Ikiwa uzi unazid kusogea acha na mimi nilete changu
Mwaka 2011 january,baada ya mapumziko ya mwaka ambapo nilikua ngorongoro kwa ajili ya mapumziko na kutalii,nikaona niende home mwanza nikamsalimie bi mkubwa then niende job. Nikiwa manyara airport nasubiri charter ya coastal air kuelekea mwanza.Nikiwa airport manyara ikaja charter ya Coastal air ikitokea Arusha,ikashusha abiria na tukapanda abiria kama wawili, mimi na mzungu mmoja msichana wa makamo 36yrs kipindi hicho,nilikuja gundua baadae,na tulikuta transit kama 4 hivi jumla tukawa abiria 6,mi nilikaa seat za nyuma na yule dada wa kizungu,safari ikaanza tukiwa kimya kila mmoja anatafakari mambo yake,Tukiwa tuna fika mwanza akaona ziwa,ikabaid aniulize ni ziwa gani,nikamjibu ziwa victoria alifurah sana akatoa ramani akawa anaangalia. after landing na kuchukua begi langu yeye akawa anasubir basi la hotel lilichelewa kufika, kwa vile mimi dogo alikuja kunichukua na huyo mzungu alinambia amefanya booking Tilapia hotel ni kamwambia kama hatojali nimpitishe hotelin then mi niende home nyakato- Nundu,Akakubali na Tukampitisha hotelin wakati wa kuagana tukabadilishana namba za simu, mida ya saa 4 usiku akani call na kuniuliza kama nimelalal nikamjibu bado napiga story na bi mkubwa na ndugu basi akaomba tuchati kwa text nikamjibu karibu,katika charting nikagundua amekuja mwanza for the first time na akaniomba kesho yake kama ratiba yangu inaruhusu nimtembeze jiji la mwanza ,baharia nikaumiza nichwa nimpeleke wapi huyu mwanzi hata sioni sehemu ya kumpeleka , nikamwambia sister hilo wazo akasema kwa nini nisiende kisiwa cha rubondo, duh nikaona wazo zuri kwanza hata mi nilikua sijawahifika huko,kwa vile sister alikua ametoka kutalii huko kama two weeks ago akanipa mchongo mzima na taratibu za kufika huko, wazo hilo nikamfikishia yule dada wa kizungu na alionekana kukubali hilo wazo na tukapanga kesho yake twende rubondo kutembea, kesho yake mida kama ya saa 4 asubuh nikaubuka kwa hotel nikamchukua tayari kwa safari,akaniomba nimpeleke bank ya standard chartered akaenda kuvuta mpunga, tukaenda kivuko cha kamanga kipindi kile mabasi ya bukoba ndo yanavukia hapo, kufika tunaambiwa tumechelewa yashaondoka ila tutafte private tunaweza pata, na kweli bahati ilikua kwetu tukapata hiyo private. mida ya saa 11 tukafika Mgaza,nikamwambia tununue chakula cha kupika kule hakuna hotel ila kuna cooking facilities zote,baada ya mahemezi ya chakula tukaenda mwaloni kupanda boti mpaka kisiwani kumbuka hapo sina wazo lolote la kumla mi nafurahia safari kama sehemu ya kutalii tu.Tumefika kisiwani tukaambiwe kwa vile ni jioni na maafisa wamefunga ofisi hivyo tutapata sehemu ya kulala na sehem ya kupika chakula chetu kesho yake ndo tutapewa utaratibu mzima wa hapo, Jamaa katupeleka kwenye nyumba za wagen tukapata nyumba mmoja tu ndo imesalia zingine zimejaa ila ilikua na vitanda viwili lakin self, jamaa akauliza lakin nyie si ni wapenzi?cha ajabu yule mzungu akakubali kua sisi ni wapenzi. jamaa akaondoka tukabaki Tukapaki vitu vyetu ,mara yule dada mzungu akaanza kuvua nguo ili akaoge mi hapo akili inaanza kuhama na kukosa utulivu,yule dada japo wazungu wengi hawana makalio lakin kwa yule alikua kajaaliwa alikua na umbo zuri sana hipsi alikua nazo kiukwel alikua vizuri hapo mi ngoma inasoma 4G, akaiona imesisimama akaanza kucheka akanifata akanikumbatia huku mkono mmoja anafungua zipu akaitoa mashine akaanza kuinyonya dah yule dada anajua kunyonya huku anasifia kua ni kubwa na ni ya moto,after kissing each other ikafika mda wa kupiga machine kwa kweli nilimpiga mashine yule dada plus alikua kama demu wangu wa tatu toka nizaliwe so nguvu zilikuwepo za kutosha kakojoa mara 3 mi ndo nafika kimoja ,tour yetu ilikua poa sana kwa hizo siku 2 za huko,na mpaka tunarudi alifuhi sana na akanipa laptop aina ya aple kama zawadi japo iliniachia maumivu ambapo mpaka leo hua naumia sababu demu alinambia anaujauzito na alijifungua mtoto wa kiume na nilifanikiwa kumona kwenye picha tu chotara flan na aliniahid angerud tanzania kuniletea mtoto nimuone japo hakutimiza hiyo ahadi, toka mwaka 2013 sijawahi wasiliana nae tena na hajawahi nitafuta.ni muingereza anaish london. nakumiss sana christine na mwanangu Jason. labda ipo siku nitawaona