Acha Niongeze Kisa Kingine cha Mwanajf
Kimasihara na mdada ambaye tulifahamiana jf,
Mwaka 2016 nilikuwa mdau sana wa jf, pamoja na mambo mengine hii ilichangiwa sana na hali ya kukosa mishe ya kufanya baada ya kumaliza chuo na pia kuachana na manzi ambaye nilimpenda na tayari nilizaa naye ila kwa kuwa boom lilikata naye akapita hivi..., hivyo ikawa muda mwingi najiliwaza kwa mkuu Melo.
Basi katika kuchangia mada mbalimbali, kuna id moja ikawa naifuatilia kwa ukaribu sana, baada ya kujiridhisha kuwa ni kweli KE, nikazama inbox tukawa tunachati tuna make funs mbalimbali n.k. Baada ya chats za mawiki kadhaa, tukabadilishana mawasiliano tukaanza sasa kuwasiliana in real world, katika kutambuana she was in dar by the time alikuwa kamaliza chuo anaishi kwa dada yake, nami nipo zangu mkoani. Siku moja tukaombana pics WhatsApp, aiseeh acheni mtoto alikuwa mzuri hatari(kwa vigezo vyangu) sura frsh, umbo, rangi ya mtume na alikuwa msichana tu. Tukaendelea kuwasiliana kwa miezi kadhaa, then mawasiliano yakakata ghafla akawa hapatikani, ikumbukwe katika kujuana kote sijawahi mtamkia Kama namtaka, it was just story tu za hapa na pale, ila nilimwambia taaluma yangu na ishu ninazofanya na ninazotarajia kuzifanya siku za mbeleni.
MILIMA HAIKUTANI, BINADAMU HUKUTANA
Awali huu msemo nilikuwa nauchukulia Kama vitu vilivyopitwa na wakati, kumbe sivyo ndugu wasomaji.
Ilikuwa mwaka Nov 2020, Siku moja nipo katika sehem yangu nayojipatia ridhiki, alikuja mdada mmoja majira ya saa moja usku akitokea kazini kutaka bidhaa flan sasa kwa bahati mbaya sikuwa nayo, naye alikuwa amezunguka maduka kadhaa hakupata, ila nami nilikuwa naandaa orodha mahitaji(ODA) ili niagizie dar kwa hyo nikamuelekeza km yupo tayari afuate siku ya pili yake usku itakuwa imefika. Kwa kuwa hakuwa na uhakika km kweli itafika akaamua kuomba namba yangu ya simu, bila hiyana nikampatia akasepa zake.
Siku ile ile majira ya saa tatu usiku akanichek na kuanza kuniuliza Kama ananifananisha au laah, akasema tuliwahi
kuwa tunawasiliana jf ila ye simu yake iliibiwa hivyo akapoteza mawasiliano yangu, nami fasta nikakumbuka ikawa ni furaha, na sababu ilomfanya ahisi ni Mimi ni kwamba
1. Mkoa ambao nilimwambia naishi, ndio ambao alinikuta, na
2. Mishe ambazo nilimwambia natamani kuzifanya, ndizo nilikuwa nazifanya, na
3. Kupitia picha ambazo nilimtumia, sura yangu ilikuwa haijabadilika naye bado image yangu ilikuwa kichwani mwake.
Zikapita siku mbili, siku ya tatu ambayo ilikuwa weekend (jmosi) majira ya jioni, akanichek na kuanza kunitania na kuniambia ana njaa na anaona shida kutoka kwake pia bodaboda anayemtumia hampati kwa simu, nikamuuliza unatakaje? Akajibu nione namna ya kuweza kumsaidia basi nikamuuliza magaza anayohitaji nikanunua, akasema hata boda naweza mpa tu ampelekee alafu atarudi na pesa yangu. Kwa kuwa nami nilikuwa naenda kumchek jamaa mitaa ya mbele kidogo na aliponiambia anaishi, nikaona nichukue tu boda nimpelekee. Nikafika maeneo nikamchek, akatoka nje ikawa tumekaa kibarazani ambapo kwa chini kuna nyasi na mvua zilikuwa zimeanza kunyesha hivyo nyasi zilikuwa ndefu kiasi. Huyu manzi alikuwa anaishi kota flani za shirika flan la nyumba, ilikuwa Ni chumba ambacho Ni self.
Wakati tumekaa na miguu tumenyoosha kwenye nyasi tunapiga story, ghafla akatokea tandu kwny zile nyasi, alivyomuona alishtuka sana na kunitaka tuingie ndani mana nje kuna wadudu, Basi hao tukazama ndani, mi nilikaa kwenye Kochi, ye akawa amejilaza kitandani akilalamika mgongo unamuuma kwani kazini kwao muda mwingi wanakaa tu(kutokana na kazi zao).
KUMLA KIMASIHARA
Akiwa amelala na kulalamika mgongo, alikuwa amevaa gauni tu refu, mi nikamwambie Kama hutojali nikukanyage kwa miguu au nikukande kande(massage uchwara) huenda utakaa poa, akajibu poa.
Ndugu wasomaji, nilikuwa na hali flani ya kutetemeka kwa maana mtoto alikuwa mtu haswa na alipata mwili kidogo, huku maeneo ya kiuno yakipata upendeleo wa kipekee.
Nikajipa nguvu, akalala kifudi fudi, nikamkalia mgongoni, nikaanza kazi ya kumkanda, nilianzia shingoni, nikafika kwenye mabega, nikatambaa na bonde la mgongoni, kikwazo ikawa zipu ya gauni, ila nikaifungua fresh na kuendelea na kazi yangu, nikashusha mkono mpaka kwenye nyonyo, nikaanza kusikia kasi ya upumuaji inabadilika nikaachana nako, nikarudi kiunoni, alikuwa amevaa chupi tu, nikasogea mapajani, nikasikia anasema si uvue jinzi hilo hioni linakupa shida. Hureeee... fasta nikavua, nikabaki na boksa tu, naye ghafla akageuka na kulala kifo cha mende. Vutia picha ndugu msomaji, unakuwa katika dunia gani hapa.
Sikuchelewa, kuchek frequency dushe lipo fuuul 6G, nikasogeza chupi pembeni nikazuga kukinyonya kisimi kidogo tu nikapiga mpini aiseeeh nilitomba acha kabisa, naye alikuwa so hoooot, bao la pili nilitumia km dk 50 hv, nilishuhudia akikojoa karibia mara nne akawa yupo hoi kabisa.
Baada ya mechi kali, akaanza kunipa story mbalimbali za maisha na changamoto za kazini kwake, akaniomba nilale mpaka asubuhi nikaona Ni unyanyasaji kumpinga mwanamke nikalala siku ilofuata ilikuwa jpili nikashida kwake ilikuwa ni mwendo wa kuvaa kanga tu, msosi anaagizwa tu bodaboda analeta. Niliuza mechi ila baadae nilipima majibu freshi, nikaendelea kula mzigo mpaka nilipohama wilaya, hata hivyo nikienda akiwa na nafasi nakula ila sio kwa sana, kwa maana ameolewa na tayari ana mtoto na jamaa huyo.
Hongera sana mkuu Melo, Uishi miaka 100+
Kwaresima njema