Hellow Guyz,
Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" . Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakini ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then.
Na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.
Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.
Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;S hemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.
Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile.
Ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.
Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.
Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya? And how did it happen?
Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED?
Unexpected sex ni tamu sana siku zote hata bila kumumunya maneno!
Hii ya kwangu nadhani siyo kula tunda kimasihara bali ni rushwa ya ngono na matumizi mabaya ya ofisi nilifanya!
Nilikuwa na kawadhifa mbuzi flani hivi sehemu.
Mama mmoja akajichanganya hadi nikashangaa!
Mara ya kwanza kukutana naye, akawa na furaha sana kwa namna alivyonisabahi kwa kucheka cheka hadi nikajishitukia!
Kumbe hatua hiyo alikuwa anasafisha njia ili kujenga mazoea!
Ndiyo siku moja akaja kujiweka wazi kuwa zile nafasi za ajira zilizotangazwa na Halmashauri, mtoto wake asikose na yupo tayari kujitoa kwa lolote!
Nikamuuliza atajitoa toaje?
Baadaye akanizidi vishawishi baada ya kuweka wazi kuwa yeye mwenyewe ndiye anajitoa nafsi yake, lakini si kwa ubaya, ni kwa nia nzuri tu hivyo nisiwe na wasi wasi.
Na alivyokuwa na msura, nikakubali ili nione kama yaliyomo yamo na itakuwaje!
Kufupisha stori, kuanzia hela ya gesti ni yeye, hela ya Taxi ni yeye, hela ya vinywaji ni yeye, hela ya kuhonga ni yeye na mambo yoote ambayo hufanywa na mwanaume kusherehesha(kuhonga) mwamamke amtakaye, alifanya yeye kwangu.
Yaani alinitreat kama mtu jobless ninayeishi kwa ndugu.
Nikaambiwa ni marufuku kutoa hela yangu katika mchakato huu, ni yeye kama yeye tu na nisijisikie vibaya, nikasema sawa.
Na kweli kila nikitaka kujitutumua kwa kutoa ushirikiano ki pesa, nakatazwa.
Tukaja kwenye sanaa ya kitanda sasa!
Mauno yale ya rushwa yalivyokuwa yanakatwa kihasara sasa, ni mauno kama yote!
Na sidhani kama hata mtu wake humkatikia mauno ya "kabila" hiyo!
Ni raha sana kwa mwanaume kumlala mwanamke na kisha hela akupe yeye.
Unapata msisimko mkubwa sana wa ajabu kuzidi lile penzi la kusotea.
Na unafanya kwa ufanisi mkubwa kwa kujiamini sana vile kwa sababu unafanya na unalipwa, saazingine kurundikiwa sifa kem kem hata zisizo kustahili.
Kichwa kinavimba kwa kujiona bingwa uliyeondolewa stress zote kichwani, haudaiwi gharama zozote za kimapenzi, sijui hela ya kuhonga na zaga zaga zingine zote!