Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,360
- 11,588
Kwanini mkuuKulingana na ID yako basi nilitegemea thread yako lazima iwe hivyo
Kwanini mkuuKulingana na ID yako basi nilitegemea thread yako lazima iwe hivyo
Wewe ndio class monitor wa mmu?We umechomozea wapi? Mbona humu MMU hatukufahamu?
Pole sana kwa kufufuka mithili ya Lazaro
[emoji23][emoji23][emoji23]Unachekesha sana mkuu. Itoshe tu kukupa neno pole. Rudi kwenye jukwaa lako pendwa. Huku hatukujuiWewe ndio class monitor wa mmu?
Anyways Sifahamiki na mapoyoyo you are very right
Nji ina vijana wa hovyo sana hii
Nji ina vijana wa hovyo sana hii
Mwanaume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa.Aisee hawa wanawake sio poa kabisa yaani demu wa jamaa ambae yuko vizuri finarcially nimeweza kumchapia mke wake japo mwana mie ni rafiki yangu damu damu aisee kutokana na ujinga...
Kwa visasi hatujambo namba utaisoma hata iwe miaka 6 mbeleni ngoja usahau kwanzaAisee hawa wanawake sio poa kabisa yaani demu wa jamaa ambae yuko vizuri finarcially nimeweza kumchapia mke wake japo mwana mie ni rafiki yangu damu damu aisee kutokana na ujinga wa mke wake mie nimemchapa kutokana na kujirahisisha kwake
Yaani iko hivi mke wangu na mke wa huyu jamaa ni marafiki toomuch sasa mke wangu akikaa na mke wa huyu jamaa anaanza kunissifia mie jinsi ninavyompiga mashine bab kubwa sasa mke wa huyu jamaa akataka ajaribu kama kweli aisee nilimtandika kinoma noma mpaka akatamani mimi nimuoe aiseee ila mimi nimekataa
Sasa hapa nipo nyumbani nipo na mke wangu nimechili amenitumia meseji kwamba amenimisi niende nikampige mjegeje na mume wake amesafiri yupo mikoa ya kusini kwenye ziara ya huyo mkubwa wa nchi.
Je wadau niende? Na mke wangu nimmwambiaje?
😀😀😀Kwani mna umri gani?