Deaf Milionaire
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 426
- 501
HahahahaNilivyokuka tunda la kuruti .. naada ya jamaa hapo juu kutoa story alivyomla kuruti wakati wa kuzima moto na mimi nikaoma ni-share story yangu na kuruti wangu bustanini.
Enzi niko JKT 834 MAKUTUPOLA mujibu wa sheria.
Ilikua ni baada ya 6weeks mimi nilikua nanga (sijui kwata) kwahio wakatupanga kumwagilia bustani..
Tulikua tunaenda asubuhi sana bado kuna ki giza giza..
Sasa mimi sikuwa nimekusanya simu yangu ilikua ni ki tecno 340 cha batani.. nilikua nakitumia kusikilizia redio vipindi vya michezo na miziki tu kwa uficho uficho..
Sasa siku hio nimeamka asubuhi nikachukua ndoo yangu nikatangulia bustani mapema kabisa ili nitafute chimbo la kujificha nisikilize radio yangu..
Nikapata eneo moja la mwisho wa shamba ambalo kuna mashimo ya matank wameyachimbia kwa chini ili kuwekea maji ya kumwagilia(waliofika makutupola wanaelewa)..
Lile tank la kujengea chini halikua na maji kwahio nikaingia ndani nikaanza kula mziki kutoka AFM.
Baada muda kama dk 7 nikaanza kusikia vishindo vya miguu vinakuja upande wangu.. nikajibana kwenye angle ya tank hilo .. vile vishindo vikakaribia kuelekea nilipo.. mimi hapo ndo nazidi kujibana maana nilihisi ni afande..
Vile vishindo vikakaribia lile tank mimi hapo nusu kujikojolea.. ghafra nikasikia kicheko cha kike..
Kumbe alikua ni manzi na yeye kuruti aliniona wakati naingia kwenye lile tank akanifuata..
Nikamtukana tusi moja zito sana kwa kunishtua na kunipa presha.. aka-mind kidogo akaingia ndani ya lile tank kwa hasira.. ile amefika ndani nikampoza kwa kumpa sikio moja la earphone asikilize..
AFM walikua wanapiga ngoma ya Bruno mars ya just the way you are.. huyu manzi tulikua kombania moja alikua ni type flani ya mamanzi wa kishua , alikua anajiona kinoma , alikua ana vi-swag vya mbele na amesoma shule za kupelekwa na magari ya njano kuanzia chekechea..
Kwahio alikuaga anajiona kama beyonce vile wakati kwa sura ni mbovu kweli kweli sema alikua amejaliwa umbo kiasi chake..
Basi aliposikia ile nyimbo akaanza kuimba kwa hisia na mimi nikaanza kumfuatisha kama vile namuimbia yeye namsifia ( kama umewahi kusikiliza hii ngoma ) kiukweli nilikua nampaka mafuta kwa mgongo wa chupa maana yule manzi alikua ni mbovu ukijumlisha na maisha ya kikuruti ilikua ni balaa...
Basi kama uwajuavyo mamanzi wanapenda kusifiwa kweli kweli na yeye akaanza kutabasamu akasahau hasira zote za kutukanwa.. baada ya hio ngoma zikapigwa ngoma nyingine .
Nilikua nimempa earphone moja na mimi natumia nyingine kwahio tulikua very close ..
Baadae akaniegemea kwenye bega ..ukijumlisha na kibaridi cha dodoma asubuhi mwezi wa 7 mashine ikasimama ndani ya pitshot... nikasahau ubovu wa sura nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuna pale pale..
Nilipitisha mkono mmoja kiunoni akainua kichwa pale alipokua ameniinamia begani kuniangalia usoni.. kwa jinsi tulivyokuwa close uso wake ukawa unaangaliana na mimi... nikamkiss kwenye paji la uso .. naona ananiangalia tu nikamla denda naona anarespond vizuri tu.. basi nikamgeukia kula sana denda (hapo hata mswaki asubuhi nilikua sijapiga)..
Nikapandisha kitisheti kile cha jkt shika sana chuchu.. alikua na maziwa makubwa kiasi ...
Nikapiga touch huku na huku kama dk 1 nikaona huyu nikimchelewesha tutakuja kukutwa humu shimoni iwe msala..
Basi nikashusha pitshot yake nikaitoa yote nikamuwekea chini aikalie.. mimi nikashusha pitshot hadi magotini..
Ile kupima oil kitu bado kavu kavu kimtindo...
Nikaona hapa kuanza kuchezeana hadi aloe ni kupoteza muda ambao sikuwanao muda huo... nikiingiza mashine atalowa mbele kwa mbele....
Basi nikapaka mate kwenye kichwa.. ingiza mashine ikaingia.. piga mashine kama dk 10 wazungua hao..
Akaanza kunipa pole pale na kunipet pet... aiseeh mamanzi wanaojifanya wana swaga za mbele wanajua kupeti peti ... nikaanza kupewa pole ya kupiga bao.. nikapata mzuka tena... nikainamisha doggie nikapiga sana mashine wazungu hawatoki..
Hapo mwanga ulikua ulishaanza kutokea palikua pamekucha.. sasa ukijumlisha na uoga wa kukutwa maana ilikua ni bustanini ndio maana wazungu walikua hawataki kuja.. nilipiga mashine mtoto wa kikurya analia pale nikahisi maafande watasikia... ikabidi niache tu njiani nikamwambia tutakamatwa hapa.. basi yule mazi akavaa akaanza kutoka yeye na mimi baada ya dk 5 nikatoka..
Mida ya mchana nilipomuona kwa mbali ndio nika-realize kwamba nimeingia choo cha kike.. maana yule manzi wadau wangejua ninemkula wangeniua kwa majungu.. ilibidi nitafute kitengo kingine kwa hali na mali ili tusiwe tunaonana hadi nikapata kitengo cha kulinda zabibu zisiliwe na ngedere..
Nilipopata kitengo kingine tukawa hatuonani tena au tunakutana usiku tu mida ya kuhisabiwa... ndio nikampotezea mazima... mpaka leo sijui yuko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app

