Kama kawaida nikiwa kwenye majukumu yangu Ya kawaida akatokea mrembo ambaye tumelibadilishanaga namba ni muda kidogo.
Hivyo ikabaki kila mtu kuangalia status za mwenzie pale inapo bidi. Kumbe manzi ni mfuatuliaji mzuri wa status zangu.
Kifupi mimi ni mtu ninae penda adventures yaani mitoko ya aina hiyo na kufanya camping na wadau wangu watatu. Tulichagua maisha haya. Na usafiri tunao penda kuutumia ni pikipiki. Hii inasaidia kufanikisha na kufika kirahisi sehemu za kutalii pia inapunguza gharama sana.
Basi tukienda huko ni lazima tuwe na pisi, vinywaji, vyakula hasa vya kuchoma kama nyama na ndizi ndio sana na jiko letu na mkaa.
Basi mrembo baada ya kuona napost sana hivyo vitu akavutiwa na amekuja ameomba twende wote nikamuuliza utaweza kukaa kwenye pikipiki akadai ni mchezo mdogo na anapenda bike...so you are a biker ....yes ofcourse. ..so lini ratiba zako zinakuachia huru nikajibiwa ...mostly weekends am always free ....okay let's arrange this coming weekend.......really...? Huamini ...? No am just excited.
Nimesha mpanga mavazi yatakayo mfanya awe fresh kwenye pikipiki viatu , koti la kuzuia upepo kuingi ndani na kutunza joto lake, helmet zipo .
Kesho wadau wangu nawa suprise na kifaa kipya ambacho hawajawahi niona nacho.
Mtoto hataki kuniachia kila muda anataka updates za hiyo adventure yupo so excited...ninge wapa screenshots za convo ila tatizo hamna akili

Ngoja tu niwaibie siri "Mtoto amefanana na ant Ezekiel





