Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 558
- 1,116
Pesa tu mzee [emoji1787]tenga funguJamani nipeni mbinu za kula kimasikhara lose ball. Kuna kademu hapa hotel nilifikia kikazi naona kama kamesafirishwa na bwana wake sasa siku nzima kapo kapo tuu na mie nataka nikakule ila sema mie domo zege, nisaidieni jamani.
Sawa mkuuMkuu wamekuelewa, wanakuchallenge tu. Ile kitu sio ya kuleta mzaha
🤣🤣🤣🤣🤣 chai
Ya maziwa🤣🤣🤣🤣🤣 chai
Weka ndimuMajani umeyaweka mengi mno nawewe, hadi imekuwa chungu
Wee hutakufa? Kila kifo kina sababu, ukimwi nao ni sababu moja wapoUkimwi utawaua ndugu zangu huu huu ni upumbavu na Wala sio sifa
Kwani ukitumia condom unapata? UkimwiUkimwi utawaua ndugu zangu huu huu ni upumbavu na Wala sio sifa
Hahahaaa we bwana una maua yako hapa chato njoo uchukueVIDADA VYA 22/23 NI SHIDAA
Basi nimekaa zangu nje ya lodge niliyofikia hapo mji mkuu wa serikali baada ya mishe zangu. Baadaye nikaamua kutembeatembea, Vikapishana vidada viwili kimoja kilinivutia sana. Basi nikaamua kurudi nikavisimisha. Nikaomba namba nikapewa, basi tukaachana. Kama dk tatu/nne hivi nikapiga simu ikapokelewa. Nikaomba mzigo kakataataa baadaye kakakubali. Basi nikakaelekeza lodge niliyofikia. Nami nikaamua kurudi lodge, tukakutana pale. vikaja vyote viwili. Nikavikaribisha ndani vikagoma. Basi nikaviambia tukanywe vinywaje siyo mbali sana na lodge, vikakubali. Vikaagiza Savanah! !!! Nikaagiza na nyama. Tunaendelea kunywa na kumalizia nyama, kile kingine kikasema kiende ili katupatie nafasi, nikavunga kukizuia lakini kililazimisha. Basi kikatoka nikabaki na mlengwa. Nikamwambia twende kwenye lodge akakubali. Tukaingia chumbani. Kakajilaza kitandani, kuomba denda hakataki, nikikasogelea kanasonga mbele zaidi. Mara kainuke kakimbilie ukutani, hata kukagusa tu kamegoma. Na mimi MAPENZI YA KIHINDI SIWEZI. Nikakauliza kwann kamekuja sasa chumbani kama hakanitaki. Kanijibu hakajakataa bali nisubirie tu kidogo. Pilikapilika zilipozidi, hakataki tu. Mwanaume hasira zinapanda nilikuwa kwenye bukta nikavaa faster, nikatoka nje nikamwacha chumbani. Nikarudi pale tulipokuwa tunakunywa mara ya kwanza. Nikamwona mama mmoja akafika akaa peke yake, nikasema hapahapa, nikamwoshesha ishara ajoin kwenye meza yangu akaja. Nikamunulia bia 2 au 3 hivi nikaomba mzigo. Akakubali, (baadaye niligundua ni mke wa mtu). nikamwambia ila lodge kuna mtu, akstuka. nikamsimlia kisa kizima cha kile kidada, nikapewa pole. Nikamwambia hali siyo shwali ngenye zinanisumbua akanipe hata kimoja au viwili, akacheka. Akakubali kwa kichwa. Tukaenda hadi chumbani. Nikakikuta kimeijlaza tena kitandani nguo zote. Basi nikamwashiria yule mama kukakaa nikamweleza tena hitaji langu na jinsi kile kidada kilichonifanyia. Nikapewa pole tena, nikakumbatiwa midomo ikafanya kazi yake. Yaani nguo linatoa lenyewe. Kile kidada kikajifunika shuka usoni wala hakitaki kuondoka wala kuona Kinachoendelea. Tukaendelea na romance kuja kupima oil limama liko vizuri. Nikavuta ndom mechi ikapigwa ligugumia utamu na kuambiwa ongeza spidi mara punguza. Kama dk 5/6 hv wazungu hao. Likaenda kunawa, kuja kukifungua kile kidada kinalia. Nikakiuliza nn shida kikasema nimekafanyia unyama. Nikakaambia ningefanyaje wakati kinanisumbua na mm ngenye zimejaa. Basi nikakaweka kifuani kijilaze. Nikaanza kushika titima saa 6. Kametulia tuli, kakaniambia nimwambie aende kako tayari kabisa. Basi alipotoka bafuni nikamwambia aende kama nitamhitaji nitampigia simu nikampa sh 30, Akatabasamu, akavaa, akanipungia mkono. Akaenda. aisee alipotoka tu mdomo ukadakwa, romance ziliendelea nilipewa ushirikiano wa kutosha. Nikakivua kina shanga kiunoni. Mechi ilipigwa sana bila kipingamizi, Miuno balaa na kananyonya koni utafikiri hakana meno. Asb tuliachana kumbe kanasoma chuo fulani. Nikakapatia sh 50. Asante nyingi. Na kakaahidi kapo tayari muda wowote na popote nitakapokahitaji ila niache hasira ninaweza jikuta naenda pabaya. kalimponda sana yule mama kuwa ni malaya aliyekubuhu.
