Kwanza, nikiri kwamba siyo jambo ambalo ninajivunia. Lakini nakubaliana kuwa nyege zina nguvu nyingi sana. Nguvu hizo ndizo zilinifanya nipige cha kimasihara. Ila kiukweli, kwa sisi watu wazima kidogo, naona haitupendezi. Kimasihara ibaki kwa teenagers.
Mimi ni mtu ambaye nipo busy. Hivyo nakosa muda wa kufanya mazoezi na kuweka mwili sawa. Ndipo hapo nikaangukia kwenye Sauna ili kuweka mwili sawa. Hapa ndipo nilipopata kimoja cha kimasihara. Walau kila Jumamosi na Jumapili lazima niende Sauna ili kuunguza mwili.
Ilikuwa Jumapili mapema sana,nilikuwa na safari jioni yake. Hivyo ikanilazimu niende mapema ili jioni niweze kusafiri. Baada ya kutoka Ibada, nikaenda Sauna moja kwa moja.
Bahati nzuri au mbaya, hakuwepo mtu yeyote. Kama kawaida nikaingia zangu motoni. Huwa nakuwa na speaker ndogo, naingia nayo kupiga muziki. Hii ni ili kujipimia muda wa kukaa humo na pili kunisaidia kufanya meditation huku nachoma mafuta.
Nimezama mawazoni, nikahisi kuna mtu anaingia. Sikuzingatia sana, nikaendelea zangu kujishughulisha na pumzi. Mpaka aliponisalimia Shikamoo, nikafungua macho kuona anayenisalimia. Nami pasipo hiyana nikaitikia salamu yake.
Naye akajipatia mahali akaanza kupata joto. Kila mtu yupo busy. Nyimbo nilizoweka zikambamba. Yeye akaanza kuimba kwa sauti. Nikashawishika kuanza kumshangaa. Kosa kuu nililolifanya.
Kwa bahati mbaya sana, wanawake hawana uwezo wa kukaa kwenye joto muda mrefu. Alikaa takriban dakika saba au nane hivi. Akaondoka, niliendelea kumtazama kwa kuibia mpaka anatokomea mlangoni.
Nikiri ya kuwa nilisisimka. Hakujifunga taulo analolikuta Sauna. Bali alifunga mitandio yake miwili, mmoja kifuani na mwingine kiunoni. Kwa jinsi alivyoloana, ile mitandio ilimnasa mwilini barabara. Mashallah! Mtoto ameajaliwa. Nilisisimka haswaa.
Nikaendelea zangu kupata joto, binti huyo kaenda kupunga upepo nje na kupooza mwili. Baada ya kama dakika 6 akarudi ndani. Kwa sasa alikaa upande ambao tunaangaliana uso kwa uso. Swala la kufikiri kwa kufunga macho, sasa nililitupilia mbali. Macho yangu yapo kodo, kuona kiumbe alichokiumba Mwenyenzi Mungu kwa umaridadi mkubwa.
Sijui ni ilitokea tu, ama la!. Ila muziki ule ulimbamba sana yule binti. Kafunga macho anaimba huku anatingisha mapaja yake. Kwa bahati mbaya sana, mtandio wake haukuwa unamkaa kisawasawa. Hiyo ilinipa nafasi ya kuufaidi namna ambavyo binti huyu alijaa. Paja laini na zilizojaa stake za kutosha. Kuloana kule kulinisisimua ipasavyo. Mtandio wa kifuani nao uliniruhusu kuona namna ambavyo chuchu zimekaa vema kwenye kifua cha yule binti.
Wimbo ukaisha, ukaingia mwingine na ambao sidhani kama ulimpendeza. Akafumbua macho. "Ni namna gani unaweza kukaa humu ndani muda wote?". Hilo ndilo swali la kwanza kunitandika baada ya yeye kufungua macho na kunitazama. Nikamuambia ni mazoea tu. Ukizoea utakaa muda mrefu pia,nilimueleza.
Akaniambia, wala si mazoea. Amehudhuria hapa mara nyingi ila hajawahi kuona mtu mwenye kukaa muda mrefu kama mimi. Nikamueleza kuwa huenda kil mtu ana muda wake wa kutaka kukaa. Akabisha na kuniambia, pumzi na uwezo wa kuhimili joto ndizo sababu zinazo-determine muda wa mhusika kukaa humo ndani. Nami nikamuitia, ni kweli.
Akasema acha atoke, mimi mkongwe aniache. Nilitamani kumzuia asitoke ila sikua na sababu ya kufanya hivyo. Amenidatisha mno. Akatoka, nami macho yangu yote nimeyaelekeza katika miondoko yake. Nikabaki ndani kuendeleza zoezi, akilini mwangu ikiwa inamuwaza namna ambavyo binti huyo aliumbika.
Nimekaa muda mpaka nikaanza kuhisi mapigo ya moyo yanaenda kasi mno. Hapo ndipo nilipotambua ya kuwa nimekaa muda mrefu mno zaidi ya vile nilivyopanga. Nikajifunga taulo vyema na kutoka nje.
Natoka namkuta binti anachezea simu yake. Kuniona akasema hakika nipo vizuri. Si kwa joto hilo. Nikaelekea mezani kujipatia maji ya kunywa. Nikagigida na kusubiri sasa muda uende kidogo.
Binti ndiyo akaanzisha story kuwa leo hakuna watu. Nikamuambia kuwa bado mapema. Baadae watafika. Kuna rafiki yake alimuambia atangulie naye atafika, lakin iimepita kama nusu saa na wala hajafika. Sikuwa namsikiliza sana na story zake za hapa na pale bali kumtazama kiutu uzima. Muda umetosha, acha mimi nirudi ndani.
Nikarudi na speaker yangu, baada ya kama dakika mbili naye akaingia. Nikamuambia usipende kukaa kwenye joto jingi kama huna pumzi ya kutosha. Anzia pale (huku namuelekeza kwa kidole karibu na mlango wa kutokea) ili mwili ujizoeshe na baadae uweze kusogea huku penye joto jingi. Alikataa kunisikiliza, akaja karibu na ninapokaa. Yeye na muziki ni kama pumzi na uhai. Anaupenda mno.
Kwa sasa naweza kumshuhudia kwa ukaribu zaidi. Namna alivyokaa tako limemwagika pwaa!. Kaloa mpaka kaloana. Mimi sasa sisikii muziki wala joto, ni macho yangu kubung'aa.. Maji yanamtiririka kutoka kichwani, kupitia mgongoni kuelekea makalioni. Nilitamani walau niwe kipisi cha jasho hilo ili nami nielekee huko.
Binti kama kawaida yake, hakumudu kukaa muda mrefu. Sasa inambidi kutoka kwenda kujipooza. Kwa bahati mbaya sana, wakati anashuka ndipo malapa yakachomoka mguuni na kuteleza. Khanga ya kiunoni nayo ikakata kamba. Nami nikashuka kwenda kumuinua. Ashukuriwe Mungu hakua ameumia au kugonga sufuria la maji moto. Lakini sasa aliniletea msononeko. Ndani hakuwa amevaa walau hata chupi. Yupo pee.
Bahati mbaya, sikuweza kuona kibubu. Ila makalio yake, yalifaidiwa na macho yake pasipo malipo ya sumni. Macho yakapeleka taarifa kwenye ubongo, nao ukatuma ujumbe Maalum kwa Abdallah kichwa wazi. Kusikia akatahamaki, akafura kikakamavu kama askari anayejiandaa kuingia vitani.
Binti akatembea mwenyewe kuelekea mapumzikoni. Akili yangu ilikuwa inafanya kazi kwa kasi mno. Na damu ikiwa katika mzunguko mkubwa. Nikajua pa kujichukulia point ni kumsindikiza nje huku nampa pole za hapa na pale.
Akaenda kuketi, kiujumla hakuwa amepata maumivu yeyote. Isipokuwa mshtuko kidogo mguuni. Ambapo baadae alikaa sawa. Akili yangu ikavurugwa kutoka kuchoma mafuta kuelekea kutaka kula kimasihara. Aliyeanzisha uzi huu, ana nafasi yake maalum Jehanamu. Huenda yeye pamoja na Firauni wakawa kuni za kutuunguzia sisi tuliobaki.
Nikamdodosa kama atarudi tena huko ama la. Akadai atarudi baadae atakapowasili. Nikamuambia sawa, mimi naingia kwenye Steam. Kule sitaenda pia. Huenda hakusikia vizuri. Huyo nikaamka zangu kuelekea katika chumba cha mvuke. Macho yake yalikuwa kwangu, kufungua kule ndiyo akadakia, huko kunani? Nikaanza kumuelezea. Kumbe pamoja na kuja mara kadhaa huku, lakini hajawahi kuingia.
Akasema acha naye aje ajaribu, akilini pakaitika Swadakta. Nikaingia, huku penyewe joto siyo kali sana. Naweza kutumia muda mrefu sana. Huenda alikuwa anajitengeneza kidogo, baada ya kama dakika moja naye akaingia. Nikamuelekeza pa kukaa. Sikutaka akae karibu nami, bali katika angle ambayo nitamchungulia kiurahisi kwa kuibia.
Kama kuna kiumbe Mwenyenzi Mungu alikiumba kwa kutulia, basi ni huyu binti. Wanawake wenye rangi ya kahawia (Chocolate) hunimaliza. Alikuwa na rangi ya kahawia iliyochoma vema na kuiva. Ngozi inayong'ara na kutekeleza mithili ya ngozi ya mtoto mchanga. Makalio makubwa malaini yasiyo na mabonde, yaliyojaa na kutuna. Akikaa yanamwagika pwaaa. Kifuani pamejazwa mtindi unaotosha kumaliza ugali wa kilo tatu. Ana mistari mitatu iliyojikunja kuizunguka shingo yake ndogo. Kwa hakika, Mungu aliumba na apewe sifa. Itikia Amen.
Akili ikaniambia umetoka kanisani, umeoa na una familia. Vitu vingine vikupite. Nami nikaitikia wito. Nikafunga macho kuanza kupeleka mawazo yangu mbali. Mwenzangu naye anakula muziki taratibu. Lakini sauti yake ilinitoa tena kwenye uwepo. Na anafahamu kuimba karibia nyimbo zote tena kwa ufasaha. Nikafumbua macho kuendelea kumtazama. Kama hujajua thamani ya macho yako, basi bahatika kupata nafasi ya kumtazama huyu binti kwa ukaribu katika utulivu. Ee Muumba wangu, endelea kunipa uoni ang'avu niendelee kukusifu kwa namna unavyoumba.
Binti kufungua macho akanikuta namshangaa. Alinyanyua khanga kuikunjia katika Ikulu yake, hivyo sehemu kubwa ya mapaja yake yalikuwa wazi.
Kupotezea, nikajidai kuikunja shingo kwa namna ya kuinyoosha na kuiweka vizuri. Yote hii ni kuficha aibu ya kubambwa nikipiga chabo. Mtu mzima kama mimi kubambwa namna hiyo ni aibu.
Nikaanza kujinyoosha mikono kama vile nafanya massage. Nikajiminya minya shingo na baadae muguuni. Kumbe binti ananitazama. Pasipokutarajia, akaniuliza hiyo inasaidia nini? Nikamuambia hakuna lolote. Nanyoosha misuli tu.
Binti naye akaanza kujibiminya. Akfikia mahali alipoumia wakati alipoanguka na kusikia maumivu kidogo. Akasema niliumia kumbe, huku akinionyesha katika enka ya mguu wa kushoto. Nikamshauri apasugue taratibu maumivu yatakwisha. Bahati nzuri kwangu, binti ni muoga. Nikasogea kwenda kumsaidia.
Ile nampapasa katika mguu, shoti ya umeme yenye voltage kubwa ilitoka katika miguu yake kuja kwangu. Nilisisimkwa mno. Nikawa namsaidia taratiibu huku akipiga ukelele wa maumivu. Sauti yake ya maumivu ni dawa ya kuzibua masikio yaliyoziba. Ana sauti ya kudeka, hata akiugulia maumivu anadeka tu.
Nikaendelea kumsugua, sasa namna ninavyomsugua mguuni anazidi kujiachia.. Anachanua miguu. Kule kujiachia ndipo huko anapozidi kujiachia uchi na mimi macho kuendelea kupata neema ya bure.
Nikaendelea kumsaidia taratibu huku nikianza kummasaage mguu wote wenye maumivu. Nikamaliza na kurudi kukaa. Mungu alinijalia mikono yenye uwezo wa kukanda na kwa hakika alipojishika hakusikia tena maumivu. Hapo ndipo alipofanya makosa. Akasema anahisia maumivu kwenye shingo. Akaomba nimsaidie.
Kufupisha story, tulifanya ngono ndani ya lile tanuru lenye ahueni kidogo. Nimesisimka, nimeshindwa kumalizia story.
Mchana mwema.