Ingine kabla ya krismass nilikuwa kweny shereh moja ubarikio kule sakina, sasa mida msosi niko zangu kwa foleni naend chukua msosi, wakaja madem wawili mmoja kafungasha zigo sio la kitoto, mwingine yupo kawaida tu ..wakaniomba samahani kaka nomba tuingie kwa hapa ..yan wakae mbele yang ..dah me kiroo safi nikakubali japo uku nyuma raia zilintolea jicho kinoma. Yule mweny kalio kama kistuli alisimama mbele yang then yule mwingine akasimam mbele yake ..daah nilishindwa vumilia nikachomoa kitochi Chang nikampa yule dem bila kumwambia chochote uku nmekaza macho. Alivyoona ivyo akapokea na kuandika namba zake ..
Nikamuuliza jina akanimbia Winnie. Bas tukachukua msosi me nilikaa nyum wao kumbe walikuwa pemben kidgo ..baadae kabisa muda wa kusepa nikamchek uyo dem akanambia yuko anasubir aice apand and home. Ilikuwa mida saa tano ndo sherehe iliisha, nikamfata na alikuwa mwnyewe yule mwnzake alishasepa ..katika kupiga story uku tunasubir aice ..nikagundua anapenda club ivyo nikampanga twend kokoriko ..mtoto katiki, nikachukua bajaji tukiwa wawili had kokoriko, fika pale tukazama ndan nilikuwa na amsha amsha kinoma ..nikamuliza kama akichelewa om itakuwa noma akasema alishaaga. Dah nikaona zali hill ..na mzigo wote ule nikampigisha bia mbili tu kumbe kichwa panzi akaanza kuzima bas bila kupoteza muda nikachukua tena bajaji adi geto ..ilikuwa mida saa saba ..fika geto mtoto wamoto amelewa kimtindo kaniambia nimvue viatu na baadhi ya nguo ..kaniuliza tuko wapi ..nikamwambia kwangu! Afu kumbe ni dgo tu ila mwili ndo mkubwa ..daaah uo mzigo kwa kwel Sachoka akasome ...kilichofata apo ninkuvunja tu ile amri,
NB: usijaribu hiz mambo za one night stand kama ujawahi ..uku ndo mavirusi yanapatikanaga ...
Uo mzigo nilishindwa vumilia mazee ..mpka sasa mtoto nishazuia mazima hahaha..
Sent using
Jamii Forums mobile app