kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,325
MASIHARA YA KUMLA SISTER...
Kwanza before ya huu Mkasa nikiri yafuatayo, ( Pre humble)
1. Niliamini kabisa nyuzi zote za kula hawa watu ni uongo, sikuamini hilo jambo kuwezekana
2. Niliamini ukimtokea hawa watu wanakukemea kama wale walokole waliovurugwa
3. Niliamin ukisema tufanye atakujib fumba tusali sala ya Maria
4. Niliamin Ukiitwa Sistery lazima utakuwa un touched (sealed).
5. Nilijua huwez wapata kwa maana wanaishi ndani, wanaishi kwenye kota zao na wakitoka hawakosi kuwa wawili wawili.
6. Nilijua hawajui kinachojiri Duniani, wanajua ya Mama maria tu.
7. Niliamin muda wote lazima wavae vilemba vyao vile na magauni ya blue, kumbe laa
Ukweli niiioupata ni tofauti na mawazo yangu, wanapenda kudinywA, wanadinyika, wako na nafasi vizuri tu na wanaweza tunga sbabu mukaonana ukala tunda na akarudi kuendelea na majukumu yake kama kawaida.
Wana smart phones, wanasikiliza nyimbo zote za Dunia, wana video za pilau yan mbamba zote za demu wa kawaida wanazo.
Baada ya huo utangulizi nitaleta summary ya nilivyo anza na kukamilisha fantasy maana ilikuwa fantasy katika ulaji mitunda nile tunda la hili kundi.
Ila Mungu atusamehe sisi wanae ni Wakosefu.
Na uzinzi haufai
Kuna mwana dereva tax dom alinipa story anavyomla sister. Toka hapo nikawaelewa.

.