote ila sehm ya kwanza nilioenda kuchukua zilikuwa chache sehm kama tano alificha hela nikaenda tena kama mwanzo nikasindikizwa na binti yule yule na jamaa mmoja mm najua zile nazoenda chukua ni za mwisho japo zipo nyingine kufika kama kawaida nikitoa yule Dada aliambia sijui atafute tafute apekuwe pekuwa au shobo zake tu akaanza Ku search mule ndani ya gari uku na uku ..

Mm nikimshika tako nilifanya makusudi nikamwambia hakuna tena pesa lkn sikuachia lile tako nikaona MTU kaacha kutafuta akashusha ile pensi yake ya jeans mm nikaelewa huyu unataka nini akaniambia fasta basi ile sauti ya kuamlisha basi bilahiyana mm nikashusha nguo piga chakata tako za kutosha kama dakika 5 sijakujoa yule jamaa wa chini sijui alihisi kitu akauliza vipi uko yule demu akajibu subiri kidogo na tusi juu namalizia kutafuta haikufika mda nikakojoa tukavaa na kutoka nikiwa na pesa niliyofata Mara ya Pili kufika kule nikawapa wakatupa funguo zetu za magari wakachukua simu ni baadhi ya vitu vidogo kidogo na kutokomelea porini tukaludi na kuwasha gari na kusepa ..
Mpk Leo hata wezangu hawaamini nilivyo waambia ila ukweli naujua Mimi na Dada JAMBAZI
Asante Dada JAMBAZI


Sent using Jamii Forums mobile app
Dadeqq hivi chief unatuchukuliaje sisi??
 
Nisipotoa ya kwangu itakuwa sijatendea haki watasomaji.

Nilienda Mtwara kikazi, wakati narudi nilifika Dar usiku mida ya sa tano hivi maana nilichelewa kutoka kule. Kwasababu huwa sipendi kusumbua watu usiku nikasema nisiende kwa jamaa au ndugu yeyote isipokuwa nitafute lodge nilale kesho niendelee na safari yangu ya Mwanza.

Nikaenda mitaa ya riverside nikaanza kusaka lodge, kila ninayoingia imejaa. Nilizunguka kama dakika 30 hivi, hatimaye nikafika lodge moja hivi napo palikuwa pamejaa. Ile lodge ina bar pia. Mhudumu mmoja akajitolea kunisaidia kutafta lodge za jirani, napo juhudi zilionekana kukwama lakini hakuniacha peke yangu.

Nilitembea nae kama nusu saa hivi tunazunguka lakini lodge zilikuwaa zimejaa. Wakati tunazunguka na yule dada Moyoni nikaanza kuwaza huyu dada anamoyo mzuri sana, ameacha gori na anapigiwa simu arudi lakini anawaambia siwezi kumuacha mteja peke yake hadi nimsaidie. Kama vipi nitatest kimasihara.

Basi akasema ngoja nikupeleke lodge moja hivi ila sio nzuri sana je uko tayari? Nikamwambia poa ila nisipopapenda ninaenda kulala kwako. Akasema hana kwake maana anaishi kwa dada yake. Kweli tukafika ile lodge tukakuta vyumba viwili self moja na single moja, nikachukua self. Pale lodge nilikuwa mhuhudumu mdada inocent hivi ambapo alibadili kabisa upepo wa kumuwazia yule mhudumu wa bar.

Alivoondoka yule aliyenipeleka pale, nikawaza ngoja nitest kwa mhudumu wa pale lodge nione kama kimasihara inafanya kazi.

Yule mhudumu wa pale lodge alikuwa mshamba mshamba flani kama vile ametoka leo mkoani. Kasuka tatu kichwa kajifunga na kanga zake vizuri. Nikajisemea kuwa huyu atakuwa anajiheshimu jinsi alivyo alivyo. Nikatoka chumbani nikamfuata receiption nikamuomba namba, akanipatia. Nilivoingia tu chumbani nikampigia nikamwambia kama vipi njoo unipe kampani naogopa kulala peke yangu. Akasema hapana siwezi maana nipo kazini. Nikamwambia saivi usiku hakunna mteja anaakuja we njo tulale. Akasitasita saaana lakini badae akasema poa ila nakuja na kondomu. Nikasema poa. Baada ya dakika kumi akaja tukaoga then nikala mzigo hadi sa kumi asubuhi.

Kilichonifanya nimtest yule dada ni huu uzi. Nilijisemea ngoja nitest kama inafanya kazi, nashangaa dada kaingia laini.

Alaniwe aliyeanzisha uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom