yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,904
- 3,353
Huu uzi hakika unapitia mengi. Misukosuko isiyoelezeka, wahubiri wamehubiri, walimu, jkt, advance, etc. yan vurugu tupu ilimradi uzi unasonga basi hakuna mbaya, tutafika tu.Uzi ushakuwa wa udalali tayari



Mabaharia washindwe wenyewe. Yafaa nini kuikosa pepo kwa vidhambi vidogo dogo, tujitahidi kum-suprise shetani kwa dhambi kubwa kubwa

Ingawa ungeelezea kidogo mechi ilikuaje kuaje ingekua unyama zaidi. Kwenye safari zangu hii iliwahi kunitokea mara mbili, na wote ni watoto wa chuo pia. Ntashusha uzi