Mi nitakufa pia ila siwezi kushabikia kitu kinachotesa ndugu na jamaa mtaani wakati naona Kuna uwezekano wa kukiepuka, pia mkuu ukimwi ni tishio unatesa sanaWee hutakufa? Kila kifo kina sababu, ukimwi nao ni sababu moja wapo
Hapa mkuu watu hawatumii condom ni nyama kwa nyama na pia condom ina utaratibu wa kuitumia ambao wengi hawafuati so bado wanaweza kupata ukimwiKwani ukitumia condom unapata? Ukimwi
Nimezika ndugu zangu wengi kijijini mpaka nimechoka mkuu ukimwi umemaliza Kijiji chetu ni makaburi matupu ndio maana nakataa kuunga mkono ngono zembeNI SAWA NA UKAWAHUTUBIE WALEVI BAR, UTAONEKANA CHIZI HATA KAMA UNA MANTIKI.
KILA KITU NA MAHALA PAKE, PELEKA ANGAZA USHAURI NASAHA.
Unakataa kuunga mkono ngono zembe bas Kaa mbal na huu Uzi wa kimasihara mbn unatak kujichosha mzeeNimezika ndugu zangu wengi kijijini mpaka nimechoka mkuu ukimwi umemaliza Kijiji chetu ni makaburi matupu ndio maana nakataa kuunga mkono ngono zembe
Halafu UKIMWI ulivyo wa ajabu hauui malaya..unawafuataga watu kama nyie msio na mbinu za kivita😀😀Nimezika ndugu zangu wengi kijijini mpaka nimechoka mkuu ukimwi umemaliza Kijiji chetu ni makaburi matupu ndio maana nakataa kuunga mkono ngono zembe
Ukimwi ni hatari kakaUnakataa kuunga mkono ngono zembe bas Kaa mbal na huu Uzi wa kimasihara mbn unatak kujichosha mzee
Hahahahah humu hakuna mtotoUkimwi ni hatari kaka
Kweli usemalo ila tunaletewa na watu wasio waanifu. Ukimwi unatesa sanaHalafu UKIMWI ulivyo wa ajabu hauui malaya..unawafuataga watu kama nyie msio na mbinu za kivita😀😀
Nyie ndio mnaambukiza watoto mkuuHahahahah humu hakuna mtoto
Watu wote wako timamu
Kwamb unatak kusema walaj wa kimasihara wagonjwaNyie ndio mnaambukiza watoto mkuu
Hapana mkuu lakini kula kimasihara unaweza sababisha kueneza ukimwi kwa sababu wapo miongoni mwao watakuwa nao ila wengine hawana pia suala la matumizi ya condom hamna. So inakuwa afadhali ukipata mtu muaminifu pima ndio mfanye mapenzi na pia chagua kuwa na mpenzi mmoja mwaminifuKwamb unatak kusema walaj wa kimasihara wagonjwa
Asa mbn kama huu Uzi hauhitaj watu aina yako na unalijua Hilo hahahha c unsubscribe tu mzeeeHapana mkuu lakini kula kimasihara unaweza sababisha kueneza ukimwi kwa sababu wapo miongoni mwao watakuwa nao ila wengine hawana pia suala la matumizi ya condom hamna. So inakuwa afadhali ukipata mtu muaminifu pima ndio mfanye mapenzi na pia chagua kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu