Kwani mnadhani ninamazoea yoyote na huyu mpangaji mwenzangu? Tena mke wa mtu? Hapana! Hapana kabisa.

J2 moja nikiwa chumba cha kufulia nyuma ya nyumba si na yeye kaja kupanga foleni ya kufua! Story za hapa na pale, mvua kidogo nje! Mara eti kwa mshtuko wa radi si akanirukia kanikumbatia akilalamika eti radi itamuua!

Kwa sekunde kadhaa kabaki amenikumbatia, hisia zikaja chap! Hakukuwa na jinsi nyingine tofauti na kumwinamisha na akaegemea machine ya kufua huku akiniachia maeneo ya nyuma yake niyatawale. Kamechi ka uwoga uwoga kakapigwa chap. Kisha kasepa.

Jioni eti ananiambia kilichotokea sio kawaida yake na kwamba nisimchukulie kama maharage ya mbeya, khaaa! Mwishoni eti ananiambia kama ntakuwa na kifua basi ntafaidi tena na tena, akamaliza kwa kushukuru kwa tendo lile ovu tulilotenda.

Msiniulize mambo ya condom hapa! Sijui hata zinauzwa sh ngapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba hupat papaa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika pilika zangu za ujana Ambazo huwa hazina desturi ya kumuweka kijana mbali na mahusiano .... Nikajikuta Nipo katika kijiji kimoja (1) hivi Jina kapuni Morogoro huko ndani ndani ....Ni mahali ambako hata network Ya simu kuipata ni mtihani ili uweze kupata mawasiliano itakulazimu uende mahali kwenye muinuko wa mlima ama kichuguu ndio unaweza kubahatika kupata network "

Basi baada ya kufika katika kile kijiji na kukaa siku kadhaa" kuna siku 1 Ambayo nimeisahau jina na tarehe ..Mimi na wenyeji wangu Tukapanga Tutoke tuelekee kwenye makazi ya Baba Mmoja hivi ambaye anaishi na mkewe pamoja na baadhi ya family members wengine " Nia na madhumuni yetu ilikuwa ni kwenda kuangalia mechi ya simba sikumbuki simba alikuwa anacheza na nani " kwa sababu Mimi sio mpenzi sana wa mpira wa miguu Huu unaochezwa katika hii league yetu ya ndani'.....

So kama mnavyojua " maisha ya kijijini yalivyo binafsi nililazimika kujiunga na huo msafara kwa sababu "ya kuepuka kubaki nyumbani peke yangu so nikalazimika kujiunga na wenzangu ili kuepuka mazingira ya upweke ambayo huwenda yangenikuta endapo ningebaki peke yangu'' so ikanilazimu tu kuwa kenge katika msafara wa Mamba"------

Katika kile kijiji ile nyumba ambayo tulikwenda ilikuwa ni moja ya nyumba maarufu sana ...sababu ambazo zilikuwa zina pelekea nyumba hiyo kuwa maarufu ni kwa sababu Mmiliki wa nyumba hiyo kwa pale kijijini ndiye Mtu ambaye inasemekana ana ukwasi " pia ndio nyumba ambayo wenyewe wamejitolea kuwa wanaonyesha TV kwa wana kijiji "bila malipo wala Tozo yeyote"'....------;

Basi bwana " baada ya Kuikabili safari ya muda kama wa dakika 5 ikawa tumefika katika nyumba husika na Mimi nikajumuika katika kutazama mpira kama ambavyo ilivyokuwa kwa wenzangu""'--------

Wakati tunaendelea kutazama mpira kikafika kipindi cha mapumziko " Ikawa ni wakati wa baadhi ya mashabaki lia lia wa team zao kuanza kutupiana vijembe... Wakati story zimenoga .

Ebwana eeehhhh ilikuwa kama bahati ya mtende Au naweza kusema nyota ya Jaa imenindokea nilipo tizama katika mlango wa kutokea macho yangu ya kukutana na macho ya mtoto 1 matata sana '' Yaani ilikuwa kama nimepigwa na bumbuwazi hivi au kama vile nimepatwa na ajali ya kupigwa na shoti ya umeme'' ---------------

kwa haraka haraka sikuweza kuamini kama yule binti naweza kukutana nae katika mazingira Yale "kwa maana Alikuwa na uzuri unaoweza kumpumbaza mwanaume kiasi chake ..na kwa kuwa kwa wakati ule alikuwa katika mazingira ya kijijini " mazingira yakawa ndio yanazidi kumpa credit kwa sababu kwa sisi watoto wa mjini huwa tuna amini kwamba ni nadra kukutana na binti mzuri Bush....Uzuri zaidi ni kwamba binti alikuwa msafi halafu ana elements za u-slay Queen Fulani hivi''.....
Basi ikawa anazidi kunipa tabu machoni na tetemeko la moyo''

Basi chap kwa haraka nikajiondoa katika viunga vya kutazamia mpira ...nikatoka nje na kumfuata binti mpaka mahali alipo ' kisha kwa heshima na taadhima nikampatia haki Yake ya salamu''...... Kisha nikaigiza kwa kujifanya kuwa Nina kiu ya Maji then bila kusita nikamuomba aniletee Maji ya kunywa ''binti bila hiyana na kwa nidhamu zote za vijijini akanyanyuka kisha akaenda kuniletea''-------

Aliporejea baada ya kunipa Maji na kuyanywa ''Nikaanzisha story ...nikajitambulisha kwake ' binti nayeye akajitambulisha " akanieleza kuwa ni msomi wa A level katika shule Fulani -- ipo Vijiji vya mbele kutoka hapo " akanieleza kuwa anaishi dar Tegeta pale nilipomkuta ni kwa aunt Yake ' akanieleza kuwa anasoma day ila amepanga chumba na mwanafunzi mwenzake Na siku ile niliyomkuta pale "Yupo pale kwa kuwa ni weekend na hiyo kwake huwa ni kama desturi ya kuwa anarejea nyumbani kila weekend''........

Basi Mimi na yule binti urafiki wetu ikawa umeanzia hapo ' nikamuelekeza nilipofikia '' .............

Kumbe bwana kale kabinti nako kalikuwa kananitolea macho ...baada ya kuachana nae siku ile nilijikuta Niko busy sana na mambo yaliyo nipeleka kijijini hapo ''so sikuweza kupata chance ya kuonana nae karibu '

(Binafsi pia nilikuwa najitahidi kujizuia nisijiingize katika mahusiano na mwanamke yeyeto kijijini pale kwa sababu nilikuwa najiheshimu mnoo na watu walikuwa wananilipa malipo mema ya heshima niliyojijengea so nilikuwa najitahidi kusema na nafsi yangu..)

Ila kama ambavyo mnavyojua Matamanio ya ngono yana nguvu kuliko hata ile ya sumaku'' ..basi ikatokea siku 1 ilikuwa ni weekend nilikuwa nimealikwa kwenye shughuli pale pale kijijini ..shuguli ilikuwa inafanyika mchana mpaka jioni "" nilipofika pale baada ya muda macho yangu yaka kutana na macho ya yule binti .......... Tamaa ikanikaba kooni '' Shetani la ngono likanipanda '' nasikia kabisa shetani ananiuliza hivi kinacho kufanya usimt.......huyu mtoto ninini?? Au ndio unajifanya umeokoka Ukitaka kuokoka make sure unajikata na hiyo mbo... Yako kabisa ....

Basi baada ya shetani kunipiga msasa ....nikamuita dogo 1 kisha nikamtuma akaniitie yule binti kisha amueleze mahali nitakapo kuwa namsubiri ..baada ya dakika chache binti kaja huku ana tabasamu ....alipofika nikamlisha maneno matamu kisha nikamuomba baadae mishale ya SAA 11 tuonane (Naomba mfahamu kwamba huko hakuna guest ) miadi yetu ilikuwa kwamba tukutane pembezoni Ya MTO ....... siku hiyo dereva wa kusukuma Masaa alikuwa hana ajizi kufumba na kufumbua saa 11 hii hapa .. MTU mzima nikatoka mbio mpaka kwenye location husika namkuta binti ameshafika kitambo ananingoja ......aliponiona akaja mbio akanikumbatia .... (Ehhh ehhh kimoyo moyo nikawa nasema shetani nikulipe ujira gani Mimi wewe kwa hii favour unayonipa)

