Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,212
- 29,374
Pole Sana..tujipongeze na kimasihara mkuuSensa nilipigwa cha mbavu mkuu nipo TU napambana nahali yangu!!
Yeah its Likizo time!
Pole Sana..tujipongeze na kimasihara mkuuSensa nilipigwa cha mbavu mkuu nipo TU napambana nahali yangu!!
Yeah its Likizo time!
Hahahaaa! Asante mkuuPole Sana..tujipongeze na kimasihara mkuu
Short and clear!! [emoji23][emoji6]Basi ilikuwa utani tu kutoka hapa jf, kisha imoooo....zamani lakini ilikuwa
Itoe hiyo moja mkuu, asubuhi hii tunataka kujiaminisha kama dhakar ziko sawa..hahamhmhmhmhmhmhhmhm!!!! Inasisimuaaaa!
Imenikumbusha nilivoumiaga mguu kwa kuteleza mtu akaja kunikanda uwiiiiii!!
Ushaweka shuhuda yako mjumbe???[emoji23]
khakhakhaaaa [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!Wakuu najua haiwahusu ila acha niwaambie tu
Nmeokota dem mtaani nimemleta geto nampelekea ukuni mida ya saa 3 mpangaji mwezangu Twalibu macho kafungulia mawaidha kwenye sabufa yani sheikh anansema mm kabisa
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
khakhakhaaaa [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!Wakuu najua haiwahusu ila acha niwaambie tu
Nmeokota dem mtaani nimemleta geto nampelekea ukuni mida ya saa 3 mpangaji mwezangu Twalibu macho kafungulia mawaidha kwenye sabufa yani sheikh anansema mm kabisa
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ukute ni demu la Red Stone paleMkuu pole,lakini ni vema ungetupa CODE za huyo Binti ili Mabaharia tujihadhari maana Karatu ni kubwa(Sharing is Caring).Anaishi Mtaa gani Karatu,jina na muonekane wake,mimi nipo Karatu hapa.Ukifanya hivyo utabarikiwa Mkuu
Leta story yako ulivyoliwa kimasikharaLeo Naomba niweke kambi rasmi hapa [emoji144]
Hahaaa!! Usiwaze mkuu nitatupia 😂!Itoe hiyo moja mkuu, asubuhi hii tunataka kujiaminisha kama dhakar ziko sawa..haha
Stay tuned natupia soon! Ile sijui hata niiteje yanii mpaka leo najiuliza sipati majibu!!😉😉😉😉!!Leta story yako ulivyoliwa kimasikhara
Wee ilete tuu mrembo. Tunachotaka ni story moto moto labda ukiweka utamshawishi Kelsea nae kurudi kwenye jukwa letu pendwa.Stay tuned natupia soon! Ile sijui hata niiteje yanii mpaka leo najiuliza sipati majibu!!😉😉😉😉!!
Ah ile story ya pili mbona hujaleta sasa mrembo au hutaki mie ninyetuke🤣🤣🤣🤣Nipo mbona
Hizi siasaaa!!Kama Kawaida mabahalia .....NILIPIGA SANAA, PIGA MNOO NYONYAAA SANA,
😂 Tulia basiAh ile story ya pili mbona hujaleta sasa mrembo au hutaki mie ninyetuke🤣🤣🤣🤣
Leo Nimeweka rasmi kambi hapa 😘!😂 Tulia basi
Sijawah kukuona huu uzi 🤪 karibu sana .Nasubiri kimasikhara yako.Leo Nimeweka rasmi kambi hapa 😘!
Nimesisimka pia. Ukuje nikukande.mhmhmhmhmhmhhmhm!!!! Inasisimuaaaa!
Imenikumbusha nilivoumiaga mguu kwa kuteleza mtu akaja kunikanda uwiiiiii!!