Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,171
- 18,881
Duh! We jamaa umetisha Sana kwa Kweli,Sasa unataka kwenda kumsemea shemeji yako kwa dadako😂
Kaambie kaache ujinga ina maana kanamuonea wivu dada yake. Usikatooooo...achana na tamaa mkurungwa.Aaah wp
mke wng namjua vema angekuwa anajua angesharipuka ana wivu sn.
Na hata mimi ningeshawashtukia ushahd mmoja yule shem wng hawez nitumia ujumbe wowote muda ninaokuwa home mpk niwe nimetoka na hata muda huu nachart naye namwambia anazngua sn amejbu ye bdo mtoto ndo maana lazma azngue kdogo kwan mambo meng hajui ananitegemea mi shem wake nimjuze nimemwambia ye aje tamfundsha.
Yan tampga shipa si inji hii...!
Mbn hatuon visa vya mademu waloliwa kimasiharamaana zote ni za ma men asa wamewala nani..........
umesema ukweli manzi, kiukweli wanaotengeneza mazingira ni ke! tena makusudi!! akili mkichwaa!!Nyie mnaweza hisi mmekula kimasihara lkn kwa wadada wengi ni tunakua tumeplan kwamba hapa lzm nimpe au lzm nionje au akitaka tu sikatai
Na ndo maana wapi wengine walijaribu kula kimasihara na hawakufanikiwa

Uhuru unapitiliza,yaani hakuna mipakaHivi mtu na shemeji ake mnazungumza nn? Tena jinsia tofauti??
Mie waume wa dada wala wake za kaka, cna mda waa kuchati nao, hata kuongea nao kwa cm ni mara chache sanaa.
Mie tangu nasoma nilipata bahati ya kuwa na marafiki wengi wa mikoa hii,singida manyara kuna namna tunaendana maybe walidhani ndugu yao ila nasema hivi hata akiwa analala kwenye maombi ishi naye kwa akili,hapana kwao ni ngumu mno,utasema walikunywa maji ya ndioSingida sina hamu napo! Nikiskia mtu anaentertain pisi za huko kinachonijia kichwan ni bench za hospital ya sinza Palestine na bima yangu mkononi
Wewe ni bado ni Mvulana, ukifikia hadhi ya kuitwa MWANAUME utaachana na huu upuuzi. Wanawake kuweni makini kutofautisha Wavulana na Wanaume ili kuepuka fedhea ndogo ndogo.k.asikuambie mtu babu aisee jana nimernjoy sana wakuu baada ya wikiendi yangu kumalizwa na mbususu kutoka kwa member mmoja maarufu humu jukwaani jina kapuni kama ukihitaji kumjua njoo pm na kwa ule utamu wa jana nataraji kutangaza ndoa wakuu aisee yaani sio poa kabisa
Shukrani sana kwa hotel moja ya nyota tatu humu mjini ambayo ipo katikati ya kariakoo karibu na msikiti wa mtoro ndipo nilimo muingiza nikamla mbususu tokea saa kumi alasiri mpaka saa sita usiku ndipo tulimomaliza kazi wakuu huyu demu ni msafi, mtamu, ana akili mingi sana na nawasihi na nyie muwatafute member mmoja wa jamii forum muoe then mkulane
#/mods msifute huu uzi ni kwaajili ya kuwahamasisha wengine kuoa member wa jamii forum#