Mtoto nikamkiss katika paji la USO nilipo mlaza kifuani hakuwa na ajizi akajilaza kama vile amelalia godoro la tanform ....mikono yangu taratibu ikawa inampapasa Mgongoni nilipofika kwenye kupapasa makalio binti akalegea utadhani samaki changu aliyenasa kwenye nyavu za kutegea samaki na kukutana na kifo.... Nika mnyanyua kichwa mtoto akaomba romance .....(wakati huo tupo kati kati ya Msitu wa Migomba ) mbaya zaidi penzi limetutia upofu tume simama kati kati ya njia ....... Binti akajitoa kifuani kisha akaniambia hapa njiani njoo kwa huku (huku ananiambia kwa sauti nyororo lakini hatufanyi kitu.). hehe hehe

Tulipofika mahali aliponipeleka ambapo kuna kiza kinene kati kati ya migomba .... Nikaanza mautundu '' katika kifua chake Ambacho kilikuwa kimebeba Maziwa madogo madogo kama embe changa lakini ambazo zimechomoka mithili ya vifuu vya Nazi ....huku mikono yangu inatalii Kule panapo mfanya Aitwe Mwanamke (msichana) ..... Nikagundua kwamba pameloa ndembe ndembe mithili ya godoro ama shuka la kikojozi ''....................................

Kilicho fuata baada ya hapo mtamalizia wenyewe .....

I'm out

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu akanyambasira
tulikua tunawasiliana sana kwa email,hata picha alinitumia kwa email,toka tumeachana simu alisha nipigia kama mara 8, lakini sikua na umakini hata wa kuiandika sehemu ,changamoto za simu unazijua kuna kipindi nilipoteza simu nikapoteza na mawasiliano cha ajabu hajawahi nipigia tena na kuhusu email namtumia sana lakini hajibu,hata last month nimetuma lakin hazijibiwi,kipindi tunatoka Rubondo nilimpeleka mpaka home sa najiuliza nini shida toka 2013 kwa nini asinambie najiuliza maswali mengi sana na kuna hali flani kama inaniumiza sana kimawazo
R.I.P huyo au kaolewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUNDA LA MLOKOLE KIMASIHARA, MBOVU SAANA ILA PAPUCHI MNATO BALAAA

Ilikuwa siku moja nipo ofisini, akaja dada mmoja kuniuliza namna anavyoweza kutuma maombi ya kazi katika Manispaa ninayofanya kazi. Nimeajiriwa Manispaa fulani hapa mjini. Alielekezwa kwangu na dada yake mama mtu mzima kabisa. Nilimwelekeza sana then akaomba namba ya simu akaondoka!

Zilipita kama weeke mbili ndo akaja kunitafuta kwa sms. Tukichat saana na anapenda saana kuchat. Akawa ananiuliza kama nasali, nikamjibu ni siku mingi sijatimba kanisani! Akaanza kunihuburi saana mara uko kabisa Katoliki uhame uje kwetu (kwa walokole) maana huku tunamsali Mungu wa kweli. Akasema atakuja kunihuburi gheto ukizingatia aliniuliza naishi na nani nikamjibu nipo mwenyewe!

Ilikuwa tar 31 mwezi jana katika harakati za kuuaga mwaka, nikajua rafiki yangu anaweza kuja kunichukua so nikabeba ndom nikaenda kitaa! Muda kidogo simu yangu ikaita kuna rafiki yangu mwingine wa kike aliniita tunafanya kazi moja Ila mikoa tofauti na alikuwa hapa, so nikaenda kumuona huko Banana!!

Wakati nipo kwa gari, mlokole anatuma sms kwamba leo niende kwenye mkesha wao, so nikamjibu nitakuja Ila ntamsuprise! Hakuamini Kama ntaenda! Nilipoonana na huyu rafiki yangu tulipiga story halafu nikamuuga Kama saa 4 usiku nikajielekeza huko maeneo ya mkesha, so nikamwambia aje anichukue kituoni. Hakuamini mpaka nilipompigia simu kabisa!!

