Habari wana ndugu wanaokula tunda kimasihara kila kukicha

Juzi kati nimekula Tunda kimasihara la Eng. Wa Taasisi kubwa hapa Bongo.
Ili kuwa ivi.
Huyu Eng. Mara nyingi anakuja kupata huduma za kifedha kwenye ofisi yangu. Na akija ana mkuta dada/mfanya kazi wangu anamuhudumia vizuri mpaka anajisikia fahari kuja hapo ofisini kwangu

Huyu Eng. Bado mdogo kiumri niseme around 31 ivi au below. Huyu miss mara nyingi anakuja tunapisha yaani akija ananikosa anahudumiwa na dada. Ingawa kuna siku alikuja akanikuta nikampa huduma na kumtania kidogo then nikampotezea
Sasa bhana, juzi nimeshinda ofisini hapo mpaka mida ya saa tisa ivi mara paa naona gari ya Eng. Inapaki mlangoni mwa ofisi yangu. Nikajiongeza chap na kubuni mbinu ya kuchukua namba ya Eng


. Nikamwambia dada ebu nenda kachukua maji katoni tano pale tunapochukua


. Leongo ilikuwa ni dada aende ili mimi nibaki free na eng

. Tuna uza na maji na others soft drinks.
Basi bhana Eng. Akaingia ndani nikampa kile alichotaka baada ya kumaliza ile anaondoka tu nikamuita samahani Eng. nikampa simu yangu aniandikie namba yake bila kupapasa macho wala discusion, akapokea simu na kuandika namba nikamwambia shukrani nitakupigia muda si mrefu. Akasepa zake huyo

Ilipofika muda wa saa kumi na moja jioni nikapaa hewani. Hello Eng habari za wakati huu mimi......akasemaa ahaa nimeshakufahamu. Na kuniuliza nikusaidie nini “Y” nikamuulza kwasasa upo wapi nipo home sehemu gani lakini? Akajibu maeneo ya Goba basi nikamwambia naomba tuonane mida ya saa moja ivi tupate kinywaji na maongezi kidogo. Akasema ngoja atanifahamisha. Nikasema sawa.
Basi mi nikaendelea na majukumu kama kama na kusahau kuwa kuna mtu nimemuahidi kuonana. Ilipofika saa moja na dakika 45 mara hiyo simu inaita kucheki ni Eng. Nikasema safi kabisa. Nikapokea hello Eng. Hello “Y” akasema eehe nambie nikamwambia naomba tukutane six park madale. Akasema pouwa.
Kwa wasiyofahamu hizi chimbo kutoka goba njia nne na madale siyo mbali ni karibu sana. Basi nikajiandaa chapu na kuchukua mkweche wabngu niwahi eneo la tukio kbala ya Eng kutia timu. Nafika tu na yeye huyo katiba na boda safari hii alikuja na boda hakuja na gari lake. Nikajisemea mmh leo hatoki salama jinsi alivyo vaa ivi, alikuwa amevaa gauni fulani ivi nzuri na fupi kidogo. Ila niwe mkweli Eng kabarikiwa kila idara aisee.
Basi bhana tukatafuta engo safi tukakaa na kuangiza vinywaji. Eng aliaza savana mi nikaagiza wine fulani izi huwa naipenda. Vinywaji vikaletwa tukaanza kunywa na kupiga stori mbili tatu. Mara ohoo nionje wine yako nikamwambia ngoja nikuwekee kidogo nikamuwekea yeye akachanganya na savana yake namcheki tu.
Stori ikanoga kushtuka saa tatu hapo sijasema chochote kunywa tu na kuongea tu stori za hapa na pale. Ilipofika saa tatu na nusu akasema anaenda home ahsante kwa kampany yako nimefutahi na kuenjoy kweli kweli. Mi nikamwambia karibu tena na tena wala usichoke kuja. Akasema sawa. Lakini muda huo nimeshampimia yaani kalegea kweli kweli.
Alivyonyanyuka kuanza safari nikamwambia huwezi kwenda mwenyewe twende wote akasema sawa. Nikamuingiza kwenye mkweche. Alivyooingia tu kwenye gari nikapandisha vyoo na kuwasha gari nikamwambia sentensi moja twende home ukapaone ili kesho iwe rahisi kuja. Akaguna tu. Mi nikatoa gear na kuondoka kuelekea home uzuri home siyo mbali na maeneo hayo.
Tumefika home tukaingia ndani. Karibu mgeni jisikie huru. Ahsante “Y”. Nimeshapaona kwako sasa nirudishe kwangu nikamwambia sawa. Alivyomaliza tu kuongea nikamkubatia ile tight kweli kweli aisee. Vup bin vaa tukaangaliana usoni face to face mi nikapeleka mdomo tu ikapokelewa vizuri bila kinyongo tukaanza mambo mara paa tukadondoka kwenye kochi.
Aisee Eng. Alinipa ushirikiano Romance ya maana mwisho tukaanza kuduu


. Nilipiga pipe za kutosha mpaka saa saba. Nikamrudisha eng kwake nikarudi home nikapiga maji nikalala. Nimeaidiwa papuchi tena kesho kutwa juma tano muda ni ule ule
Ivo ndivyo nilivyomla Eng. Nawasilisha