Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

kimasihara yangu miezi kadhaa imepita..
nlienda kuanza kazi mkoa flani wa madini, bwana eee nimeenda kuanza kazi alafu sikuwa kabisa na hela ya kupanga gettho wala kununulia hata furniture
ikabidi nimcheki ndugu yangu anaishi mkoa huo ili nikae nae getthoni kwake
ili nikilipwa mshahara mwisho wa mwezi nikapange,, hakuwa na hiyana kabisa kwasababu ni jamaa ambaye huwa tunasaidizanaga hata kipindi hatuna kazi kiufupi ni jamaa ambaye nimekuwa nae hata tabia zetu zina fanana sana

siku moja nipo off nyumbani si unajua hizi kazi za mgodini unafanya kazi siku nne alafu unapumzika siku nne.. kaja mrembo flani amevaa kigauni ambacho hakijafika vizuri kwenye magoti
akaulizia nmemkuta huyu mwenye hichi chumba nikamwabia yupo kazini akaniuliza kwani we nani yake?, nikamwambia..nikamuuliza kwani we nani yake, mi mtu wake nikasema basi sawa..nikamwambia si uende alafu urudi baadae akasema ye ndo ametoka mwanza muda huu so hana pa kwenda ndo alikuwa amekuja kwa jamaa nikasema basi sawa ila ni bora kama ungempigia simu kabla haujaja maana jamaa kazini anatoka jioni sana na ukizingatia sahivi ndio saa nne
akasema alishapoteza namba za jamaa hivo asingeweza kumtafuta

nikatoka nje nikamwacha hapo ndani amekaa kwenye sofa..nikampigia simu jamaa nikamwambia kuna mtu flani yupo hapa anakusubiri,
kumwelezea jamaa huyo demu ni flani akasema mwambie arudi alipotoka tu alafu mdanganye nimeshaoa
jamaa anadai alikuwa kipozeo tu nikasema basi poa

nikarudi getto nikampanga kivingine sio kama jamaa alivyonipanga,,nikamwambia jamaa hatarudi leo kuna dharula kazini,,demu akabaki anajiongelesha hapo sa itakuwaje na nauli sina ya kurudia,,nikamuuliza kama amekula akadai bado nikamwambia basi twende ukapate soup,,tumeenda akapata then tukarudi,,nikamwambia nenda ukaoge basi utoe uchovu wa safari akawa kama kashangaa anajichekesha chekesha pale sa nikaoge vipi nawewe upo humu? nikamwambia kwani unaogopa nini wakati bafu lipo humuhumu ndani akasema basi nenda nje ili niende kuoga nikamwambia mi nipo hapa nakusubiri, akawa anazidi kushangaa we si ni shemeji yangu hili swala linawezekana vipi,,nikamwambia usijali unaonekana we ni mtamu acha namimi nijifaidie,,akasema ila wanaume jamani unaonekana we ni mpole alafu we ni kama shemeji yangu kabisa,,nikafata nikampa taulo nikampa akaelekea bafuni nikamsindikiza na kibao uchokozi cha tako,,akaenda bafuni kuoga zikapita kama dakika 2 nikamfata hukohuko nikakuta amejipaka mapovu mwili mzima nikaanza kumuosha kwa kumshikashika nayeye muda huo anaonesha ushirikiano,,nikazamisha dushele kwenye papuchi kiukweli yule dada alikuwa na tako nilifaidi sana siku hiyo,, tukamaliza tukajimwagia maji tukahamia kitandani kwenye kupakana mafuta na hapo tukaendeleza mechi kuja kucheki time ni saa saba kama na nusu hivi,akaenda zake kuoga tena nikampa 20k nikamwambia hiyo nauli (nauli mpaka mwanza ni 6k sio mbali na mkoa niliopo)so unabidi urudi maana namii ndo nlikiwa nataka niende sehemu kiufupi nilimzuga tu nlitaka aondoke kabla majirani hawajarudi maana huwa wanadai mi mpole sana ilihali sio hivyo maana wengi wao nimewala bila wao kufahamiana,
aliondoka zake wala namba zake sikuchukua kabisa na hatukuwahi kuonana tena

:kiukweli hua najitahidi kuandika kwa ufupi ila huwa nashindwa kabisa,poleni sana,,next time ntawaletea kimasihara zingine maana ninazo kibao
Geita
 
MIMI NISHAWAHI KULA TUNDA KIMASIHARA NYUMBANI KWA BROTHER WANGU NILIENDA KUTEMBEA SITASAHAU MDOGO WAKE WA KIKE NA SHEMEJI YANGU MAJARIBU ALIONILITEA HADI NIKAFANYA NAYE MAPENZI CHOO CHA NJE HUKU WATOTO WA BROTHER WAKIWA SEBULENI WANAANGALIA KATUNI ......DAH NOMA SANA NIMEAMINI KAMA MWANAUME RIJALI MWANAMKE AKIKUTEGA HAUCHOMOKI YAAN UNAKUJA KUJUTA USHAPGA GAME NAKUJILAUMU WHY HAHAHA DAH
 
Uzi wa miaka. Nikupe heko rickboy kwa uzi wako wa maisha halisi ambayo vijana na watu wazima tunapitia. Japo wengi hatuwezi andika yote maana hatupwndi tujulikane tupoje ila kwangu huu ni uzi uloshika hisia za wengi sana na wengi wameupitia na wengine kwenda kutumia njia zilizotumiwa na wengine kwaajili ya kula tunda kimasihara.

Keep it going bro
 
Back
Top Bottom