Alinielekeza nikamfata tukaonana, tukaa sehemu nikaagiza chips yeye soda nikala na muda huo yeye anaongelea Mambo ya kanisani maana alitoka wakati ibada inaendelea na aliwaaga rafiki zake anakuja kuchukua kondoo mpya!!

IlipotimiA saa saa 6 usiku watu wanashangilia mwaka mpya, nikamuaga narudi Ubungo, ila nikamtega nikamuuliza; kulala huku na kwenda Ubungo muda huu kipi Bora?? Akanijibu bora ulale huku sababu ya usalama wako, so tukatafuta lodge tukaingia.

Ile nakaa kitandani na yeye anakaa na story za kanisani zinaendelea Kama kawaida huku akisema wenzake watakuwa wanamsubiri lakini haoneshi dalili za kutoka. Nikajifanya namkumbatia kumuwishi Happy New year na kumkiss na yeye akarespond positively! Tulijikuta tupo kwenye denda la nguvu ila akawa mgumu kuachia papuchi.

Hapo mi mzuka ushapanda, nikawa namchezea kuamsha hisia Ila demu ananiambia nipo vibaya Sana na natamani tufanye Ila leo sipo sawa natakiwa niwe kanisani. Nikachomoa mkuyenge nikashikisha aone ilivyosimama balaa, akasema hata mi nipo vibaya, akweka vidole nakunionyesha jinsi vilivyolowa!

Nilipata nguvu mpya ya kumchezea saana mpaka akalainika saana na kondom nilikuwa nazo nikazisahau kabisaaaa nikapiga bao zangu tatu za fasta maana papuchi yake bado ni mnato hivyo wazungu walikuwa hawachelewi wakati mi bao la pili huwa nahangaika saana kulipata lakini siku hiyo hata dakika kumi hazikufika wakati zamani hata saa inapita sijapata bao la pili na mechi nyingine nimewahi kuahirisha sababu bao la pili limegoma Alisema amewahi kuwa na mwanaume mmoja tu nae waliachana muda mrefu

Daaah, Ila demu mwenyewe ni mbovu mno kiasi kwamba siwezi kuwaonesha washikaji ila ana papuchi tamu na mnato kishezi!! Nataka niirudie kuichakata. Na usiku huo tulilala nae mpak asubuhi nikampa buku mbili ya nauli akasepa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Daahhh nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni matumizi mabaya ya JF kusoma masihara ya watu bila na Mimi kuweka yangu.


Ilikua 2015 natoka kazini, bahati mbaya pikipiki yangu ikaishiwa mafuta ikiwa sijafika pahala niwezapo pata msaada wa mafuta. Wakati natoka nunua mafuta nikakutana na binti makamo ya form 4 leaver hivi anatembea kando ya barabara design kama hana ramani ya aendako (mabaharia wanelewa kuwasoma hao viumbe) na hakuwepo kichwani kama saa moja ijayo anaweza kuwa kitoeo. Wakati nageuka pikipiki nikakutana nae tena akionekana vile vile kuku mgeni. Nikasimama kando na kumsomesha iweje mtoto mbichi anachomwa na jua wakati mie pikipiki yangu sina abiria. Ghafla bin vuu mtoto wa watu akakwea lengo akapewe walau maji baridi popote yauzwapo atuze joto. Break ya kwanza home kwangu (mke wangu alikua mkoa wa mbali nami). Kumbe kweli binti alikua mgeni na alikua anakata mitaa kuujua mjini, na bahati nzuri akakutana na mwenyeji akanitunuku tunda pasipo hata mtongozo.

NB: Sikutaka kumjua jina na wala namba yake ya simu sikuchukua. Mtoto wa kinyamwezi, uwazi wake ulikua vizuri sana. Mwishowe aliambulia Tshs. 600/= ya nauli akarudi kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata yeye alikuwa anazurura kutafuta mtu wa kumla kimasihara, akakupata wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka mmoja nilikuwa Shinyanga mjini,kwenye bar moja maarufu sana maeneo ya Kambarage,pembeni ya ile bar palikuwa na duka la Mwarabu,alikuwa akiuza chachacha,katambuga na mashuka ya kisukuma(walikuwa wanavaa wasukuma wa Maganzo na eneo la Shinyanga lote miaka ya nyuma),shanga za wanaume na wanawake wa kisukuma pamoja na sukari guru.

Yule Mwarabu alikuwa ana eneo la duka pia kwenye kijiji cha Maganzo,nje kidogo ya mji wa Mwadui...Kwa hiyo nilimfahamu sababu alikuwa maarufu na pale Maganzo hasa siku za mnada wa Maganzo.Wakati huo mimi na rafiki yangu ambaye ni marehemu sasa,alikuwa Kapten wa ndege za Mwadui(ntataja wajihi tu bila jina).Alikuwa shombeshombe,alizaliwa na Baba wa Kigiriki na Mama wa Kihehe huko Iringa,Mama yake alikuwa House girl tu wa Mgiriki,bahati nzuri akapendeza akiwa anafanya kazi kwa Mgiriki,basi mgiriki akazaa naye,kutunza ndoa yake akawa amemuondoa pale kwake,ila alimtunza mwanae(best yangu) mpaka akaja kuwa rubani.

Huyu Mwarabu wa Maganzo/Kambarage alituzoea sana,maana tulipokuwa tuna trip ya Mwadui tulienda pale Maganzo au Shinyanga mjini siku za weekend na Pigeot 504 yetu,tukapata mambo yetu na kurudi Mgodini kupitia njia ya Shy-bush,Utemini kutokea geti dogo.

Huyu Mwarabu alikuwa mkali sana,anafokea wateja ovyoovyo,hasa wasukuma wakiuliza bei ya vitu zaidi ya mara moja alikuwa anawafukuza "toka-toka" mpaka akapewa jina la "Toka-toka".Wakati huo makazi yetu ilikuwa Dsm na Mwadui.

Weekend moja tupo pale Kambarage,tunapata maji ya mende,tukiwa jirani na duka la mwarabu tokatoka.Tukiwa bado vijana tu wenye utimamu juu na chini.Yule Mwarabu alikuwa ana watoto wazuri sanaaa,lakini hawatoki nje.Ni mara chache sana kuwaona.Na hawa Waarabu walikuwa wanaoana wao kwa wao,wanapeana wake.Utakuta mwarabu wa Shinyanga anaoa Mwarabu wa Tinde,au wa Tinde anaenda kuoa Mwarabu wa Nzega,wa Nzega anaenda kuoa Mwarabu wa Mpanda kwa kina mbunge Kessy Mabodi.Kwa hiyo wanajuana mpaka waliopo Dsm.

Jioni ile yule tokatoka akapokea simu ya mezani toka Dsm kuwa mke wake kafiwa na baba yake Dsm,na mazishi watafanya kesho baada ya sala ya Alasiri.Huyu mkewe alimuoa kwenye familia moja hapo Ilala Dsm.Kwa hiyo alitakiwa kufika Dsm kesho yake na kwa usafiri wa wakati huo,angekaa njiani karibu siku 3 ili kufika Dsm.

Ukawa mtihani kwelikweli.Mara pale tukaona "Toka toka" anafunga maduka yake mapema na taarifa ni kuwa kafiwa na mkwewe Dsm,wakati huo msiba wa jirani ni kama msiba wa mji mzima.Na pale tulipokuwa tunakunywa na jamaa yangu(R.I.P) ikabidi pafungwe sbb ya ule msiba.Basi wakaweka turubai na sisi na bia zetu kichwani tukakaa pale kuomboleza.

Mjadala ikawa mke wa Toka-toka na mabinti zake na mwenyewe mzee waende msibani Dsm.Lakini kwa usafiri wa kipindi kile ambao ni treni kwa uhakika wasingewahi.Hivyo ikawa mtihani...Sasa sisi tulikuwa na trip yetu,kutoa almasi 'ghafi' Mwadui kuipeleka Iringa kiwanda cha Tun-Cut ikafanyiwe mambo,lakini mara nyingi tukibeba basi tunapitia na Dsm then tunaweza lala au kurudi Mwadui.

