Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Leo kimasihara imenifikia, miezi kadhaa iliyopita nilienda mkoa flan huko kanda ya samaki.
Nikalala lodge flan nikakaa km wiki pale nikazoeana na mhudumu kiasi kwamba tukawa tunapiga stori tu.

Badaye nikachukua namba nikasepa zangu, sikumtafuta muda wote huo
Sasa juzi nilikua na safari ya kuelekea huko huko, nilimwuliza km bado yuko pale pale.
Akajibu ndiyo, leo nimefika nikamtania nikamwambia nisindikize room basi, amefika room nikamtania, usiku njoo, kimasihara akajibu nunua kondum nitakuja wateja wakiisha

Wakuu, Demu ni namba DA, tall, black umbo la miss....

Niko sasa namsubiri kashanipigia kasema nisifunge...nitawapa majibu
 
Leo kimasihara imenifikia, miezi kadhaa iliyopita nilienda mkoa flan huko kanda ya samaki.
Nikalala lodge flan nikakaa km wiki pale nikazoeana na mhudumu kiasi kwamba tukawa tunapiga stori tu.

Badaye nikachukua namba nikasepa zangu, sikumtafuta muda wote huo
Sasa juzi nilikua na safari ya kuelekea huko huko, nilimwuliza km bado yuko pale pale.
Akajibu ndiyo, leo nimefika nikamtania nikamwambia nisindikize room basi, amefika room nikamtania, usiku njoo, kimasihara akajibu nunua kondum nitakuja wateja wakiisha

Wakuu, Demu ni namba DA, tall, black umbo la miss....

Niko sasa namsubiri kashanipigia kasema nisifunge...nitawapa majibu
Mkuu hiyo si kimasihara, mademu wa lodge wapo easy sana, nashangaa ulitumia zaidi ya wiki kuzoeana nae
 
Leo kimasihara imenifikia, miezi kadhaa iliyopita nilienda mkoa flan huko kanda ya samaki.
Nikalala lodge flan nikakaa km wiki pale nikazoeana na mhudumu kiasi kwamba tukawa tunapiga stori tu.

Badaye nikachukua namba nikasepa zangu, sikumtafuta muda wote huo
Sasa juzi nilikua na safari ya kuelekea huko huko, nilimwuliza km bado yuko pale pale.
Akajibu ndiyo, leo nimefika nikamtania nikamwambia nisindikize room basi, amefika room nikamtania, usiku njoo, kimasihara akajibu nunua kondum nitakuja wateja wakiisha

Wakuu, Demu ni namba DA, tall, black umbo la miss....

Niko sasa namsubiri kashanipigia kasema nisifunge...nitawapa majibu
Kaka vaa na mfuko wa mkate
 
Threads za nyuma nilisema nina visa vinne, nilikula rafiki wa dada yang, kuna demu mmoja nilimsaidia admission chuo nilimla kimasihara kupitia hii hii jf, nyengine demu alieleta vyeti vya kazi magetoni ili nimpelekee ofisini nilimla kimasihara na ya mwisho ni demu niliyemsaidia kufungua account bank apate mkopo

Mimi ni mvivu kuandika napenda kusoma za watu ila siku nikitulia ntaanza na ya rafiki wa dada tuendeleze hili gurudumu ila usiwe rahisi kuuza mechi unaweza koswa na umeme ukapata gono lisilopona mpaka ukafanyiwe culture, nawasilisha.

Mimi ni mtumish wa afya hospital moja mjini hapa ndo mana nimesisitiza umakini muhimu.
 
Leo kimasihara imenifikia, miezi kadhaa iliyopita nilienda mkoa flan huko kanda ya samaki.
Nikalala lodge flan nikakaa km wiki pale nikazoeana na mhudumu kiasi kwamba tukawa tunapiga stori tu.

Badaye nikachukua namba nikasepa zangu, sikumtafuta muda wote huo
Sasa juzi nilikua na safari ya kuelekea huko huko, nilimwuliza km bado yuko pale pale.
Akajibu ndiyo, leo nimefika nikamtania nikamwambia nisindikize room basi, amefika room nikamtania, usiku njoo, kimasihara akajibu nunua kondum nitakuja wateja wakiisha

Wakuu, Demu ni namba DA, tall, black umbo la miss....

