Acha ubwege we kama nataka nimuoe nisije kutoa ushahihi hapa
Vya bure vitoke humu jF?? Thubutu!!! Humu unalipia na risiti ya EFD kabisaaa unapewa!! Kwakifupi huku ni buznes transactions kwenda mbeleeeAlikuuzia au alikupa bure?
Singida, kateshi, hydomu na some parts za mbulu plus karatuMie tangu nasoma nilipata bahati ya kuwa na marafiki wengi wa mikoa hii,singida manyara kuna namna tunaendana maybe walidhani ndugu yao ila nasema hivi hata akiwa analala kwenye maombi ishi naye kwa akili,hapana kwao ni ngumu mno,utasema walikunywa maji ya ndio
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
I'd ya kwanza joined 26 nyingine 28 waifute Moja.Ngoja Mods waje.
Hii ndio type ya Wanaume wa JF kweli🙆♀️🙆♀️🙆♀️Ndio maana tunaogopa kua serious ..unakutana na Mwanaume wa JF yuko too romantic..smart..humble and very wealth 💰but ukiyawaza haya unajikuta unaghairi uku moyo unawish kua nae..Ila ukiwaza Brand yako kuja kudhalilishwa apa jukwaani
Huyo ni mvulana na sio mwanaume,Hii ndio type ya Wanaume wa JF kweli🙆♀️🙆♀️🙆♀️Ndio maana tunaogopa kua serious ..unakutana na Mwanaume wa JF yuko too romantic..smart..humble and very wealth 💰but ukiyawaza haya unajikuta unaghairi uku moyo unawish kua nae..Ila ukiwaza Brand yako kuja kudhalilishwa apa jukwaani
Hmm inasikitisha kwakweli🤦♀️