Kwa hiyo nikamwambia jamaa yangu tuwasaidie hawa watu,tuwape lifti,tuchukue wawili wenye umuhimu,wengine watapanda gari moshi kwenda kuhani msiba.Basi tukafikisha wazo lile kwa wananzengo pale,mzee Toka toka hakuamini,akasema sababu ya umuhimu,basi atangulie Mama na binti mmoja mkubwa(hapa ndio kosa la kiufundi lilipoanzia).

Bila kuchelewa tukawasha Pegeot 504 yetu tukwabeba kwenda na mgodini ili mapema asubuhi tuje nao Dsm,mle mgodini kulikuwa na "Rest House",tukawatafutia pale wakala na kunywa wakalala.Kuangalia "Mayfly" ya kesho ya abiria,tukakuta bado kuna nafasi moja,jamaa yangu alikuwa muungwana,akasema washa gari tukambebe na mzee.Kufika kule Mwarabu akasema itabidi aende binti wa pili,yeye atakuja na treni.Kwa hiyo akawa Mama na mabinti wawili wakubwa.Warembo wa kiarabu,wanavutia sana kwa wakati ule.

It was their first time to experience a flying moment.Basi tulitoka pale mpaka Nduli Iringa,wenye mali yao wakashusha,then tukaenda Dsm.Majira ya saa tano hivi tupo Dsm...Tukaenda nao mpaka msibani na mambo yakaisha.

Tukawaambia wasubirie ndani ya week kutakuwa na nafasi kurudi Shinyanga tutawabeba,basi wakati wa kurudi ilikuwa kama baada ya mwezi hivi toka msiba.Tulifika majira ya jioni,na kuanza safari na 504 kwenda Shy town ikawa uchovu.

So wakalala pale ili asubuhi waende nje ya geti wapande Rand lover warudi kwao.Sasa huu usiku ndio ukawa na balaa sana.Tumekaa pale tumekula,mama yao akaenda kulala,na jamaa yangu akaenda kupumzika,mimi nikabaki na mmoja kati ya wale wawili.Alikuwa msichana mrembo sana kwa miaka ile...wakati huo kwa kweli ili umpate msichana atakuzungusha hataiezi sita.Na kwa kweli ile haiba ya Kiislamu na yale malezi ya ndani yule msichana alikuwa na aibu sana lkn pia alikuwa ndio siku anataka kujaribu.Maana alijua ndio nafasi na akiikosa pale akirudi nyumbani ni kufungiwa ndani.

Kila nikiaga naenda kulala anasema tuendelee kuongea,basi tuliongea pale mpaka saa saba usiku...kumbe ni kama walishaongea na mama yake kuwa jibane hapo,utaolewa umri ushafika.Basi nikasema sasa naenda kupumzika,mwanamke kwa ujasiri akasema twaenda wote,nikidhani anaenda kwake chumbani.

Naingia kwangu(Maana nasi tulikuwa tukiishi Rest house kwa wale waliowahi ishi kule wanajua) naona mwanamke mgongoni,basi mie nikaingia nikawasha taa,paja maji,naye nikamwambia akaoge lkn ana aibu sana maana ana haiba za kidini.Baadae tumelala kitanda kimoja,naye kalala ila kageuka hukooo,tena kalala na gagulo.Kuwasha taa naona mtoto mweupe sanaaa...Ujana ule nikashindwa kuvumilia,nikaanza purukushani,kila nikiingia nashindwa,jaribu sanaa...kumbe alikuwa ajaguswa,akawa anaumia sana.Mpaka kunakucha ni bilabila,mpira haujapenya wavuni.

Majira ya saa moja nikabadiri mbinu,huku na kule mara tayari.Kazi ikaenda pale mpaka saa tatu muda wa chai.Japo alilalamika sana maumivu.Ule mchezo Bi mkubwa wale kila kitu.Kwa hiyo toka hapo akawa anafanya mbinu nikienda Mwadui anakuja mgodini nafanya mambo.Najaribu kuweka codes sababu mwisho wa siku nilizaa naye,japo dini ilileta utata kuoana,nikachukua mtoto na yeye akaja kuolewa na mwarabu mmoja wa Kahama.

