Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 658
- 1,078
Twiter tena?Ingia tweeter mzee kila kitu kipo huko
Twiter tena?Ingia tweeter mzee kila kitu kipo huko
Ngoja nimzoom vizuri Kwani 😂😂Usikute huyu dada hupo Jf😂😂
Wee Mkuu leta vituuuNyie ndio hamjitambui na mtafanya watu wasilete vitu vitam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umemuona wapi mkuu
Kudadeki salute salute salutee nakupa nyota tano daktareeeImeishaaa.
Kuna Jamaa aliwah gombana na Demu wake, akaja JF kuweka meseji anaomba mawazo, akawa kaficha namba, ila Kwa macho ya kichina kama yangu ukizoom ,zikawa zinaonekana.
Toka huo mwaka 2018 mpaka Leo, Demu wake najitafunia Kila napopata nafasi ya kuja maeneo yaleeee !!.
🤣🤣🤣 ila binadamuNgoja nimzoom vizuri Kwani 😂😂
Tuwaache kwanza😃😃Ngoja tuwaache kidogo
Imeshaenda hiyoNenda ufute kwanza screenshot ya pili maana namba inaonekana hapo juu rafiki yangu 😃😃
Jf upumbavu umezidi,mada za kijinga muwe mnazifutaNi baada ya kumfanyia kazi yake vizuri ambayo amesumbuka nayo karibu nusu mwaka ila mimi nimemtatulia kwa siku mbili tu.
Mtoto alifurahi sana na akaleta ukaribu zaidi ya mteja ambao hata mimi mwenyewe nimeshindwa kuukataa. Kifupi sina nguvu za kubisha na kuukataa huu ukaribu.
Kwanza hakuna kinacho nigharimu kwa sababu kazi yake imenipa pesa nyingi sana yaani na mtoto kaona haitoshi kaona anipe na kibuyu cha asali.
Jaman uwaminifu unalipa, na ukiipenda kazi yako kama ndugu yetu insider man hivi vitu vipo.
Mtoto kama vanessa mdee una tumia njia gani kumkataa usile tunda lake eti jaman....? Tuwe serious kidogo. Fadhira muhimu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji3060][emoji3060][emoji1635] jpili yangu imesha kuwa poa View attachment 2715465View attachment 2715466View attachment 2715467
Ndo sisi🤣🤣...hatuna kazi tufanye nini sasa 😂😂🙌🤣🤣🤣 ila binadamu
Kwakweli 😂😂😂Imeshaenda hiyo
Mambo ya kawaidaa Mkuu, Demu ni rafiki yangu sana sanaaaaaaa .Kudadeki salute salute salutee nakupa nyota tano daktareee
Yaani nisipoona comment yako na Mshamba kwenye uzi wowote naona batili😂Ndo sisi🤣🤣...hatuna kazi tufanye nini sasa 😂😂🙌
We kulaga tu maisha yenyewe yapo wapiiiiMambo ya kawaidaa Mkuu, Demu ni rafiki yangu sana sanaaaaaaa .
Papuchi ananipa Kila napoelekea mikoa hiyo na Mawasiliano yapo Kila siku ni miaka 5 sasa
Hahah😂😂😂...hatuna kazi ya kufanya, tukitumwa dukani tunabana chenji tunaunga bando la kushindia jf...au mshamba_hachekwi unasemaje mdogo wangu 😂😂😂🙈Yaani nisipoona comment yako na Mshamba kwenye uzi wowote naona batili😂
Nmefurah umerudsha mrejesho kwa kurefer kwa mkubwa INSIDER MAN [emoji23]Ni baada ya kumfanyia kazi yake vizuri ambayo amesumbuka nayo karibu nusu mwaka ila mimi nimemtatulia kwa siku mbili tu.
Mtoto alifurahi sana na akaleta ukaribu zaidi ya mteja ambao hata mimi mwenyewe nimeshindwa kuukataa. Kifupi sina nguvu za kubisha na kuukataa huu ukaribu.
Kwanza hakuna kinacho nigharimu kwa sababu kazi yake imenipa pesa nyingi sana yaani na mtoto kaona haitoshi kaona anipe na kibuyu cha asali.
Jaman uwaminifu unalipa, na ukiipenda kazi yako kama ndugu yetu insider man hivi vitu vipo.
Mtoto kama vanessa mdee una tumia njia gani kumkataa usile tunda lake eti jaman....? Tuwe serious kidogo. Fadhira muhimu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji3060][emoji3060][emoji1635] jpili yangu imesha kuwa poa View attachment 2715465View attachment 2715466View attachment 2715467
Ndio nikakutuma uende au sio .....? [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuuu nimekusaidia Toka mwanzo, kua futa Hizo screenshots, nadhan wakati huo, nimimi pekee nlokua nmeona.
Ukawa mbishi.
Sasa sahizi unasema na wivu [emoji28][emoji28]
Muone 😂😂😂😂🙌niwe mdogo wako ili uninyime nini😅