Niko sasa namsubiri kashanipigia kasema nisifunge...nitawapa majibu
Muhudumu wa bar /lodge Hao ni Malaya tuu wanaliwa na kila mwanaume anayeingia hapo lodge
 
Jana nimetoka zangu mkoa X nkafika jiji Y,, nlivyofika jijini hapo nkaenda sehem kupata misosi!! Nkapiga chakula nlivyomaliza nkaona nitulie tulie hadi giza liingie! Hiyo siku nilikuwa nimependeza haswaaa( BTW napendeza eerday ila hiyo siku nilikamia sana maaan tangu stand ya mkoa nlipotoka kuna mzee aliniambia unaenda kuchumbia mbona umependeza sana)…..

So baada ya kula nkawa nachat na sim ghafla akaja mama mmoja hivi( Bonge)… Akaniuliza sim gani hiyo nikamjibu( natumia apple) af maongezi yakaishia hapo sikutaka kushoboka( code 01 ukikutana na pisi for first time usioneshe kushoboka nae ili umpe attention zaidi)

Akaagiza msosi wake akala me naendelea kuchat….Akanambia mtoto wangu naomba ninunulie ndizi nkamwambia sina hela nmebaki na nauli tu!!!! Akasema poa na maongezi yakaishia hapo!

Tumekaa kma 30 mins bila kusemeshana huku me namuangalia kiwizi wizi! Nkaona em nilichombeze!! Nkamuuliza vp we mwenyeji wa huu mkoa akasema ndio…… Nkamwambia me mgeni vp unaeza nionesha guest nzuri akasema ndioo(ila me mwenyeji ila nlikuwa nataka tu jinsi ya kulila kimasihara).. Likasema basi poa ngoja amalize then anipeleke guest!!! Nkaona huyu kwenda guest ntajikuta nalipia wakati nna pa kufikia!

Basi nikampanga mwanangu anipigie ajifanye kaja kunipokea na ndo ikawa hivyo! Nkamwambia basi nipe no zako tutawasiliana! Nkachukua no af nkamwambia kesho ntakuja kukusalmia maan tulishaongea kuhusu mahusiano yake kwamba ameachana na mumewe hivyo anakaa mwenyew!

Basi kesho yake( ambayo ndo leo )nkamwambia nakuja akanielekeza fresh nkatimba kwake!! Kufika kanikaribisha fresh tukakaa wote kwenye kochi moja!! Me nlikuwa na ugwadu la kama siku 3 hivi nkalishika linanyama nyama hatari!

Balaa lilipoanzia sasa
Nkamwambia basi tuhame twende kitandani likasema kwahyo unaniachaje hapo akimaanisha anataka hela! Nkajua hili malaya hili( japo toka mwanzo nlijua hivyo sema shetani bhana af sijawah kula malaya before) Nkamwambia we sema bei yako akasema nimpe 50k nkasema poaah!!
Basi tukahamia kwa bedi likavua likanivisha na ndom maan nlibeba kabisa!! Nkapiga cha fastaaaa huku nalisifia kwamba lipo vizuri so nkamjaza kuwa ntampa 100k

Baada ya kukojoa nkamwambia em naomba tukatoe hela kabisa ili tukijifungia ndo tumejifungia akajaaa.. Me nkavaa fasta (kama kawaida yetu wanaume) hapo yeye bado anavaa!!nkajifanya nmepigiwa simu nkatoka nje!! Ile kutoka nje ya geti nlitoka nduki kama sina akili nzuri maan alipokuwa anakaa napajua vizuriii Nlikimbia aisee njian nkakutaba na boda nkamwambia nipeleke sehem x

Hapa ananitumia message kwamba me muhuni and blah blah!!! Kilichiniogopesha anasema ana shahawa zangu mbichi ntamkumbuka siku moja Wazoefu em nambieni eti anaweza fanya jambo lolote na hizo sperms!!
Nawasilisha!!!

 
Threads za nyuma nilisema nina visa vinne, nilikula rafiki wa dada yang, kuna demu mmoja nilimsaidia admission chuo nilimla kimasihara kupitia hii hii jf, nyengine demu alieleta vyeti vya kazi magetoni ili nimpelekee ofisini nilimla kimasihara na ya mwisho ni demu niliyemsaidia kufungua account bank apate mkopo

Mimi ni mvivu kuandika napenda kusoma za watu ila siku nikitulia ntaanza na ya rafiki wa dada tuendeleze hili gurudumu ila usiwe rahisi kuuza mechi unaweza koswa na umeme ukapata gono lisilopona mpaka ukafanyiwe culture, nawasilisha.

