Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,191
- 48,720
Duuuhh
Pisi gani mbovu mkuuDuuh kumbe ni pisi mbovu kiasi hicho mkuu, wewe na jamaa wa V8 hamzion pisi kali mtaani?
Simkomeshi mkuu ni vile tu zamu yangu imefikaKama mwanaume siwezi umizwa na mwanamke anayechepuka zaidi nitashukuru kwakua nimeondolewa kijibu uchungu mwilini. mwanamke anayejielewa hawezi kukaribisha mwanaume mwingine while ana mahusiano mengine. Usidhani unamkomoa bro mwenye V8 mnaenda kubadilishana UTI tu na atakuja kuvutiwa na mimi nnae camp na Londo langu la 85.
That is normal life bro I found no reason brag on
28Kabla ya yote kasikilize sumu ya ali kiba
Mwisho Umri wako tafadhali
Unaelewa maana ya alama ..."......."....?Unameza mtego kwa hiyari yako.Mnawajaribu miamba.Halafu wakiamua kuwaumizeni mnapiga kelele kama ngedere.Mkate upi tena mkuu
Mkuu umeongea kwa hisia kali hadi nimesinyaa hapa nafikiri namtorokaje huyu japo kuwa sio mke wa mtu ni demu tuMkuu,
Nakuonya
Usipende ku expose your move..hii Dunia ya technology imerahisisha sana mawasiliano....
Details zako zikitakiwa zinapatikana trust me.
Maana PESA hununua chochote mpaka moyo hata kura kwenye uchaguzi...
NB:
Kama mtu akiamua kukutafuta anakupata easythen UNAUWAWA
ACHANA NA WAKE ZA WATU HATA WAKIKUPENDA WAO na kama ukishindwa fuata ushaur wa JAY MO & NGWEIR_KIMYA KIMYA japo sio vizuri
Nikutakie mapumziko mema ya mwisho wa week.
Hi ni miendelezo tu mkuu ile blander mbona mambo Shwari tuUnafanya kila namna ili kupotezea ile blunder ulioifanya hapa jf
Ahaa sawasawaSio huyo ....huyo ni mjinga flani yupo humu alinizingua
Siku ingine fanya kama JAY MO & NGWEIR_KIMYA KIMYA,Mkuu umeongea kwa hisia kali hadi nimesinyaa hapa nafikiri namtorokaje huyu japo kuwa sio mke wa mtu ni demu tu
Naahidi hii ya mwisho sileti tena nyingineSiku ingine fanya kama JAY MO & NGWEIR_KIMYA KIMYA,
Wewe ni mtu muungwana sana May Almighty God be with you
Bro umuue mwanaume mwenzio kisa uchi...?Mkiuwawa mnasema mabro wakatili.
Nimekuelewa Sana ,mpaka Leo hii Mimi natumia ,barua au kakaratasi kuwasikiana Kwa maenziMkuu,
Nakuonya
Usipende ku expose your move..hii Dunia ya technology imerahisisha sana mawasiliano....
Details zako zikitakiwa zinapatikana trust me.
Maana PESA hununua chochote mpaka moyo hata kura kwenye uchaguzi...
NB:
Kama mtu akiamua kukutafuta anakupata easythen UNAUWAWA
ACHANA NA WAKE ZA WATU HATA WAKIKUPENDA WAO na kama ukishindwa fuata ushaur wa JAY MO & NGWEIR_KIMYA KIMYA japo sio vizuri
Nikutakie mapumziko mema ya mwisho wa week.
Kwani unakula wake za watu mkuuNimekuelewa Sana ,mpaka Leo hii Mimi natumia ,barua au kakaratasi kuwasikiana Kwa maenzi
Pisi yako, si umesema ipo kama ant ezekiel (Gwantwa).Pisi gani mbovu mkuu
Sijamuona livePisi yako, si umesema ipo kama ant ezekiel (Gwantwa).
ukikua utaacha