Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,064
- 3,009
Dah!Kwa hiyo hapo mlipoamka tu ukatafakari na kuona ni vema kuchangia hoja na wanaJF?Umeonesha umoja sana.



Dah!Kwa hiyo hapo mlipoamka tu ukatafakari na kuona ni vema kuchangia hoja na wanaJF?Umeonesha umoja sana.



Kiboboso ni jina la pombe au sioNa nikaja kuowa aisee![]()
Kama umepiga bila kinga kitaalamu tunaita UZWAZWA.Hivi ukitongozwa na mwanamke na ukamla siku hiyo hiyo hii kitaalam tunaiitaje????
Vip kuhusu papuchi😃😃Hivi mbususu ni kibantu cha kabila gani....
Ndio mkuu. Pombe maarufu pande za rombo hukoKiboboso ni jina la pombe au sio
Ni kutra mmekuNdio mkuu. Pombe maarufu pande za rombo huko
Goli la mapema zaidi kwenye mashindanoHivi ukitongozwa na mwanamke na ukamla siku hiyo hiyo hii kitaalam tunaiitaje????
oya kaka wa mazingira ya hatari..kwema??Mshamba wa bumbaga
Pole sana mkuu.....but kama Mali ni safi....hakuna shidaHabarini wazee na mimi leo naomba nieleze jinsi gani nilikula kimasihara
Mwaka huu mwezi wa nane nilikua mkoa fulani kikazi hivyo taratibu katika kupepesa huku na kule nikapata urafiki na pisi moja kali sana,Basi nikaitupia nyavu kama kawaida ikaeleweka
Siku moja nikiwa kazini huku nimefua nguo zangu nyakat za mchana hvyo ilibid nizipeleke getto nnaloishi muda wa kazi ulipoisha,hammadi demu huyu hapa amekuja kunisalimia kazini basi nikamwambia anisindikize getto kuweka nguo alikataa katu katu,nikambembeleza kidogo kuwa basi anisindikize atakaa nje,kufika nje ya nyumba nikaingia haraka nikamwambia aingie mara moja sio vizuri kusimama nje baada ya hapo kuingia tu nikasema hapana leo lazima niuunge mkono uzi wa riki boy,hajakaa vizuri tayar nilikuwa nimepeleka mkono sehemu husika na hatimae nikamla kimasihara NB: (niliuza mechi lakini nilishajua status yake kwa mbinu zangu za kivita)
Nimekaa kimya mda mrefu hapa
Juzi wakati natokea mtwara basi saa nne nikifika stend na kukaa siti yangu namba 13 nilimkuta mkaka amekaa nikamwambia siti yangu akanyanyuka akanipisha
Sasa akaja kukaa mdada mmoja hivi sikumpenda nikawa naonyesha kiburi nipo bize na jf nacheka commnet kumbe nyuma ya siti kaka mdada pia ananichora mda mwingi sana
Tukafika sehemu ya chakula nikaenda kununua nikaludi kwenye gar yule dada ananichora tu nikasema ngoja nimchokoze
Nikamwambia unaweza nichajia smu yangu akaitikia kwa furaha ndio nikampa akaweka mimi nikawa nachezea simu nasoma jf uku nacheka
Akaza kuniuliza mkuranga hivi bado hatujafika nikamjibu yah uku nampotezea akawa analeta mazoea nikasema ngoja nimpe ushirikiano basi nikampa
Tuliongea wew mpaka kufika temeke nikampa simu aka andika namba nikashuka akaenda zake na mm zangu sasa cha ajabu mpaka leo hajibuu sms
Nimemaliza kuwasilisha


Dah eti hajibu sms zako

