Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Tunamsubiri na yeye aje atoe ushuhuda wake jinsi ulivyomkeraaaa, mwanamume unaongea kama kasuku... kwa kweli alikuvumilia tuuuu..... humpati tena!! omba Mungu asielezee habari za kibamia!!!
 
Uongo huu uongooo
FB_IMG_16852760378943056.jpg
 
Mie tangu nasoma nilipata bahati ya kuwa na marafiki wengi wa mikoa hii,singida manyara kuna namna tunaendana maybe walidhani ndugu yao ila nasema hivi hata akiwa analala kwenye maombi ishi naye kwa akili,hapana kwao ni ngumu mno,utasema walikunywa maji ya ndio

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Singida, kateshi, hydomu na some parts za mbulu plus karatu
 
Cookie Paw ....threads kama hizi mzitoe mapema sana zinavunja sheria za kujiunga hapa JF
Hii ndio type ya Wanaume wa JF kweli🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Ndio maana tunaogopa kua serious ..unakutana na Mwanaume wa JF yuko too romantic..smart..humble and very wealth 💰but ukiyawaza haya unajikuta unaghairi uku moyo unawish kua nae..Ila ukiwaza Brand yako kuja kudhalilishwa apa jukwaani

Hmm inasikitisha kwakweli🤦‍♀️
 
Hii ndio type ya Wanaume wa JF kweli🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Ndio maana tunaogopa kua serious ..unakutana na Mwanaume wa JF yuko too romantic..smart..humble and very wealth 💰but ukiyawaza haya unajikuta unaghairi uku moyo unawish kua nae..Ila ukiwaza Brand yako kuja kudhalilishwa apa jukwaani

Hmm inasikitisha kwakweli🤦‍♀️
Huyo ni mvulana na sio mwanaume,

Usichanganye,
Wanaume hatupo hivyo.
 
Back
Top Bottom