Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Niaje niaje...

mnahalakia nini kula matunda ambayo bado hayaja komaa bado utomvu ni mwingi na yanawasha kwa kukosa kukomaa kwake.

zingatia neno tunda.........alamsiki mlale unono
 

Attachments

  • Screenshot_20250126_204800_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20250126_204800_Samsung Internet.jpg
    64.3 KB · Views: 25
Nakumbuka mwaka 2015 nilikuwa nimetoka zangu skuli. Nilikuwa nasomea shule moja inaitwa Kasangezi iko kasulu. Sasa nyumbani kwetu kulikuwa na nyumba ya jirani ambapo kulikuwa na vyumba vya kupanga.. sasa baada ya mimi kurudi nilikuta kuna mzee mmoja kahamia hapo yeye na familia yake ..alikuwa na binti mmoja umri sawa na mimi.

Binti alikuwa anasoma sekondari ya kata pale kwetu. Nakumbuka wakati nimefika sikuwa na mazoea nao hata kidogo.. sasa siku moja naenda bombani kuchukua maji ya kuoga nikawakuta.. sikuwa hata nalijua jina lake ila nikashangaa ananijua jina. Akaniita "Nur boy" nikashangaa sana kalijuaje jina langu.

Nikamuitikia akaniambia 'sijawahi kukuona umekuja kuchukua maji Leo vipi' nikamjibu 'sasa unashangaa nn mimi kuja kuchukua maji wakati sina mke? Akacheeka akanambia kumbe una maneno hivyo.. nikamwambia mbona kawaida tuuu.. basi tukatambuana kihvyo tuuu nikasepa zangu

Sasa baadae niko zangu ghetto nashangaa hodi kufungua namuona yule binti. Nikashangaa sana yani nikamkaribisha ndani akaingia then nilipomuuliza shida akaniambia eti amekosa kampani ndio maana kaifuata kwangu.

Kufupisha ni kwamba nilikaa nae mpaka muda wa xaa 1 na nilimla maana alianza kuleta shobo kwangu.. basi ikawa ndio utaratibu mpaka Leo nina miaka miwili tangu nifunge nae ndoa na ndio mke wangu na mwanetu Ikraam
 
Kuna mmoja nilimkula for first time baada yeye kunitaka muda...sasa tuko room, yeye ni mwembamba na ana watoto 3, kwanza nkaona hiki ni nini 😂😂😂...tu-lake tumelala kama popo wawili wameng'ing'ia 🤣🤣 halafu kaja sijui kala hindi la kuchomaa aaah 😂😂, nikapigiwa simu kama ilinisadia kupunguza munkari wa uwepo wake ila dah haaaa heck never again 🤣🤣🤣
fala ww
 
Nakumbuka mwaka 2015 nilikuwa nimetoka zangu skuli. Nilikuwa nasomea shule moja inaitwa Kasangezi iko kasulu. Sasa nyumbani kwetu kulikuwa na nyumba ya jirani ambapo kulikuwa na vyumba vya kupanga.. sasa baada ya mimi kurudi nilikuta kuna mzee mmoja kahamia hapo yeye na familia yake ..alikuwa na binti mmoja umri sawa na mimi.

Binti alikuwa anasoma sekondari ya kata pale kwetu. Nakumbuka wakati nimefika sikuwa na mazoea nao hata kidogo.. sasa siku moja naenda bombani kuchukua maji ya kuoga nikawakuta.. sikuwa hata nalijua jina lake ila nikashangaa ananijua jina. Akaniita "Nur boy" nikashangaa sana kalijuaje jina langu.

Nikamuitikia akaniambia 'sijawahi kukuona umekuja kuchukua maji Leo vipi' nikamjibu 'sasa unashangaa nn mimi kuja kuchukua maji wakati sina mke? Akacheeka akanambia kumbe una maneno hivyo.. nikamwambia mbona kawaida tuuu.. basi tukatambuana kihvyo tuuu nikasepa zangu

Sasa baadae niko zangu ghetto nashangaa hodi kufungua namuona yule binti. Nikashangaa sana yani nikamkaribisha ndani akaingia then nilipomuuliza shida akaniambia eti amekosa kampani ndio maana kaifuata kwangu.

Kufupisha ni kwamba nilikaa nae mpaka muda wa xaa 1 na nilimla maana alianza kuleta shobo kwangu.. basi ikawa ndio utaratibu mpaka Leo nina miaka miwili tangu nifunge nae ndoa na ndio mke wangu na mwanetu Ikraam
Duuh
 
Back
Top Bottom