Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Acha watu wale kimasihara hicho ki health centre utapata wapi wateja?
Wakuu kuleni tunda peku, maisha yetu yanaendeshwa na ninyi kuumwa sasa mkiwa wazima tutakufa na njaa.
Umeona eeh.... hahahaha niliwahi fanyia maabara Tandale na Tandika Gonnorhea na syphilis ilikuwa ina react kama mvua..
 
Ulisema Mungu akurehemu means unataka akupeleke kuzimu

Muache kutumia maneno kama amjui maana yake

Ndio maana mtu akifa tunasema

Allahu mafirrahu warhamahu waskana WA fii Janna
Wewe ndio hujui sasa. Kiarabu umesoma soma wapi?
Mungu anirehem, maana yake unaomba Mungu akupe rehema zake. Rehema ni grace of God. Kuomba rehema ukiwa ni kwa wote waliokufa na walio hai........"dah nimefika hapa kwa Rehma zake Mungu tu" Kurehemewa ni zaidi ya kusamehewa. Unapata huruma za Mungu.
Mwamba hajakosea.
 
Wewe ni mazabzab lugha ni moja hakuna kwa dimension nyengine

Unapokosolewa unabidi ukubali mpumbavu mmja wewe

[emoji1787][emoji1787]Watoto wa Zama hiz shida
Acha kumtukana mwenzio wakati we ndio unapuyanga.
Mungu AKUREHEMU na wewe pia.
rehemu.....asili ya neno ni (رحم)Rahma. Neno limetoholewa toka Kiarabu yaani Rahma......rahma ni COMPASSION, FORGIVENESS, MERCY, GRACE n.k
Umesema mtu akifa tunasema ALLAHUMMA GHFIRLAHU WARAHMAHU WASKANAHU FIL JANNA.......Mwenyezimungu Amsamehe na Amrehemu na Amuweke Pepono
Neno letu hapo ni hilo Wa rahmahu.....kwa wasiojuwa Kiarabu hu hapo ni kiambishi cha nafsi yaani mlengwa wetu ni mwanaume. WA ni kiunganishi tu maana yake NA.....rahma ndio neno lilelile.
Sasa kuna tatizo gani mtu kujiombea Rahma? Sasa huwezi kusema Mungu anipe Rehema ila unasema Mungu anirehemu....
I come in peace.
Sorry wadau kwenye uzi wa kimasihara tunatoka nje ya mada.
 
Back
Top Bottom