Mimi ni mtumish wa afya hospital moja mjini hapa ndo mana nimesisitiza umakini muhimu.
Lazima mtu akikuomba msaada umle?? U ain't gentleman dude
 
Bingwa wa kula kimasihara nimerudi ungana nami...!!

01/11/2022 nimeenda mikocheni saluni nyuma ya jengo la clouds kunyoa
Midaa ya saa 9 jioni,pembeni kuna saluni la kike
Kuna mdada wa makamo tu round 18, or 22 anasuka rasta ndefu,gentlemen mimi nikazama saluni ya mwana ambae ni muhusika wangu, kwa kuwa kuna kifoleni
Nikawa mpole kusikilizia time ifike,kidgo luku ikawa imekata pale kwa dharura ikabd wale wateja walionyolewa tyr jamaa awapele pale, saluni ya kike kuna umeme

Baba ako na mimi nikaenda pale kucheki mazingira jamaa akafanikiwa kuwanyoa wote ikbk zamu yangu, nikamwambia weka umeme turudi kwenye ofisi yako mm ni mtu mwenye aibu mbele ya wadada wazuri (aaaah wapi huo ni mtego tuuu toka lini nikawa nina aibu??) yule dada anayesukwa kusikia vile akacheka sana akaacha smile, muhuni nika note down kitu,wataalam wa cuba tuna code zetu
Yule demu akasema we mkaka kinyozi naomba umnyoe hapa hapa tuone km ana aibu "mimi sasa moyoni najisemea huyu dada angenijua huko mtaani naitwa AZIZ KI yani nafunga sana nje ya 18.

Nikamaliza kunyoa pale nikaosha nywele safiii nikarudi kuwa mpya ukija gafla waweza sema umekutana na Shaddy moss yani "Lil Bow Bow" yule wa 2010

Nikaropoka kitu kwa yule anayesukwa
Mm nmemaliza kunyoa lkn bado nipo nipo nataka nikuone vzuri ukishasukwa na hyo style yko ni km 'ALICIA KEYS' maskini huyu dada wa sio mtu wa miziki hamjui mama Egypt ilivyo kuwa pisi wakat huo inamegwa na USHER RAYMOND...

naendelea.....naenda kukojoa mara 1.
 
Hii si uongo ni story ya kweli , miaka nane imepita kipindi naish zangu knyama .. mtaa niliokuwa na kaa kulikuwa na kigenge kimoja alikua anauza mdada mmoja wale watu wanawaita andunje au watu wa fupi ... oyaaa mtoto alikua kafungasha balaa sasa mara ya kwa

Kwanza naongea nae nikamtania "aaah mchumbaaaa " akajibu we mtoto sana kazi huiwezi wewe ebu sema nikuudumie nini uende " nikacheka sana nikamwambia " ebu nipe namba yako ya simu ntakupigia ... kama zali akaandika .. hahaha basi nikawa nawaza nipige nisipige , baadae nikamwona kwa mbali kama anakuja unakuja upande napo ishi ilikua usiku , nikampigia nikamuulisha " ushafunga ofisi nikupe show ..

" kama zali akaitikia nipo njiani naondoka sema upo wapi nije .." hii oya ingekuwa wewe ungefanyaje .. aaah nikamwambia " angalia mbele " huju nanyoosha simu kwa juu anione , akaja hadi pale nikampitisha mlango wa uwani akazama hadi.getto .. oyaaa wazee nilipiga show .. kesho akarudi tena .. ikaenda wiki nzima .. baadae baba mwenye nyumba akanipa notice eti naingiza watu wa ajabu kwenye nyumba yake .. na hapo ndo nilipoama siku ktafuta tena

 
Threads za nyuma nilisema nina visa vinne, nilikula rafiki wa dada yang, kuna demu mmoja nilimsaidia admission chuo nilimla kimasihara kupitia hii hii jf, nyengine demu alieleta vyeti vya kazi magetoni ili nimpelekee ofisini nilimla kimasihara na ya mwisho ni demu niliyemsaidia kufungua account bank apate mkopo

Mimi ni mvivu kuandika napenda kusoma za watu ila siku nikitulia ntaanza na ya rafiki wa dada tuendeleze hili gurudumu ila usiwe rahisi kuuza mechi unaweza koswa na umeme ukapata gono lisilopona mpaka ukafanyiwe culture, nawasilisha.

Mimi ni mtumish wa afya hospital moja mjini hapa ndo mana nimesisitiza umakini muhimu.
Huyo uliyempata kupitia jf story yake usiilete, hapa jf we don't kiss and tell.
 
Bingwa wa kula kimasihara nimerudi ungana nami...!!

01/11/2022 nimeenda mikocheni saluni nyuma ya jengo la clouds kunyoa
Midaa ya saa 9 jioni,pembeni kuna saluni la kike
Kuna mdada wa makamo tu round 18, or 22 anasuka rasta ndefu,gentlemen mimi nikazama saluni ya mwana ambae ni muhusika wangu, kwa kuwa kuna kifoleni
Nikawa mpole kusikilizia time ifike,kidgo luku ikawa imekata pale kwa dharura ikabd wale wateja walionyolewa tyr jamaa awapele pale, saluni ya kike kuna umeme

Baba ako na mimi nikaenda pale kucheki mazingira jamaa akafanikiwa kuwanyoa wote ikbk zamu yangu, nikamwambia weka umeme turudi kwenye ofisi yako mm ni mtu mwenye aibu mbele ya wadada wazuri (aaaah wapi huo ni mtego tuuu toka lini nikawa nina aibu??) yule dada anayesukwa kusikia vile akacheka sana akaacha smile, muhuni nika note down kitu,wataalam wa cuba tuna code zetu
Yule demu akasema we mkaka kinyozi naomba umnyoe hapa hapa tuone km ana aibu "mimi sasa moyoni najisemea huyu dada angenijua huko mtaani naitwa AZIZ KI yani nafunga sana nje ya 18.

Nikamaliza kunyoa pale nikaosha nywele safiii nikarudi kuwa mpya ukija gafla waweza sema umekutana na Shaddy moss yani "Lil Bow Bow" yule wa 2010

Nikaropoka kitu kwa yule anayesukwa
Mm nmemaliza kunyoa lkn bado nipo nipo nataka nikuone vzuri ukishasukwa na hyo style yko ni km 'ALICIA KEYS' maskini huyu dada wa sio mtu wa miziki hamjui mama Egypt ilivyo kuwa pisi wakat huo inamegwa na USHER RAYMOND...

naendelea.....naenda kukojoa mara 1.
Kukojoa mkojo gani? Maana tuko kwenye kimasihara kuna mikojo yake

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Wakati nasoma kuna Nyumba ya kupanga nilikuwa naishi wapangaji wengi tulikuwa wakiume na binti mmoja mzuri ambaye alikuwa hana kabisa mazoea na yeyote kati yetu alikuwa Ni mzuri na mwenye maringo sana


Siku moja jioni natoka kwenye mihangaiko yangu nakuta uani kuna kama kikao cha dharula hivi wapangaji wote wanamsema yule binti uwa anachelewa kulipa bill ya maji pale inapotoka na siku hiyo pia hakuwa na pesa cash so akaomba aende bank kutoa hakuna aliyeelewa wakajua ndiyo sounds zake za kila siku

Nilipofika nikauliza nini tatizo wakanieleza nikawaambia hamuoni aibu vidume wote kumsema binti Wa Watu kisa elfu saba? Nikawapa hiyo pesa nikaingia ghetto kwangu

Itaendela......
Nazipenda sana situation kama hizi
 
Mi nakumbuka utotoni nilishawahi kula tunda kimasihara sana u nikiwa na watoto wenzangu chini ya mwembe kuna embe lilidondoka lenyewe ardhini nikawahi kuliokota nikawa nalila kimasihara huku nikiwacheka wenzangu wanavyolitamani kwa kuwa embe ni tunda na uzi unazungumzia kula tunda kimasihara nikaona nami nishiriki kucoment.Ni hayo tu machache niyaseme kwenye thread hii
Ilaa watu
 
Leo kimasihara imenifikia, miezi kadhaa iliyopita nilienda mkoa flan huko kanda ya samaki.
Nikalala lodge flan nikakaa km wiki pale nikazoeana na mhudumu kiasi kwamba tukawa tunapiga stori tu.

Badaye nikachukua namba nikasepa zangu, sikumtafuta muda wote huo
Sasa juzi nilikua na safari ya kuelekea huko huko, nilimwuliza km bado yuko pale pale.
Akajibu ndiyo, leo nimefika nikamtania nikamwambia nisindikize room basi, amefika room nikamtania, usiku njoo, kimasihara akajibu nunua kondum nitakuja wateja wakiisha

Wakuu, Demu ni namba DA, tall, black umbo la miss....

Niko sasa namsubiri kashanipigia kasema nisifunge...nitawapa majibu
27 thsri modi oba.jpeg
 
Back
Top Bottom