Nadhani kwa enzi zetu za ugumu wa kutongoza na kupewa tunda,hii ilikuwa ni moja kati ya tukio la kupewa tunda kimasihara,maana ilikuwa ngumu kupewa tendo na mwanamke kwa just usiku mmoja kama ilivyo leo.Ninaposoma visa vya vijana wa leo,naona kama wanapewa tunda kirahisi sana mpaka wanapoteza uwezo na ujasiri wa kutongoza.
salute mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitambo hiyo nilikua na dem mmoja ambae alikua amepanga na anaishi na wadogo zake wawili,mmoja alikua anasoma mwingine alikua anafanya kazi ktk petro steshen.Km mnavyojua nyumba za kupanga kuna ile jirani akisafiri anaweza akamuachia funguo shoga yake anaemuamini awe anamuangalizia chumba chake.Sasa huyu dem wangu aliachiwa funguo na shoga ake chumba kinachoangaliana nae ktk nyumba hiyo hiyo.Hivyo ilikua kipindi penz limekolea mimi nilikua naenda kulala ktk room yake na yeye anawapa funguo wadogo zake wanaenda kulala ktk chumba cha shoga yake ila tukio lilikua linafanyika kwa siri ili wadogo zake wasimuone km mimi nilikua naenda pale maana ilikua sio kila siku ndio naenda,bas nami nikawa nafata vigezo na masharti maana nilikua bado sijapanga halaf hela yangu kulipia gest nilikua naona ubahili kinoma, bas mida yangu ya kwenda kwake ilikua kuanzia saa 5 usiku na ikifika asubuhi ile 11:20 waislam wanaanza kuswali mimi huyo naamsha zangu km nikipitiwa ananistua na kusepa zangu.Picha lilikua linafanyika hivyo.

Siku hiyo km kawaida nimezama zangu kwa mpenz kaweka msosi nimekula nikaenda kuoga,kurudi nikapanda zangu kitandani nae akaenda kuoga,sina hili wala lile maana nilikua nachezea sim mara akaingia huyo mdogo wake ambae anafanya kazi ktk petro steshen, mimi namfaham ila yeye hanijui kavaa khanga na chupi tu kaniamkia, nami nikaitikia halaf akapanda kitandani nilipo kalala zake kifudi fudi!!!! Nikiwa nawaza hiki nini tena mbona sielewi dada yake huyo kaingia ndani ndio anatoka kuoga nae alishtuka mi nikawa kimya nione picha gani hili wanaloniletea.Basi akamwita mdogo wake nae akaitikia akamuuliza vp mbona umekuja kulala huku na wakati unaona shemeji yako kalala hapo, mdogo wake akajibu nimechoka kulala kule kule(akimaanisha hiko chumba cha jirani yake) kambembeleza lkn wapi mwisho mdogo wake akamwambia na leo yeye akalale kule km anapaona ni pazuri...Pasipo kutarajia mpenz wangu akaitikia lkn akiwa amekasirika sana akatandika mkeka pale chini akaniambia mimi sasa, Mpenz wangu samahani kwa hili lililotokea leo naomba tulale hapa chini tumuachie hiko kitanda....Aisee nikawaza km sekunde 5 nikamwambia hapana ngoja mimi niende home tu japo ilikua kuna umbali fulani...Dem hakukubali niondoke nikakubali kishingo upande nami nikalala pale chini,zimepita km dakika 20 akaniambia siwezi kulala humu nina hasira sana na akaniomba akalale ktk hiko chumba cha jirani yake ambacho mdogo wake ambae ni mwanafunzi ndio analala, baada ya kunibembeleza kua anaweza kumfanya kitu kibaya mdogo wake km akilala mule ikabidi nimkubalie kishingo upande.
Nimebaki mwenyewe km dakika 40 usingizi hauji kabisa kila nikiwaza tukio lilitokea mara wazo la kishetani likanijia kua inawezekana mdogo wake anataka dudu!!!! Nikajipa moyo ngoja nitesti akiwa mkali namuuzia kesi kwa sister ake kua ndio maana alitaka kulala humu kumbe alikua na lengo lake, Basi baada ya kujishauri nikainuka toka sakafuni nikapanda kitandani kulikua hakuna hata neti feni inapepea,mapigo ya moyo yakiwa yanapiga kwa kasi nikapeleka mkono mgongoni.....Aisee bila kutarajia binti aligeuka na kunikumbatia kwa nguvu...kumbe muda wote alikua ananiskilizia....ilipingwa shoo moja ya kibabe sana..dakika 120 ngoma 3-3 nakuja kucheki muda saa kumi kasoro kumi....aah nikasema hapa hakulaliki tena nikavaa zangu binti akanifungulia mlango huyo nikasepa zangu...ila ile siri ipo moyoni mpaka siku ya mwisho maana hatukuwahi kurudia ule mchezo tena mpaka sasa ameolewa na ana maisha yake na mimi nilimuoa huyo dada ake......yaani heshima ya ushemeji ipo pale pale km hakijawahi kutokea kitu.
Hii ndio Raha ya ushemeji, next time dadake akiwa mgonjwa atakusaidia na mengine, ila wanakuwaga watamu mno hawa mashemeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika mishe mishe za maisha kuna kipndi niliwahi kupiga bod boda mitaa ya dodoma mjini, kipindi hicho wateja mda wa mchana sio wengi wateja wanaanza kupatikana kuanzia saa 12 jioni mpaka usiku wa manane, mida ya saa 7 usiku nilipata mteja sista duu yupo chakali alikuwa anakwenda mitaa ya njedengwa.nimemfikisha mpk anapokwenda akatoa hela pungufu na tuliyokubaliana iliyobaki akadai anaifidia kwa papuchino aaahh mimi mwenyewe nilikuwa na uarosto aka nyegelesi nikamshikisha pikipiki na kupiga tako zangu kadhaa wazungu hao. nikawasha pikipiki nduuuuki.
 
Kwani mnadhani ninamazoea yoyote na huyu mpangaji mwenzangu? Tena mke wa mtu? Hapana! Hapana kabisa.

J2 moja nikiwa chumba cha kufulia nyuma ya nyumba si na yeye kaja kupanga foleni ya kufua! Story za hapa na pale, mvua kidogo nje! Mara eti kwa mshtuko wa radi si akanirukia kanikumbatia akilalamika eti radi itamuua!

Kwa sekunde kadhaa kabaki amenikumbatia, hisia zikaja chap! Hakukuwa na jinsi nyingine tofauti na kumwinamisha na akaegemea machine ya kufua huku akiniachia maeneo ya nyuma yake niyatawale. Kamechi ka uwoga uwoga kakapigwa chap. Kisha kasepa.

Jioni eti ananiambia kilichotokea sio kawaida yake na kwamba nisimchukulie kama maharage ya mbeya, khaaa! Mwishoni eti ananiambia kama ntakuwa na kifua basi ntafaidi tena na tena, akamaliza kwa kushukuru kwa tendo lile ovu tulilotenda.

Msiniulize mambo ya condom hapa! Sijui hata zinauzwa sh ngapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee nimejikuta nafurahi tu maana umejua nichekesha wasikulize nini mkuu? maana humu watu wepesi sana kujaji hawajui kuna mambo yanatokea bila kupanga na hujajiandaa
 
Aisee
katika mishe mishe za maisha kuna kipndi niliwahi kupiga bod boda mitaa ya dodoma mjini, kipindi hicho wateja mda wa mchana sio wengi wateja wanaanza kupatikana kuanzia saa 12 jioni mpaka usiku wa manane, mida ya saa 7 usiku nilipata mteja sista duu yupo chakali alikuwa anakwenda mitaa ya njedengwa.nimemfikisha mpk anapokwenda akatoa hela pungufu na tuliyokubaliana iliyobaki akadai anaifidia kwa papuchino aaahh mimi mwenyewe nilikuwa na uarosto aka nyegelesi nikamshikisha pikipiki na kupiga tako zangu kadhaa wazungu hao. nikawasha pikipiki nduuuuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa kuntia moyo ,ngoja niombe nguvu za roho za mtaka machafu zinishukie niweze andika kisa changu hapa namie ,huwenda nikapata nafuu ya moyo ,maana naona nimebeba mzingo mzito peke yangu
Tirilika mkuu ..tupe uhondo huo ....Hakuna aliye msafi kila mtu ana dhambi " Hivyo basi Nasubiria kwa hamu hiyo simulizi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom